GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
SijakuelewPossible mr. Tarimo alikuwa anaenda kuwekewa mwilini atomic number 29 in a periodic table of an elements😭
Mkuu mbona comment ipo wazi inajieleza.Sijakuelew
Atomic number 29 ni Copper, symbol Cu...
Unamanisha nini?
Jamaa kapambana kinyama,halafu washikaji wanashangaa tu badala yakumsaidiaNilikuwa nikifikiri pingu zinapatikana Polisi tu, lakini kumbe hata "watu wengine" wanaweza kuwa nazo!
"Watekaji" waliomteka marehemu Ally Kibao na hatimaye "kumpoteza", walikuwa na pingu. Lakini Jeshi la Polisi lilikana kuwatambua, kwa hiyo "hawakuwa" askari Polisi.
Waliojaribu kumteka Deogratius Tarimo nao walikuwa na pingu, lakini Jeshi la Polisi limedai haliwatambui!
Ikiwa hawakuwa askari wa Jeshi la Polisi, walitoa wapi pingu? Siku hizi zinauzwa "Kariakoo"?
Yaani dah! Halafu polisi wanasema hatujuiUnashangaa pingu?
Wana hadi gari za PT
Shaba.Sijakuelew
Atomic number 29 ni Copper, symbol Cu...
Unamanisha nini?
..la kwako? acheni mizaha kwenye masuala ya uhai wa watuKuna duka la pingu Kariakoo
Acheni masihara..angeumizwa ndugu yako ungepata nguvu kumwambia hiki unasema..?Funzo kubwa nililopata
Ni kula sana tunenepe nimeona faida zake
Hujaelewa mkuu hebu soma tena.Acheni masihara..angeumizwa ndugu yako ungepata nguvu kumwambia hiki unasema..?
mtaa gani we mzinzi nikanunue sasa hiviKuna duka la pingu Kariakoo