Watanzania wote tuachaneni na mwandishi huyu Mghana

Watanzania wote tuachaneni na mwandishi huyu Mghana

Kutoa habari sio shida
Shida useme uongo na uzushi mbona madai niliyoyatoa hapo juu hujasema?

Umeleta uswahili tu katika dunia ya sasa reputation ni kitu cha kutunza sana na mitandao haifuti kitu sasa huwezi kutuharibia halafu tukuchekee especially shabiki wa mpinzani wetu (simba)

Tapeli na mzushi huyo
Unajua kisa cha yeye kutofautiana na yanga? Ni yule mkuu wenu wa maudhui privadhino alipotaka aandike kile anachokitaka.
Waandishi wa Tanzania wanafanya kazi kwa maelekezo Ila huyu aliamua kuacha kupost habari za jangwani.
Kama washabiki wangemwambia sawa Ila Kama kiongozi wa taasisi unakuwa habari nyingine.
 
Kwanzia uanze kumfuatilia huyu jamaa ulishawahi kuona anaindika Simba in negative side? Kwanini iwe kwa Yanga pekee? Hapo ndipo anapogeuka kutoka kuwa mwandishi wa habari za michezo na kuwa shabiki wa Simba. Usajili wa Azizi Ki jamaa alimgeuza Hersi kuwa ni tapeli na muongo alisimama kuaminisha umma kuwa Azizi Ki hatoichezea Yanga na aliyeongea na Hersi sio wakala wa Azizi Ki. Jamaa anageuka ni mpiganaji dhidi ya Yanga kwa maslahi ya ushabiki wake.
Na bado hata akajaribu kuchonganisha kuwa aziz hana furaha yanga anataka kusepa ..!

What a stupid fellow!
 
Unajua kisa cha yeye kutofautiana na yanga? Ni yule mkuu wenu wa maudhui privadhino alipotaka aandike kile anachokitaka.
Waandishi wa Tanzania wanafanya kazi kwa maelekezo Ila huyu aliamua kuacha kupost habari za jangwani.
Kama washabiki wangemwambia sawa Ila Kama kiongozi wa taasisi unakuwa habari nyingine.
Hapana sio kweli
Chanzo ni yeye kueneza habari za uzushi sana na uongo ikiwemo hilo la aziz kiufupi anachonganisha team na mashabiki
Na priva hiyo ndiyo kazi yake na kitengo chake mitandaoni so hawezi kuona mitandaoni team inachafuliwa kwa uongo na uzushi ikiwa yeye yupo .


Solution ni moja hatutaki hatupost kabisa wala wachezaji wetu
 
I salute you kinsmen

Wakuu nadhani wote mnajua kutokana Ghana la michezo bwana micky JNR.

huyu bwana tunajua wazi yupo kwenye payroll hasa kwenye team za kiarabu ikiwemo ahly ahly ya Egypt pia wydad na hapa East Africa ikiwemo team ya hovyo simba ambayo wote tunajua ni demu tu wa yanga anajipigia anytime..

Huyu mwandishi amekuwa akiweka chuki zake za wazi kwa yanga bila sababu za kueleweka. Tunajua wazi kuwa injinia amekataa kumuweka kwenye payroll na ndio maana kutwa amekuwa akieneza negative pekee kuhusu yanga na positive amekuwa akikausha kimya.

Mifano ipo mingi:

MFANO NAMBA 1
Kuhusu sakata la aziz kipindi kile huyu jamaa alikuwa analeta uchonganishi sana na akatangeneza chat fake kati yake na aziz zikionesha kuwa ki hana furaha na anataka kusepa yanga

Ingawaje aziz alikausha na kukanusha madai hayo vikali kabisa..huyu ni kanjanja.

MFANO NAMBA 2
Kuhusu match za yanga ambazo akishinda huwa haweki update yoyote ila siku wakifungwa tu basi utaona mtiririko wa post kama zote za mafumbo kwa yanga..huu ni upumbavu na unprofessional.

Case study ni ile.game ya majuzi tu hapa ngao ya jamii ambapo simba walikandwa kama kawaida na yanga lakini mghana hakupost chochote ila before match alipost kikosi cha simba pekee na kuuliza watu watabiri simba watashindaje..aibu ikawa kwake.

MFANO NAMBA 3.
Kuhusu sakata la mzize kutakiwa na wydad hapa mghana alipost lakini akamtambulisha mzize kama mchezaji wa taifa stars na kuweka picha akiwa kapiga na stars! Huu sasa ni nini kama sio ujinga?

