Watanzania wote tuachaneni na mwandishi huyu Mghana

Sasa si uende kwa huyo Kohler,,, Uto kweli wenye akili wawili tu
Mie niliacha kuwashangaa nikukumbuka like goli la Aziz lilivyokataliwa SA. Jinsi walivyopaniki Hadi kumtukana refa kwenye mitandao unajua hii timu bado. Inaabisha Sana🏃🏃
 
FUTA neno Watanzania wote. Weka neno mwiko nyuma wote pumbaf wewe
 
Kwa hiyo unataka na sisi ambao yupo kwenye payrol yetu kama ulivyodai tumsusie hivi wewe ni mzima kichwani?
 
Jamaa ataendelea kushine nyinyi na roho mbaya zenu hamtapata chochote, kwasabau mmejaa roho za kichawi na ushamba. Hii dunia kila mtu anahaki ya kufanya atakacho.
 
Punguza kisukari hicho kitakumaliza mapema kama unadili na mambo madogomadogo kama hayo
 
Wewe ni nani hadi unipangia rafiki/adui?!
 
Naona Crown FM nao wameingia kwenye mkondo huo. Niliwapenda sana walipoanza ila sasa kuna huyu jamaa anitawa Mkai, Jeff leah na Jemedari walipoingia kwenye mkondo huo wakaivuruga kabisa na kunifanya nikaidharau stesheni ile. Kwa sasa hivi pale ninaangalia Kasri la Kikeke tu; Kikeke nidie anayeweka uhai pale kwa mahojiano yake yaliyoshiba.
 
Tanzania ni nchi huru, tusipangiane cha kufanya!
 
Walikosea sana kumleta jemedari na leah
 
Watanzania wa wapi bali sema mashabiki wa UTO ndio achaneni kumfata Micky kwani lazima msome habari zake
Mie hakuna mtu anaenikera kama Maulid Kitenge lakini mbona akiandika habari za Simba kwa mabaya nazisoma na huwezi kumkuta Kitenge anaisema vibaya Yanga huwezi kumfolow mtu na kumpangia cha kuandika
Kama mashabiki wa UTO mnaakili msifate na kusoma habari zake ila kwakuwa mashabiki wengi wa UTO huwa mnawashwawashww that's why bado mnafata Micky na wakati anawasema vibaya
Tukisema mashabiki wa UTO hamnazo tunakosea mtu anawasema bado mnafata
 
Uto mpo kama wtt wadogo tena washamba..mkikosolewa mnaporomosha mitusi kama mahayawani..mnavamia page za watu mnatukana hovyo..
Mfano page ya Masandawane yani mliwatukana kama wao ndo waamuzi...sijui akili zenu zikoje....
Ndo maana wanasema wenye akili ni 2
Huyo mghana haripoti kwa sbb mmemtukana mno..
 
Mm namjuaga Sadick na Lorenzo
Huyo mwingine namsikia sikia ila simtambuagi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…