Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,113
- 17,645
Tumia zile app zao, huduma ni cheap n realible.Jana nimetoka kuomba bank statement wamekata buku na bank statement hawajatuma.
Crdb mnaugua nini? Yaani Wametuma message hewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumia zile app zao, huduma ni cheap n realible.Jana nimetoka kuomba bank statement wamekata buku na bank statement hawajatuma.
Crdb mnaugua nini? Yaani Wametuma message hewa
Nna tumia sim banking. WamekataTumia zile app zao, huduma ni cheap n realible.
Hizi pesa ndizo baadae ccm huchukua kiasi fulani kuendeshea mambo yao hasa chaguzi.Nadhani shida sio maBank shida ni watawala wetu wanaotaka kuvuna wasipopanda ..wee humsikii yule Waziri anaefanyaga kazi ya uafisa habari wa mitandao ya simu?....tungekuwa na watawala wanaojali watu wao wasingekuwa wanaweka makodi ya hovyo hovyo
Sent from my CPH2179 using JamiiForums mobile app
Huu wizi unaofanyika sana, na vile watu wengi hatuko makini basi hilo linafanyika kirahisi sana. Usishangae ukakuta serikali inajua jambo hili, na si ajabu ni wafaidika wa huu uhuni.Kwa kweli haya mabenki bila kuyafikisha mahakamani, yataendelea na huu wizi. Wanatamba wametengeneza faida kumbe ni kwa kuwaibia wateja.
Fikiria muamala mmoja wanaiba kama sh 2,000 hivi. Mwezi mmoja ukitoa pesa yako kupitia ATM 10m, ina maana watakuwa wamekuibia = 10,000,000÷400,000 = 25×2,000=50,000. Wakifanya hivyo kwa wateja 10,000; watakuwa wamefanikiwa kuiba = 50,000×10,000 = 500,000,000 kwa mwezi. Kwa mwaka, watatengeneza bilioni 6.
Kuna benki nyingine, siitaji jina kwa sababu waliomba sana msamaha. Wao kwenye miamala miwili ya jumla ya shilingi laki 8, nilitoa kwenye ATM kutoka kwenye account yangu ya dola, walinikata tozo dola 2,700. Yaani nilitoa laki 8, halafu tozo ikawa zaidi ya shilingi milioni 6. Yaani system yao ikawa inazikata dola kama shilingi. Baada ya kulalamika, walirudisha baada ya siku 5.