Kwahiyo stars ndiyo wanamuuza mzize? Hii ni chuki kubwa sana.

Pia kipindi kile kuhusu job ilikuwa hivi hivi

Ila sakata la mghana mwenzie okrah jamaa alilivalia njuga sana na kujifanya anajua taarifa zote kumbe yote anaenda kumuuliza okrah..

Halafu licha ya uchawa wake lakini bado hawamthamini .

Match ile ya AFL simba vs ahly ahly jamaa alipigwa pini hakuingia uwanjani kwa mkapa inasemekana alileta ujuaji sana akadhani bongo kama kwao Ghana, hivyo akasubiri mpaka game imeisha na kwenda vyumba vya kubadlilisha nguo kwenye corridor na kuomba picha na kina el shahat na kina Percy Tau..

Halafu yeye viongozi wa yanga walishamkataa kuwa asiweke habari zao kama anaona analazimishwa lakini chenyewe kimekazania kupost negative pekee .

Niwashauri tu mwandishi mzuri kwa sasa nje ya Tanzania ambaye hamtakiwi kumkosa ni lorenz kohler wa South Africa.. he is a professional..na sio huyu mwizi mghana anayeishi kwa pensions za ahly ahly.. simba .

Its Pancho
Uyo miky ni mpumbavu Mmoja hv ambae ajielewi, unapokataa kupost ubari Fulani basi iyo timu uachane nayo kabisa sio unachagua habari mbaya ndio unapost inatakiwa usiiongelee kabisa iwe negative ama positive huo ndio uweledi vinginevyo utaonekana ni chuki binafsi baada ya kunyimwa kitu Fulani
 
Uyo miky ni mpumbavu Mmoja hv ambae ajielewi, unapokataa kupost ubari Fulani basi iyo timu uachane nayo kabisa sio unachagua habari mbaya ndio unapost inatakiwa usiiongelee kabisa iwe negative ama positive huo ndio uweledi vinginevyo utaonekana ni chuki binafsi baada ya kunyimwa kitu Fulani
Hakuna mwandishi wa habari humo, huyo ni shabiki shoga anajificha kwenye kichaka cha uandishi
Ndio ukweli amenyimwa payroll yake pale yanga .

Injinia alikataa huu ujinga eti umlipe ndiyo akuandike vizuri .

A stupid fellow
 
Kitu ambacho umeshindwa kujua kuwa huyo jamaa ni shabiki wa Simba hivyo hawezagi kuficha mahaba yake kwa Simba na chuki zake kwa Yanga. Hivyo watu wengi wanaomkubali ni mashabiki wa Simba
Nani asiyejua Baba Levo ni shabiki wa Yanga?

Kwanini wewe na mtoa mada msihamasishe watu wasusie kusikiliza kipindi cha michezo ambacho Baba levo anashiriki?

Tukisema Gongowazi mnamatatizo kichwani sio kama tunawa disrespect.
 
I salute you kinsmen

Wakuu nadhani wote mnajua kutokana Ghana la michezo bwana micky JNR.

huyu bwana tunajua wazi yupo kwenye payroll hasa kwenye team za kiarabu ikiwemo ahly ahly ya Egypt pia wydad na hapa East Africa ikiwemo team ya hovyo simba ambayo wote tunajua ni demu tu wa yanga anajipigia anytime..

Huyu mwandishi amekuwa akiweka chuki zake za wazi kwa yanga bila sababu za kueleweka. Tunajua wazi kuwa injinia amekataa kumuweka kwenye payroll na ndio maana kutwa amekuwa akieneza negative pekee kuhusu yanga na positive amekuwa akikausha kimya.

Mifano ipo mingi:

MFANO NAMBA 1
Kuhusu sakata la aziz kipindi kile huyu jamaa alikuwa analeta uchonganishi sana na akatangeneza chat fake kati yake na aziz zikionesha kuwa ki hana furaha na anataka kusepa yanga

Ingawaje aziz alikausha na kukanusha madai hayo vikali kabisa..huyu ni kanjanja.

MFANO NAMBA 2
Kuhusu match za yanga ambazo akishinda huwa haweki update yoyote ila siku wakifungwa tu basi utaona mtiririko wa post kama zote za mafumbo kwa yanga..huu ni upumbavu na unprofessional.

Case study ni ile.game ya majuzi tu hapa ngao ya jamii ambapo simba walikandwa kama kawaida na yanga lakini mghana hakupost chochote ila before match alipost kikosi cha simba pekee na kuuliza watu watabiri simba watashindaje..aibu ikawa kwake.

