Watawala makatili zaidi kuwahi kutokea barani Afrika

Namba 3 na 4 hapana kabisa idd amin hakuwa katili. Aliweza kuwafanya wanganda weusi kuwa matajiri kwa mda mfupi nenda uganda waulize waganda iddi amini alifanyiwa propogada kuwa katili kwa sababu ya kupenda sana dini yake ndio maana aliondolewa.mabutu aliifanya zaire watu kuishi kwa amani sana na kufanya kazi biashara ila usiingilie serikali zaire ya mabutu na ya sasa hivi ipi bora
 
Jammeh hakuwa tu katili wa kawaida alikuwa ni mchawi pia.Ukisikiliza clips za Iddi Amin sio vigumu kukataa kwamba asingeweza kufanya hayo yote unayodai ni uzushi.Alikuwa aina fulani ya mwendawazimu.
Yahya Jameh akuwa katili,umemzushia.
Ata Iddi Amin kunachumvi za uzushi ziliongezwa,kama kula nyama za watu,kuwakusanya viwete na kuwatupa mto Kagera n,k
 
Mobutu alikuwa mtu poa sana
Tofauti ya Mobutu na hao wengine, yeye alikuwa sio muuaji na kuwafanyia ukatili watu wake bali yeye alikuwa mla bata mno kupindukia mfano watoto wake wanatoka kinshasa wanaenda Paris shuleni kisha usiku wanarudi kulala kinshasa
 
Mobutu alihusika na kifo cha Lumumba moja kwa moja.
Tofauti ya Mobutu na hao wengine, yeye alikuwa sio muuaji na kuwafanyia ukatili watu wake bali yeye alikuwa mla bata mno kupindukia mfano watoto wake wanatoka kinshasa wanaenda Paris shuleni kisha usiku wanarudi kulala kinshasa
 
Yahya Jameh akuwa katili,umemzushia.
Ata Iddi Amin kunachumvi za uzushi ziliongezwa,kama kula nyama za watu,kuwakusanya viwete na kuwatupa mto Kagera n,k

Obote aliua watu wengi zaidi kuliko Idi Amin. Yeye alikuwa anfanya genocide (mumewahi kusikia kuhusu Loweero triangle?).

Shida ya Idi Amini ilikuwa misifa ya kijinga (aliwahi kuwaambia wazungu wambebe) na pia hakupenda wasomi. Mambo hayo ndiyo yaliyofanya akapigiwa propaganda hasa na waingereza aliwadhalilisha kwa kuwaambia wambebe.

Mwenzake Obote alikuwa anaua kimya kimya.
 
Hakika umenena.
 
Daaah...! brother....em sema corona ipo, uone hiyo orodha yako kama haijabadilika
 
Uongo. Nyumba ipi ilikuwa dhahabu tu hadi vitasa? Nyumba ya wapi hiyo ilijengwa kwa dhahabu? Huu uongo wa vijiweni.

watu wanaamini sana story za vijiweni ndio maana jamaa aliwapuuza mpaka anakufa hakuwa anapoteza muda kuwajibu, he had a humble but expensive lifestyle.
 

umesema kweli, Idd amin alikuwa mpole sana yule jamaa alipenda kuongea utani muda wote
wale watu wanaotajwa kuuwawa na Amin ni waliopanga kumuua au waliotishia uhai wake so as Mobutu na viongozi wengine wengi tu
 
Tofauti ya Mobutu na hao wengine, yeye alikuwa sio muuaji na kuwafanyia ukatili watu wake bali yeye alikuwa mla bata mno kupindukia mfano watoto wake wanatoka kinshasa wanaenda Paris shuleni kisha usiku wanarudi kulala kinshasa

umesema ukweli ila kuhusu watoto wake, mobutu hakuishi kabisa na wanae , waliishi ulaya wakilelewa na wazungu, yeye hakutaka kuishi na wanae.
kinshasa walienda wakati wa likizo na hata hiyo likizo muda mwingi hawakumuona na hata walipomuona alikuwa busy na kazi, mwanae anaitwa Nzaga Mobutu anasema amekuja kuwa karibu na baba yake miaka ya mwishoni wakati Mobutu anakaribia kufariki
 
watu wanaamini sana story za vijiweni ndio maana jamaa aliwapuuza mpaka anakufa hakuwa anapoteza muda kuwajibu, he had a humble but expensive lifestyle.
Ubaya wanakuja kuandika huku wakiamini watu wote wa JF Hawajielewi kama wao. Eti alijenga kumba la dhahabu mpaka vitasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…