Watendaji wa JamiiForums watembelea hifadhi ya Ngorongoro baada ya kufanya tathmini ya mipango na maandalizi ya mwaka 2024

Umeona eeh Mkuu Pascal Mayalla 🤗

Ndiyo maana huwa napenda kusema "Kweli Vijana Wanafaidi " 😜
 
Hahahahaha ile combat ya chadema mbn tumeiona wengi Mkuu
 
Ingekuwa enzi zetu alafu unafanya kazi kwenye hiyo Ofisi Kila Siku saa 11 alfajiri unawahi ofisini kusaidia shughuli za Usafi....

Bora tumezeeka sasa 😜🤗
Nakazia
JF Staff Huko Kuna Hoja Ya Kujadiri Mambo Ni Moto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…