Watendaji wa JamiiForums watembelea hifadhi ya Ngorongoro baada ya kufanya tathmini ya mipango na maandalizi ya mwaka 2024

Nilisikia Jana Vijana wakisema JF nayo ina Pisi Kali.....Leo hata sikuhitaji kuvaa miwani yangu ya macho kuweza kuwaona πŸ€—

Hongera Max na Timu yako, you guys are doing incredible, very proud of you πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘Š
"Kula chuma hiko"
 
Naunga mkono hoja, kwa vile hii ndio the first public JF staff retreat, huu ni mwanzo wa retreats, hivyo itafuatia jf members Dar retreat, Arusha retreat, JF London, JF DMV, etc etc na sisi wa ku chumpa, tutahudhuria
P
 
Sio JF ya sasa, ile ya zamani Mods walikuwa wa kawaida sana aisee, halafu kumbuka JF ya sasa ni Next Level. Mkuu Maxence alishakaa meza moja na Mark Pence ( VP wa Donald Trump wakati ule)
We nawe umekomalia..!!! πŸ™Œ
Au ulituma maombi 🀣🀣🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…