GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Nilikuwa nikifikiri pingu zinapatikana Polisi tu, lakini kumbe hata "watu wengine" wanaweza kuwa nazo!
"Watekaji" waliomteka marehemu Ally Kibao na hatimaye "kumpoteza", walikuwa na pingu. Lakini Jeshi la Polisi lilikana kuwatambua, kwa hiyo "hawakuwa" askari Polisi.
Waliojaribu kumteka Deogratius Tarimo nao walikuwa na pingu, lakini Jeshi la Polisi limedai haliwatambui!
Ikiwa hawakuwa askari wa Jeshi la Polisi, walitoa wapi pingu? Siku hizi zinauzwa "Kariakoo"?
"Watekaji" waliomteka marehemu Ally Kibao na hatimaye "kumpoteza", walikuwa na pingu. Lakini Jeshi la Polisi lilikana kuwatambua, kwa hiyo "hawakuwa" askari Polisi.
Waliojaribu kumteka Deogratius Tarimo nao walikuwa na pingu, lakini Jeshi la Polisi limedai haliwatambui!
Ikiwa hawakuwa askari wa Jeshi la Polisi, walitoa wapi pingu? Siku hizi zinauzwa "Kariakoo"?