MFANO NAMBA 3.
Kuhusu sakata la mzize kutakiwa na wydad hapa mghana alipost lakini akamtambulisha mzize kama mchezaji wa taifa stars na kuweka picha akiwa kapiga na stars! Huu sasa ni nini kama sio ujinga?

Kwahiyo stars ndiyo wanamuuza mzize? Hii ni chuki kubwa sana.

Pia kipindi kile kuhusu job ilikuwa hivi hivi

Ila sakata la mghana mwenzie okrah jamaa alilivalia njuga sana na kujifanya anajua taarifa zote kumbe yote anaenda kumuuliza okrah..

Halafu licha ya uchawa wake lakini bado hawamthamini .

Match ile ya AFL simba vs ahly ahly jamaa alipigwa pini hakuingia uwanjani kwa mkapa inasemekana alileta ujuaji sana akadhani bongo kama kwao Ghana, hivyo akasubiri mpaka game imeisha na kwenda vyumba vya kubadlilisha nguo kwenye corridor na kuomba picha na kina el shahat na kina Percy Tau..

Halafu yeye viongozi wa yanga walishamkataa kuwa asiweke habari zao kama anaona analazimishwa lakini chenyewe kimekazania kupost negative pekee .

Niwashauri tu mwandishi mzuri kwa sasa nje ya Tanzania ambaye hamtakiwi kumkosa ni lorenz kohler wa South Africa.. he is a professional..na sio huyu mwizi mghana anayeishi kwa pensions za ahly ahly.. simba .

Its Pancho
Ushahidi haujitoshelezi kumtia hatiani mshtakiwa
 
Nani asiyejua Baba Levo ni shabiki wa Yanga?

Kwanini wewe na mtoa mada msihamasishe watu wasusie kusikiliza kipindi cha michezo ambacho Baba levo anashiriki?

Tukisema Gongowazi mnamatatizo kichwani sio kama tunawa disrespect.
Baba Levo kuwa ni shabiki wa Yanga haimpi guarantee ya kutoa taarifa za uzushi na uongo upande wa Simba. Kila mtu na utashi wake na ndio maana hakuna sehemu yeyote niliyoandika kuwa mashabiki wa Yanga wasusie kumfatilia micky bali atakayempuuzia atampuuzia atakayeamua kum block atam block ama atakayeamua kujibizana nae atajibizana nae kwenye ukurasa wake. Mimi sipo hapa kushauri watu wafanye nini, bali nilichokisema ni kwamba micky ni shabiki wa Simba hivyo mleta uzi hilo alijue na ajue kuwa hawezi kuwapangia watu wasimfatilie wakati mashabiki wa Simba wanampenda.
 
Mngekuwa mnaipenda nchi yenu kama mnavyopenda hizi timu tungekuwa mbali sana
 
that's your perception,just keep it.
mick ni mwadish mzuri ndo maana timu kama al ahly wana mtumia.

mbona apa bongo mwadishi kitenge anaiponda simba mpo na huongei,leo hii mick una mtuhumu kwa lipi sasa.
 
Nlitegemea ujee na post za kufanya aliye leta Uzi zionekane ni uongo!! Kama ya mzinze ulete Uzi kuonyesha jamaa alimpost na jezi ya yanga, nlitegemea ujee uonyeshe jinsi mleta post alivyo muongo na mlalamishi wa mambo ya ovyo,ulete ushahid kua Huwa anaipost yanga ,hata walipo wakanda Simba alipost ,kama alivyo kua amepost awali
Kwani mchambuzi kuwa na team kuna shida gani mkuu ndio maana nimetoa mfano wa kitenge.
 
that's your perception,just keep it.
mick ni mwadish mzuri ndo maana timu kama al ahly wana mtumia.

mbona apa bongo mwadishi kitenge anaiponda simba mpo na huongei,leo hii mick una mtuhumu kwa lipi sasa.
Al Ahly wana mtumia? Au yeye ndiye anaifuatilia Al Ahly? Embu tuambie Al Ahly wanamtumia kwenye lipi?
 
Hakuna brand aliyojenga hapo na kina kohler nao wasemeje?

Alichofanikiwa micky ni kujipendekeza na uchawa na majungu yanayomfanya awe chawa wa team zake baadhi zinamfanya aishi

Ahly ahly
Wydad
Simba
Mamelodi

Hawa ndiyo wanamfanya aende chooni.

Hana lolote huyo
Sasa si uende kwa huyo Kohler,,, Uto kweli wenye akili wawili tu
 
Back
Top Bottom