Watanzania wote tuachaneni na mwandishi huyu Mghana

Watanzania wote tuachaneni na mwandishi huyu Mghana

Waandishi wakubwa kina George Job? Ushawahi msikia Kohler anamuongelea Miki hata siku moja? Au ushamsikia Miki anamuongelea Kohler hata siku moja? Kama anaharibu kazi yake wewe piga kimya umma utamuumbua sio kyanzisha kampeni za chuki namna. The way alivo jibrand ndio arakavyojiangusha. Utopolo isikitoe akili namna hiyo.
Unatetea Ujinga[emoji706]
 
Yanga hamtaki kukosolewa mnataka kila mtu awasifie tena umeenda mbali mbona hapa bongo maulidi kitenge yupo kwenye payrolls ya yanga hajawahi kuiongelea simba kwa mazuri yaani kulalamika ni asili ya mashabiki na viongozi wa yanga mmechukua kombe la NBC PREMIER LEAGUE mfululizo ila siku akija kuchukua kombe simba utasikia karia simba yule tulipangiwa ratiba ngumu kubalini kukosolewa watani ndio mpira ulivyo yule kaka yake Dickson job kila siku anaitukana simba mbona simba wapo kimya tu.
Shida sio kukosolewa,jamaa yy kitu positive kwa Yanga uwa aandiki ila inapokuja negative uwa anaandika kiushabiki,anachotakiwa asiandike chochote kuhusu yanga aone kama kuna mtu atamuattack
 
Kama ana followers wengi ina maana ana kazi nzuri. Reputation ya timu inajengwa na timu yenyewe sio wapambe nje ya timu. Wa wapi wewe?
OK
Reputation tumeijenga wenyewe halsfu wewe utoe negativity tu huoni unaipindisha?

Anasema yeye ni ukweli na uhakika mbona ni uongo tu? Kuhusu yanga

Kuhusu followers mbona hujiulizi insta account yake ilipigwa ban kahamia Facebook?
 
Utopolo wanatia aibu sana kwenye mitandao ya kijamii. Waliivamia page ya malumo na kuanza kuwasifua kisa walikuwa wanataka skudu. Waliivamia page ya aursburg ya ujeremani na kuwatukana kisa wamefungwa. Waliivamia ya mayele kumtukana kisa anaondoka.
Na kwa hizo tabia zao za maneno ya ajabuajabu tukiwa kwenye mijadala ya kimataifa huwa wanatutia aibu sana.Hadi unaamua kukaa pembeni na kucheka tu.
 
Huo si mchezo ilikuwa wanafanya yanga hao wachezaji uliowataja wote walikuwa wapo nyuma ya yanga wamepeleka zuio kwamba ni wachezaji wao swali la kujiuliza kwa nn ni wachezaji wa Tanzania tu kwa nini wachezaji wakigeni hawana mgogoro na simba timu hizo zote ukiangalia zinadhaminiwa na GSM.
Yule mserbia hadi leo hajalipwa pesa zake,ila kidau nae kitu cha Yanga fasta anapost,juzi hapa imekuja taarifa tff inadaiwa na kampuni ya vifaa vya michezo,kidau mpaka leo hajapost ile
 
Shida sio kukosolewa,jamaa yy kitu positive kwa Yanga uwa aandiki ila inapokuja negative uwa anaandika kiushabiki,anachotakiwa asiandike chochote kuhusu yanga aone kama kuna mtu atamuattack
Shida ndugu zangu mbumbumbu hawawezi kuelewa hili najaribu kumuelewesha TAI DUME na Moisemusajiografii ila unajua mbumbumbu tena walivyo hawataki kustuka
 
OK
Reputation tumeijenga wenyewe halsfu wewe utoe negativity tu huoni unaipindisha?

Anasema yeye ni ukweli na uhakika mbona ni uongo tu? Kuhusu yanga

Kuhusu followers mbona hujiulizi insta account yake ilipigwa ban kahamia Facebook?
Na wewe anzisha ya kwako uwe unaandika mafanikio ya utopolo tu bila negative attitude.Utapata followers.
 
