Watatu wahukumiwa kunyongwa kwa mauaji ya Milembe wa GGM

Watatu wahukumiwa kunyongwa kwa mauaji ya Milembe wa GGM

jjackline

Senior Member
Joined
Jul 25, 2024
Posts
111
Reaction score
274
Washtakiwa watatu kati ya wanne walioshtakiwa kwa kosa la mauaji ya Milembe Suleiman (43), aliyekuwa mfanyakazi wa Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGM) wametiwa hatiani na kuhukumiwa adhabu ya kunyongwa hadi kufa.

Mahakama imetoa adhabu hiyo baada ya kuridhishwa na ushahidi uliotolewa na upande wa Jamhuri ambao umethibitisha kosa hilo pasipo kuacha shaka.

Hukumu hiyo imetolewa leo Jumanne Agosti 27, 2024 kuanzia saa 3.02 asubuhi hadi saa 5.12 asubuhi na Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Geita, Kelvin Mhina.

Soma Pia:
Jaji Mhina aliyesikiliza kesi hiyo amesema kwa mujibu wa ushahidi uliotolewa na upande wa Jamhuri, Mahakama imewatia hatiani washtakiwa wa kwanza hadi wa tatu na kumuachia huru wa nne, Musa Lubingo.

Snapinsta.app_457131582_524981839902632_3834037047453674952_n_1080.jpg
 
How time flies...
Stupid action, serious consequences..

Ilivyokuja hii kesi hapa watu
walikuwa na mihemko sana..

Huyo dada kajifunika gubigubi alikuwa hajui thaman ya uhai wa mwingine....

Madoogo wanaenda ozea Jela kwa mihemko... Life game finale....
 
Washtakiwa watatu kati ya wanne walioshtakiwa kwa kosa la mauaji ya Milembe Suleiman (43), aliyekuwa mfanyakazi wa Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGM) wametiwa hatiani na kuhukumiwa adhabu ya kunyongwa hadi kufa.

Mahakama imetoa adhabu hiyo baada ya kuridhishwa na ushahidi uliotolewa na upande wa Jamhuri ambao
umethibitisha kosa hilo pasipo kuacha shaka.

Hukumu hiyo imetolewa leo Jumanne Agosti 27, 2024 kuanzia saa 3:20 asubuhi hadi saa 5: 12 asubuhi na Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Geita, Kelvin Mhina.

Jaji Mhina aliyesikiliza kesi hiyo amesema kwa mujibu wa ushahidi uliotolewa na upande wa Jamhuri, Mahakama imewatia hatiani washtakiwa wa kwanza hadi wa tatu na kumuachia huru wanne, Musa Lubingo.
Waliotiwa hatiani katika kesi hiyo ya jinai namba 39 ya mwaka 2023 ni mshtakiwa wa kwanza, Dayfath Maunga (30), wa pili ni Safari Lubingo (54), na wa tatu ni Genja Pastory.

SOURCE: MWANANCHI
 
Safiii sanaa, na hukumu itekelezwee Wanyongwe hadi kufaaaa
Km mnyongajii hayupo, wanichukue mie, nije nitekeleze hukumu ipasavyo kabisa, na kwa Weledi mkubwaa.

Haya Wajaaa mlosemaa kuwa watuhumiwa watatoka huru, kisa Milembe ni Msagaji, njooni muwasaidie wenzenu kunyongwaaa, mxxxiiieeeeeew.
 
How time flies...
Stupid action, serious consequences..

Ilivyokuja hii kesi hapa watu
walikuwa na mihemko sana..

Huyo dada kajifunika gubigubi alikuwa hajui thaman ya uhai wa mwingine....

Madoogo wanaenda ozea Jela kwa mihemko... Life game finale....
Halafu binti mdogo tu 30 years unakuwa katili kiasi hicho, bora angeuza papa tu maisha yakaendelea.
 
Safiii sanaa, na hukumu itwkelezwee Wanyongwe hadi kufaaaa
Km mnyongajii hayupo, wanichukue mie, nije nitekeleze hukumu ipasavyo kabisa, na kwa Weledi mkubwaa.

Haya Wajaaa mlosemaa kuwa watuhumiwa watatoka huru, kisa Milembe ni Msagaji, njooni muwasaidie wenzenu kunyongwaaa, mxxxiiieeeeeew.
hebu tukumbushe sababu hasa ya hawa wangese kumuua ilikua nini?
 
Back
Top Bottom