Watatu wahukumiwa kunyongwa kwa mauaji ya Milembe wa GGM

Wahuni wameliwa vichwa mtuhumiwa aamini hiyo hukumu ya kunyongwa hadi kufa ikisomwa na Hakimu...huyo dada alijua analiwa kichwa ikabidi ajifunike bai bui tu..
 
Mama asaini mafaili ili wanyongwe haraka.tatizo viongozi wetu hawasaini cjui wanaogopa nini
 
Et yule demu wake nae yupo hapo kwenye kunyongwa,?
 
Thubutuu,hizo nguvu za kuwanyonga unazitoa wapi!

Chapati tu ya mayai inakushinda kukata ije kuwa ku-press button ya kamba?
 
Halafu binti mdogo tu 30 years unakuwa katili kiasi hicho, bora angeuza papa tu maisha yakaendelea.
Nilisoma gazetini mwenendo washauri...yeye alichoka ndoa akatafuta vijana wamuuwe mume" wake....maelezo Yale yalionuesha ni jinsi gani Binti alikuwa na akili ndogo ya kuandaa mpango huo!
 
Nilisoma gazetini mwenendo washauri...yeye alichoka ndoa akatafuta vijana wamuuwe mume" wake....maelezo Yale yalionuesha ni jinsi gani Binti alikuwa na akili ndogo ya kuandaa mpango huo!
So ni kusema huyo alojufunika hapo kwenye pic ni huyo binti?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…