Watanzania wote tuachaneni na mwandishi huyu Mghana

Watanzania wote tuachaneni na mwandishi huyu Mghana

Simba kwa sasa ni team ndogo kwa yanga kwahiyo nimesema ukweli sijaitukana

Hata wewe unajua ila sasa hiyo mada haipo mezani kwa leo
Udogo au ukubwa hautolewi na wewe wa kidimbwini.Wenye mpira na takwimu stahiki hadi sasa ndiyo wanakupatia.Taarifa hupokewa kwanza.Majadiliano unayaandaa vidimbwini.
 
Subiri utopolo kama mtajipata kwenye klabu bingwa Afrika ndiyo mtapewa nafasi kama za hizo timu.Kwa wakati huu unajing'ata masikio yako mwenyewe.
Tujipate mara ngapi? Na msimu huu pia tupo nyie mpo shirikisho kwahiyo tulia ukacheze na kina berkane
 
Hakuna brand aliyojenga hapo na kina kohler nao wasemeje?

Alichofanikiwa micky ni kujipendekeza na uchawa na majungu yanayomfanya awe chawa wa team zake baadhi zinamfanya aishi

Ahly ahly
Wydad
Simba
Mamelodi

Hawa ndiyo wanamfanya aende chooni.

Hana lolote huyo
Kwanza unaelewa maana ya brand? Nisije nikawa napoteza nguvu zangu tuu hapa.

Wewe Miki umeanza kumjua juzi, hukumjua wakati alipokuwa south Africa world cup ya 2010 akitoa takwimu za wachezaji wa kiafrika na wachambuzi wengi wakimu_admire kama bwana mdogo anaejua kureport mambo ya mpira kwa ufasaha kupitia Facebook.
 
Udogo au ukubwa hautolewi na wewe wa kidimbwini.Wenye mpira na takwimu stahiki hadi sasa ndiyo wanakupatia.Taarifa hupokewa kwanza.Majadiliano unayaandaa vidimbwini.
Ndani ya misimu miwili angalia yanga ilipokuwepo before na after

Ni kipofu tu ndio hatojua naye anawezq kuambiwa sasa sijui unasemea mafanikio gani? Ambayo nyie mnayo yanga hana

Kama robo mnayojivunia tumefika tayari na huko shirikisho tumefika final pia sasa na nyie wakubwa fikeni pia
 
Ujue kukosolewa sio hoja sana hatuna shida

Kwa sasa yanga ipo ki professional sana kiasi kwamba huoni makosa madogo madogo ila mnalazimisha yaonekane ila sisi hatuyaoni.

Zaidi yanaonekana huko simba mbona hayasemi huyo mghana
Utaskia it's revealed talk has been underway between benchika and simba to part away sijui nini na nini

Kumbe benchika kawakimbia ila jamaa anazunguuuka Kote huko ingekuwa yanga sasa ungeskia "Gamondi ameikimbia yanga na haitaki kwani anapangiwa majukumu"

Wa hovyo huyo mjinga
Sijajua unazungumzia professional ipi kati ya yanga na simba nani anaongoza kupelekwa kwenye vyombo vya sheria huko FIFA kwanza mmeshamlipa okrah tayari timu kila siku inashtakiwa unasema ipo ki professional kweli ubaya ubwela.
 
Watanzania wote ukiwemo wewe ustuke
Kwa sasa hutoona shida mpaka siku atakapowanyea na nyie ndiyo utajua
Hofu ni ugonjwa mbaya sana. Sasa Miki kureport kwake negative habari za utopolo zinazuia vipi utopolo kufanya vizuri? Ina maana Miki ndio wakala wa wachezaji wote afrika?

Au Miki kureport posively Simba kunaisadia vipi Simba kutofungwa na utopolo. Yaani akili za utopolo mnazijuaga wenyewe
 
Kwanza unaelewa maana ya brand? Nisije nikawa napoteza nguvu zangu tuu hapa.

Wewe Miki umeanza kumjua juzi, hukumjua wakati alipokuwa south Africa world cup ya 2010 akitoa takwimu za wachezaji wa kiafrika na wachambuzi wengi wakimu_admire kama bwana mdogo anaejua kureport mambo ya mpira kwa ufasaha kupitia Facebook.
Una uhakika nimeanza kumjua juzi?

Haya tufanye hivyo maana unaona 2010 ni mbali sana eeh?

Alikuwa vizuri mwanzo na ndiyo maana hakuna aliyekuwa anamkosoa ila kwa sasa anaharibu sana na ndiyo maana anakosolewa mimi sio mtu wa kwanza kumkosoa waandishi wakubwa wameshampa zake mimi nani?
 
Tujipate mara ngapi? Na msimu huu pia tupo nyie mpo shirikisho kwahiyo tulia ukacheze na kina berkane
Ndiyo kwanza mmeanza na mtoano.Mnatakiwa muupate ushindi hadi ngazi iliyofikia Simba au/na zaidi ndiyo mtaongewa na kuandikwa hadi mvimbiwe sifa.Mmetoka shirikisho kumbuka.Klabu bingwa inaonesha bado hamna achievement yoyote yenye kuvizidi vilabu vinavyotajwa sana.Usipoelewa utatandikwa viboko.
 
