GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Asubuhi....
"Jamani Watanzania wenzangu nafuatiliwa na Watu wa CCM na Gari zao wakiwa na Panga, Sime na Mundu huku Kura za Uwizi zikiwa zimepakiwa mniombee nisife kwani nami nina Familia na Bata nalipenda vile vile na hiki Cbama sitaki nimuachie kabisa Mtu mwingine "
Usiku....
"Nampongeza sana Mshindi wa CCM kwa Kushinda kihalali kabisa na Uchaguzi ulikuwa ni wa Huru na Haki ila Sisi TCA Patriots tunamwambia tutakutana nae 2025 "
Na bahati nzuri tu ni kwamba GENTAMYCINE sijawahi kumkubali huyu Lake Tanganyika Political Pimp ( japo ni mwana Simba SC na Liverpool FC Mwenzangu) kutokana tu na Roho yangu Kumkataa japo pia ni Mtani wangu kutoka Kabila ambalo ukikosea ukapanda nao Basi la Mkoani wao tangia alfajiri mnaondoka hadi Usiku mnafika ndani ya basi wanaongea na kubishana wao tu kwa sauti za juu kabisa na wakikukogesha na mimate yao iliyokomaa.
Na sijui kwanini Watanzania wengi (tena wasiojielewa kabisa) wanamuamini vilivyo huyu Lake Tanganyika Political Pimp wakati nikimlinganisha na Wanasiasa wanaojitambua na wanaojua wanafanya nini katika Siasa za Tanzania yeye hata katika list yangu tu ya Kumi (10) Bora hayumo.
Hivi kwa aina ya Wanasiasa Opportunists kama huyo Lake Tanganyika Political Pimp CCM (Chama ambacho GENTAMYCINE ninachokishabikia Daima) kikiwa kinashinda na Kuongoza vyema Tanzania kila mara kutakuwa na tatizo?
Upinzani Tanzania bado sana kiukweli.
"Jamani Watanzania wenzangu nafuatiliwa na Watu wa CCM na Gari zao wakiwa na Panga, Sime na Mundu huku Kura za Uwizi zikiwa zimepakiwa mniombee nisife kwani nami nina Familia na Bata nalipenda vile vile na hiki Cbama sitaki nimuachie kabisa Mtu mwingine "
Usiku....
"Nampongeza sana Mshindi wa CCM kwa Kushinda kihalali kabisa na Uchaguzi ulikuwa ni wa Huru na Haki ila Sisi TCA Patriots tunamwambia tutakutana nae 2025 "
Na bahati nzuri tu ni kwamba GENTAMYCINE sijawahi kumkubali huyu Lake Tanganyika Political Pimp ( japo ni mwana Simba SC na Liverpool FC Mwenzangu) kutokana tu na Roho yangu Kumkataa japo pia ni Mtani wangu kutoka Kabila ambalo ukikosea ukapanda nao Basi la Mkoani wao tangia alfajiri mnaondoka hadi Usiku mnafika ndani ya basi wanaongea na kubishana wao tu kwa sauti za juu kabisa na wakikukogesha na mimate yao iliyokomaa.
Na sijui kwanini Watanzania wengi (tena wasiojielewa kabisa) wanamuamini vilivyo huyu Lake Tanganyika Political Pimp wakati nikimlinganisha na Wanasiasa wanaojitambua na wanaojua wanafanya nini katika Siasa za Tanzania yeye hata katika list yangu tu ya Kumi (10) Bora hayumo.
Hivi kwa aina ya Wanasiasa Opportunists kama huyo Lake Tanganyika Political Pimp CCM (Chama ambacho GENTAMYCINE ninachokishabikia Daima) kikiwa kinashinda na Kuongoza vyema Tanzania kila mara kutakuwa na tatizo?
Upinzani Tanzania bado sana kiukweli.