mama kubwa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 6,230
- 9,889
Supu hizo za kafara. Siku Yanga ikiifikia Simba kimataifa itaongelewa Tu. Chill😄Unajua hata kinaongelewa kitu gani?
Huku hapakufai dada kapike mchana huu sawa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Supu hizo za kafara. Siku Yanga ikiifikia Simba kimataifa itaongelewa Tu. Chill😄Unajua hata kinaongelewa kitu gani?
Huku hapakufai dada kapike mchana huu sawa?
Hawa ndugu zetu mbumbumbu tumewazoea tu mkuuNlitegemea ujee na post za kufanya aliye leta Uzi zionekane ni uongo!! Kama ya mzinze ulete Uzi kuonyesha jamaa alimpost na jezi ya yanga, nlitegemea ujee uonyeshe jinsi mleta post alivyo muongo na mlalamishi wa mambo ya ovyo,ulete ushahid kua Huwa anaipost yanga ,hata walipo wakanda Simba alipost ,kama alivyo kua amepost awali
Hatuwezi kukubali atuharibie reputation yetu eti kisa vifaa vyake na bandoTatizo la washabiki wa nyuma mwiko ni washabiki flan oya oya mnatakaga mpewe sifa nyie tu[emoji1787][emoji1787] micky ni mshabiki wa simba kam alivyo kitenge anavyokandia mambo yetu simba sasa utamlazmsh vipi awapambe mbona uto wengi wenu mna empty brain sana yaan mnalazmisha kupendwa muacheni kijan afanye kazi yake apendavyo yeye vifaa vyake bando lake akili yake mnaumia nini???bas wafuatlieni hao mnaowapenda nyie
Alipopewa bakuli lake la mchuzi akadai wamuongeze ndimu haikukolea.😂Du basi Bwana huyo Hana upeo analeta maneno ya kwenye gahawa. Msamehe madhara ya supu za ' kafara'.
Moisemusajiografii njoo umchukue mkeo kavamia kwa watu huku nendeni mkapige story za abunuwasi huko bwana sio hapa hapa ni full evidenceSupu hizo za kafara. Siku Yanga ikiifikia Simba kimataifa itaongelewa Tu. Chill😄
Uzi hautakiwi kusimama kikakamavu kama unapokea nishani wewe uto.Uzi unatakiwa uenende kwa mikogo na furaha za hapa na pale.Kuwa mtulivu mzee Magoma.😂😂😂Moisemusajiografii njoo umchukue mkeo kavamia kwa watu huku nendeni mkapige story za abunuwasi huko bwana sio hapa hapa ni full evidence
Kutoa habari sio shidaUjinga huwaga haujifichi, yaani mpaka watu wa nje ya Tanzania washajua utopolo ni watu wa Aina gani.
Aliacha kuwafatilia yanga baada ya mtu wa yanga kutaka kumlazimisha aandike anavyotaka yeye.
Yanga washazoea vijarida Kama mwanaspoti ambayo kichwa vinaandika habari za kuwasifia.
Halafu likija swala la yanga ni la kwenu sio la watanzania maana hata Eymael.m alipowaambia ukweli mkajifanya amewatukana watanzania kumbe ni Mambo yenu.
🤣🤣mjukuu wa rage mbona kama mna hasira?Uzi hautakiwi kusimama kikakamavu kama unapokea nishani wewe uto.Uzi unatakiwa uenende kwa mikogo na furaha za hapa na pale.Kuwa mtulivu mzee Magoma.😂😂😂
Usiwaandikie ukweli mnoo.Nenda nao adoado kispoti wasijione wananchi wanyonge.😂Ujinga huwaga haujifichi, yaani mpaka watu wa nje ya Tanzania washajua utopolo ni watu wa Aina gani.
Aliacha kuwafatilia yanga baada ya mtu wa yanga kutaka kumlazimisha aandike anavyotaka yeye.
Yanga washazoea vijarida Kama mwanaspoti ambayo kichwa vinaandika habari za kuwasifia.
Halafu likija swala la yanga ni la kwenu sio la watanzania maana hata Eymael.m alipowaambia ukweli mkajifanya amewatukana watanzania kumbe ni Mambo yenu.
Furaha sana.Mnalilia ukubwa?Utengenezeni kwanza.Kitonga ni Tanzania tu.Kwa waelewa ni lazima upitie tanuru la moto mkali mnoo!Hakuna short-cuts.🤣🤣mjukuu wa rage mbona kama mna hasira?