Simba kacheza mechi mbili yanga hajacheza hata mechi moja kama angeanza yanga kucheza na simba afuatie ungesikia kelele zake ila kulia kupokezana mbona enzi za malinzi yanga ilikuwa inabebwa dhahiri na simba walivumilia au kila siku mnatoa muwe nyinyi tu utopolo.
Hilo nalo ni la kuhoji? Yanga, Azam, Coastal walikuwa wanashiriki michuano ya CAF na ndio maana zimechelewa kuanza michezo ya ligi. Lakini tulishuhudia Simba na Yanga zote zikiwa zinashiriki michuano ya klabu na hatua sawasawa ila timu moja ikiendelezea viporo tu.
 
OK
Reputation tumeijenga wenyewe halsfu wewe utoe negativity tu huoni unaipindisha?

Anasema yeye ni ukweli na uhakika mbona ni uongo tu? Kuhusu yanga

Kuhusu followers mbona hujiulizi insta account yake ilipigwa ban kahamia Facebook?
Kwa kawaida insta au sosho media watu wakikureport unafungiwa kwa ajili ya uchunguzi. Nachojua utopolo walihamasishana wakaenda kwenye page zake wakabonyeza report button. Lkn imeshafunguliwa. Na hapo ndo naposeka utopolo hawajielewi.
 
Utopolo wanatia aibu sana kwenye mitandao ya kijamii. Waliivamia page ya malumo na kuanza kuwasifua kisa walikuwa wanataka skudu. Waliivamia page ya aursburg ya ujeremani na kuwatukana kisa wamefungwa. Waliivamia ya mayele kumtukana kisa anaondoka.
Uongo unakusaidia nini sasa?

Mayele na yanga nani alianza kumuattack mwenzie?

Kimsingi mayele kama professional hakutakiwa kufanya hivyo kabisa ndio maana yanga viongozi hawakujibu wakajibu mashabiki ..

Hilo kuhusu ausburg una ushahidi au unaongezea chumvi tu..

Skudu si alikuwa malumo.jamani au katoka wapi? Huo ni uongo sasa
 
Shida sio kukosolewa,jamaa yy kitu positive kwa Yanga uwa aandiki ila inapokuja negative uwa anaandika kiushabiki,anachotakiwa asiandike chochote kuhusu yanga aone kama kuna mtu atamuattack
Na hicho ndicho Miki anachofanya. Soon baada ya uongozi wa Yanga kumtaka hasiandike habari za Yanga akaacha. Ila huwa anaandiia affairs personal za wachezaji wa Yanga. Mfano isho ya mzize anateport upande wa ofa inayotolewa kumtaka mzize na sio majibu ya Yanga kumzuia mzize. Hutaona popote ame8taja utopolo.
 
Shida sio kukosolewa,jamaa yy kitu positive kwa Yanga uwa aandiki ila inapokuja negative uwa anaandika kiushabiki,anachotakiwa asiandike chochote kuhusu yanga aone kama kuna mtu atamuattack
Mbona ni wagumu kumsoma mtu? Yule ni shabiki wa Simba wala sio mwandishi wa habari. Ukimfatilia Fabrizio, Kõhler na Adams, n.k utaona wana utofauti mkubwa sana na micky kwenye uwasilishaji wa taarifa zao za michezo. Angalia idadi ya followers utaona kaachwa mbali sana na Mghana mwenzie tu Adams, ukiangalia wanaom follow micky wengi ni watanzania ambao ni mashabiki wa Simba.
 
Na hicho ndicho Miki anachofanya. Soon baada ya uongozi wa Yanga kumtaka hasiandike habari za Yanga akaacha. Ila huwa anaandiia affairs personal za wachezaji wa Yanga. Mfano isho ya mzize anateport upande wa ofa inayotolewa kumtaka mzize na sio majibu ya Yanga kumzuia mzize. Hutaona popote ame8taja utopolo.
Wewe jamaa bhana eti personal affairs.

Mzize ni Mali ya yanga iweje personal affairs je yupo huru hana mkataba?

Hiyo ofa inaletwa kwa yanga au mzize? Hapo personal affairs inatoka wapi?

Au wanapeleka ofa taifa stars?

Mbumbumbu ifike muda mjitambue
 
Back
Top Bottom