Kwani hiyo la Karia halipigiwi kelele hata kama Yanga inabeba makombe? Mbona watu wametoka kulipigia kelele sana jambo la upangaji wa ratiba.
Simba kacheza mechi mbili yanga hajacheza hata mechi moja kama angeanza yanga kucheza na simba afuatie ungesikia kelele zake ila kulia kupokezana mbona enzi za malinzi yanga ilikuwa inabebwa dhahiri na simba walivumilia au kila siku mnatoa muwe nyinyi tu utopolo.
 
Sijajua unazungumzia professional ipi kati ya yanga na simba nani anaongoza kupelekwa kwenye vyombo vya sheria huko FIFA kwanza mmeshamlipa okrah tayari timu kila siku inashtakiwa unasema ipo ki professional kweli ubaya ubwela.
OK sawa
Simba alikuwa na kesi karibu msimu huu TFF ila kwa kuwa baba yenu yupo pale kawatetea .
Usajili wa lawi mmeishia wapi? Yaani mpaka mkampost nini kama sio unprofessional?

Vipi kuhusu kagoma? Awesu? Chama? Fred?benchika?

Yanga wanaweza kuwa na kesi fifa lakini lini uliwahi kuona imefungiwa kusajili? Kila msimu inasajili
 
Ndani ya misimu miwili angalia yanga ilipokuwepo before na after

Ni kipofu tu ndio hatojua naye anawezq kuambiwa sasa sijui unasemea mafanikio gani? Ambayo nyie mnayo yanga hana

Kama robo mnayojivunia tumefika tayari na huko shirikisho tumefika final pia sasa na nyie wakubwa fikeni pia
Kawalalamikie wanaotoa takwimu.Ukiniuliza mimi kwa kuonesha hujui hata unachokibishia nitaishia kukucheka tu uchukie.
 
I salute you kinsmen.!

Wakuu nadhani wote mnajua au kutokujua hili jiandishi tapeli kutokana Ghana la michezo bwana micky JNR.

huyu bwana tunajua wazi yupo kwenye payroll hasa kwenye team za kiarabu ikiwemo ahly ahly ya Egypt pia wydad na hapa East Africa ikiwemo team ya hovyo simba ambayo wote tunajua ni demu tu wa yanga anajipigia anytime..


Huyu mwandishi amekuwa akiweka chuki zake za wazi kwa yanga bila sababu za kueleweka

Tunajua wazi kuwa injinia amekataa kumuweka kwenye payroll na ndio maana kutwa amekuwa akieneza negative pekee kuhusu yanga na positive amekuwa akikausha kimya ..

Mifano ipo mingi..
MFANO NAMBA 1.
kuhusu sakata la aziz kipindi kile huyu jamaa alikuwa analeta uchonganishi sana na akatangeneza chat fake kati yake na aziz zikionesha kuwa ki hana furaha na anataka kusepa yanga

Ingawaje aziz alikausha na kukanusha madai hayo vikali kabisa..huyu ni kanjanja.

MFANO NAMBA 2.
Kuhusu match za yanga ambazo akishinda huwa haweki update yoyote ila siku wakifungwa tu basi utaona mtiririko wa post kama zote za mafumbo kwa yanga..huu ni upumbavu na unprofessional..

Case study ni ile.game ya majuzi tu hapa ngao ya jamii ambapo simba walikandwa kama kawaida na yanga lakini mghana hakupost chochote ila before match alipost kikosi cha simba pekee na kuuliza watu watabiri simba watashindaje..aibu ikawa kwake.

MFANO NAMBA 3.
Kuhusu sakata la mzize kutakiwa na wydad hapa mghana alipost lakini akamtambulisha mzize kama mchezaji wa taifa stars na kuweka picha akiwa kapiga na stars! Huu sasa ni nini kama sio ujinga?

Kwahiyo stars ndiyo wanamuuza mzize? Hii ni chuki kubwa sana.

Pia kipindi kile kuhusu job ilikuwa hivi hivi

Ila sakata la mghana mwenzie okrah jamaa alilivalia njuga sana na kujifanya anajua taarifa zote kumbe yote anaenda kumuuliza okrah..

Halafu licha ya uchawa wake lakini bado hawamthamini .

Match ile ya AFL simba vs ahly ahly jamaa alipigwa pini hakuingia uwanjani kwa mkapa inasemekana alileta ujuaji sana akadhani bongo kama kwao Ghana, hivyo akasubiri mpaka game imeisha na kwenda vyumba vya kubadlilisha nguo kwenye corridor na kuomba picha na kina el shahat na kina Percy Tau..


Halafu yeye viongozi wa yanga walishamkataa kuwa asiweke habari zao kama anaona analazimishwa lakini chenyewe kimekazania kupost negative pekee .