Tutakutana sio mbali sana bado week chache tu tuwaoneshe tena ukubwa wetu kama kawaida yetu kwahiyo tulieniFuraha sana.Mnalilia ukubwa?Utengenezeni kwanza.Kitonga ni Tanzania tu.Kwa waelewa ni lazima upitie tanuru la moto mkali mnoo!Hakuna short-cuts.
Basi andamaneni mpk ghana kwahyo mnakubali kitenge aharibu reputation ya simba mbona sisi tunampuuza kitenge kam mtu aliejinyea mbona mnamakasiriko sana.Hatuwezi kukubali atuharibie reputation yetu eti kisa vifaa vyake na bando
Alishaambiwa asitupost kabisa sasa kinamuwasha nini kuongelea mambo ya yanga ikiwa bado anaweka tu tena yale negative pekee?
Mfano mzize ni mchezaji wa yanga anamuhusu nini?
Tukishinda tunune?mkishinda mnaweka sherehe
Hapo siyo kutafuta ukubwa.Ukubwa ninaomaanisha wa CAF.Huko kwingine ni Simba anapambana na timu nyingi za GSM zenye kanuni zao za football.Tutakutana sio mbali sana bado week chache tu tuwaoneshe tena ukubwa wetu kama kawaida yetu kwahiyo tulieni
simba alichukua kombe ana viporo 4+ tena anaenda kucheza na timu imesha shuka darajaYanga hamtaki kukosolewa mnataka kila mtu awasifie tena umeenda mbali mbona hapa bongo maulidi kitenge yupo kwenye payrolls ya yanga hajawahi kuiongelea simba kwa mazuri yaani kulalamika ni asili ya mashabiki na viongozi wa yanga mmechukua kombe la NBC PREMIER LEAGUE mfululizo ila siku akija kuchukua kombe simba utasikia karia simba yule tulipangiwa ratiba ngumu kubalini kukosolewa watani ndio mpira ulivyo yule kaka yake Dickson job kila siku anaitukana simba mbona simba wapo kimya tu.
Angalau kitenge yeye huwa anayosema ni ukweli prove me wrong na sio yeye mbona wengi tu wanaeleza madudu ya simba?Basi andamaneni mpk ghana kwahyo mnakubali kitenge aharibu reputation ya simba mbona sisi tunampuuza kitenge kam mtu aliejinyea mbona mnamakasiriko sana.
Yanga bado mnakauswahili fln kenye tabia za timu ndogo ndio maan hata mkishinda mnaweka sherehe,mkikosolewa mna rusha tako juu...kaeni kwa kutulia msifikiri mafanikio yenu yatawababaisha kila mtu awapambe wasapotini hao wanaowalealea....micky piga kazi hamjaandikiwa barua kumfuatlia kwenye page zake ni viherehere vyenu tu
Kwanzia uanze kumfuatilia huyu jamaa ulishawahi kuona anaindika Simba in negative side? Kwanini iwe kwa Yanga pekee? Hapo ndipo anapogeuka kutoka kuwa mwandishi wa habari za michezo na kuwa shabiki wa Simba. Usajili wa Azizi Ki jamaa alimgeuza Hersi kuwa ni tapeli na muongo alisimama kuaminisha umma kuwa Azizi Ki hatoichezea Yanga na aliyeongea na Hersi sio wakala wa Azizi Ki. Jamaa anageuka ni mpiganaji dhidi ya Yanga kwa maslahi ya ushabiki wake.Ujinga huwaga haujifichi, yaani mpaka watu wa nje ya Tanzania washajua utopolo ni watu wa Aina gani.
Aliacha kuwafatilia yanga baada ya mtu wa yanga kutaka kumlazimisha aandike anavyotaka yeye.
Yanga washazoea vijarida Kama mwanaspoti ambayo kichwa vinaandika habari za kuwasifia.
Halafu likija swala la yanga ni la kwenu sio la watanzania maana hata Eymael.m alipowaambia ukweli mkajifanya amewatukana watanzania kumbe ni Mambo yenu.
Azam anadhamini team zote ligi kuuHapo siyo kutafuta ukubwa.Ukubwa ninaomaanisha wa CAF.Huko kwingine ni Simba anapambana na timu nyingi za GSM zenye kanuni zao za football.