Niwashauri tu mwandishi mzuri kwa sasa nje ya Tanzania ambaye hamtakiwi kumkosa ni lorenz kohler wa South Africa.. he is a professional..na sio huyu mwizi mghana anayeishi kwa pensions za ahly ahly.. simba .

Its Pancho
Huyu jamaa ni tapeli sio Mwandishi wa Habari nimeshamblock kabisa twitter sitaki kuona upuuzi wake wenye upendeleo.
 
Ndiyo kwanza mmeanza na mtoano.Mnatakiwa muupate ushindi hadi ngazi iliyofikia Simba au/na zaidi ndiyo mtaongewa na kuandikwa hadi mvimbiwe sifa.Mmetoka shirikisho kumbuka.Klabu bingwa inaonesha bado hamna achievement yoyote yenye kuvizidi vilabu vinavyotajwa sana.Usipoelewa utatandikwa viboko.
Hii kwa mujibu wako au wa CAF? Maana kwenye viwango vyao sisi tunaona mafanikio tulipotoka na tulipofikia wewe unasemaje?
 
Hofu ni ugonjwa mbaya sana. Sasa Miki kureport kwake negative habari za utopolo zinazuia vipi utopolo kufanya vizuri? Ina maana Miki ndio wakala wa wachezaji wote afrika?

Au Miki kureport posively Simba kunaisadia vipi Simba kutofungwa na utopolo. Yaani akili za utopolo mnazijuaga wenyewe
Wawili tu pale.
 
Una uhakika nimeanza kumjua juzi?

Haya tufanye hivyo maana unaona 2010 ni mbali sana eeh?

Alikuwa vizuri mwanzo na ndiyo maana hakuna aliyekuwa anamkosoa ila kwa sasa anaharibu sana na ndiyo maana anakosolewa mimi sio mtu wa kwanza kumkosoa waandishi wakubwa wameshampa zake mimi nani?
Waandishi wakubwa kina George Job? Ushawahi msikia Kohler anamuongelea Miki hata siku moja? Au ushamsikia Miki anamuongelea Kohler hata siku moja? Kama anaharibu kazi yake wewe piga kimya umma utamuumbua sio kyanzisha kampeni za chuki namna. The way alivo jibrand ndio arakavyojiangusha. Utopolo isikitoe akili namna hiyo.
 
Yanga waache kuziba riziki za wachezaji. Kwa nini wachezaji wanaondoka kwa migogoro? Lazima wajue kuwa mpira ni ajira na Kila mtu anatafuta penye malisho mazuri.

Mwacheni Mzinze akatafute maisha.
Kwani Mzize si ana mkataba na Yanga? Kwani ni lazima mchezaji akihitajika sehemu fulani lazima auzwe? Yanga ina project yake na ina malengo yake na ukizingatia Mzize anahitajika kipindi ambacho Yanga hawawezi kufanya tena usajili kwavile dirisha limeshagungwa na wanashiriki klabu bingwa. Mzize kaishaingizwa kwenye program ya timu hawezi kuuzwa kizembe hivyo na pia hata Mzize naye anaongozewa thamani.
 
Hofu ni ugonjwa mbaya sana. Sasa Miki kureport kwake negative habari za utopolo zinazuia vipi utopolo kufanya vizuri? Ina maana Miki ndio wakala wa wachezaji wote afrika?

Au Miki kureport posively Simba kunaisadia vipi Simba kutofungwa na utopolo. Yaani akili za utopolo mnazijuaga wenyewe
Naona unajitoa ufahamu

Ana followers wengi hivyo huoni anaharibu reputation ya team? Na hasa habari za uongo? Unataka tuchekelee?
 
OK sawa
Simba alikuwa na kesi karibu msimu huu TFF ila kwa kuwa baba yenu yupo pale kawatetea .
Usajili wa lawi mmeishia wapi? Yaani mpaka mkampost nini kama sio unprofessional?

Vipi kuhusu kagoma? Awesu? Chama? Fred?benchika?

Yanga wanaweza kuwa na kesi fifa lakini lini uliwahi kuona imefungiwa kusajili? Kila msimu inasajili
Huo si mchezo ilikuwa wanafanya yanga hao wachezaji uliowataja wote walikuwa wapo nyuma ya yanga wamepeleka zuio kwamba ni wachezaji wao swali la kujiuliza kwa nn ni wachezaji wa Tanzania tu kwa nini wachezaji wakigeni hawana mgogoro na simba timu hizo zote ukiangalia zinadhaminiwa na GSM.
 
Waandishi wakubwa kina George Job? Ushawahi msikia Kohler anamuongelea Miki hata siku moja? Au ushamsikia Miki anamuongelea Kohler hata siku moja? Kama anaharibu kazi yake wewe piga kimya umma utamuumbua sio kyanzisha kampeni za chuki namna. The way alivo jibrand ndio arakavyojiangusha. Utopolo isikitoe akili namna hiyo.
Na kwa hizo tabia zao za maneno ya ajabuajabu tukiwa kwenye mijadala ya kimataifa huwa wanatutia aibu sana.Hadi unaamua kukaa pembeni na kucheka tu.
 
Back
Top Bottom