Bird Watcher
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 3,151
- 6,261
Acha ujinga wewe! Aliyekuambia hatujui tunachotaka ni nani! Watanzania tulio wengi, tunataka Katiba Mpya ili CCM itoke madarakani kwa njia ya amani. Maana huko ndiko mchwa wanako jifichia.Si tulikubaliana kuwa tunataka hela mtaani?
Hii ndio njia nzuri na haraka. Tatizo wabongo hatujui tunataka nini.
Rest in peace MAGUFULI!
Kuna kiasi cha pesa ambayo sio lazima KM aidhinishe. Wakuu wa idara katika wizara wana mamlaka ya kuidhinishe malipo hadi kiasi fulani. Sijui kwa wizara ya fedha ni kiasi gani?Inasikitisha sana. Wakati wanagawana Waziri wa fedha,na katibu wa wizara walikuwa wapi? Au na wao walihusika? Nchi hii inaliwa kizembe zembe sana.
Wasalaam wanajamiiForums!
Kwanza kabisa naomba nitoe masikitiko yangu makubwa sana kuhusu upigwaji holela wa pesa za umma kienyeji kiasi hiki. Huu ni sawa na uuaji kabisa usiovumilika hata kidogo. Ninampa pole sana Mama yangu Mhe Rais Samia Suluhu Hassan.
Nitashangaa sana kuona Waziri wa Fedha Mhe Dkt Mwigulu Nchemba mpaka muda huu yupo kazini wakati wizara yake imechafuka kiasi hiki. Yaani mpaka Waziri mkuu anagundua uchafu huu waziri ulikua umelala wapi? Haiwezekani waziri upo pesa za walipa kodi zinaliwa kiasi hicho na wewe upo huenda unajua au hujui kabisa kinachoendelea, maana yake wewe hujui upo ofisini unafanya nini, yaani upo sawa na wabunge wasiokua na vyeo.
Toka awali tulisema kabisa kua Dkt Mwigulu si mtendaji ni mwanasiasa wa kelele za majukwaani, huwezi kupewa wizara nyeti kama hii Madudu yote yanatokea mikononi mwako mchana kweupe wewe upo usingizi wa pono. Kama mwananchi mwenye haki ya kutoa maoni na kuhoji, nakuomba ujiuzulu mapema tu kulinda heshima yako, walishe watu wenye weledi wafanye kazi zao.
Chande chonde Mhe Rais tumbua huyu mtu au hamisha mpeleke mazingira kule, tuletee waziri smart atakayeweza kufuatilia yote yansyotendeka ndani ya wizara. Tuna vijana watendaji na waaminifu wasioweza kutafuna pesa ya mtu wape kazi Mama achana na Mwanasiasa huyu atakupotezea malengo yako. Ningeomba ikiwezekana kabisa Mteuea hata Prof Assad CAG Mstaafu mpe ubunge wa kuteuliwa katika nafasi 2 za Rais zilizobakua kisha mpe kazi ya kusimamia Wizara hii. Ikishindikana Mhamishie Waziri Ummy Mwalimu kwenye wizara yako, huyu ni kiboko ya mafisadi.
Mwigulu anawaza Urais 2021 angebakia kua mbunge wa kawaida tu ili afanye maandalizi yake vizuri, kazi za serikali hataweza. Mama usipoteze muda katika hili fanyika kazi kwa haraka, taifa linahitaji pesa sana kwa sasa halafu zinachezewa.
Nimemaliza, sina chuki binafsi na ndugu Mwigulu Nchemba na ni rafiki yangu wa karibu lakini Maslahi ya taifa ndio kubwa kuliko ukaribu wangu na Waziri.
Zaidi, soma: Wizi Mkubwa wafanyika Wizara ya Fedha na Mipango, Waziri Mkuu Majaliwa asimamisha wakaguzi kupisha Uchunguzi
Umesahau kujaza mafaili mezani na kupiga picha aonekane anafanya kazi, hajui kuwa boss anayejaza mafaili mezani pasipo kuyatoa ni dalili ya bosi mvivu asiyejua majukumu yakeAkichoka kuangalia Shilawadu anakwenda kupanda mawe na kuota jua kama kenge, au kula mahindi barabarani. Mwendazake bora amekufa
Itakuwa mabilioni.watu siku mbili milioni 400, dah kufuruKuna kiasi cha pesa ambayo sio lazima KM aidhinishe. Wakuu wa idara katika wizara wana mamlaka ya kuidhinishe malipo hadi kiasi fulani. Sijui kwa wizara ya fedha ni kiasi gani?
Acha ujinga wewe!Acha ujinga wewe! Aliyekuambia hatujui tunachotaka ni nani! Watanzania tulio wengi, tunataka Katiba Mpya ili CCM itoke madarakani kwa njia ya amani. Maana huko ndiko mchwa wanako jifichia.
Kwani huyo magufuli wako unayemlilia hapa alikuwa ni mtakatifu? Mbona na yeye alikuwa ni mpigaji tu! Unawezaje kuwa ndani ya serikali ya ccm halafu usiwe mwizi!
😏Acha ujinga wewe!
Watoke CCM waje chama gani?
Chama mbadala wa CCM kilikufa uchaguzi wa 2015. Hawa waliobaki ni bora CCM itawale milele!
Wanaokula waliweMama D, kazi iendelee wakati tunaliwa?
Katibu Mkuu hazina anatokea mkoa gani ?Hasira zake zikimpanda hata kunyonga hazarani anaweza kwa jinsi waeja wa uporaji wanavyotekenya tekenya within a short time ,muda uliopita ka miezi hivi alikuwa na bado yale ya mzibiti wa hesabu za serikali kuwa kuna uharibifu n upotevu wa hela katika wizara ile,Raisi akajitutumua na kumleta waziri mpya mchapa kazi leo hii wizara ileile kunalipuka bomu ,aloo mama atauwa mtu ! Msimpandishe hasila kwanza sijahipo kumuona kucheka.Kwa hasira zinapopana bora magufuli kuliko huyu. Wakinamama hawachelewi kuchukua maamuzi magumu.
Kipindi cha Magufuli ndiyo posho zisizo na kichwa wala miguu zilishamiri sana kwa sababu alipiga marufuku warsha na semina na pia kuanzishwa kwa Force Account ambako kuliwanyima wakandarasi kupata kazi za ujenzi serikalini.Inaonyesha walikuwa na njaa sana ,watakuwa ni miongoni mwa waliofurahu kifo cha magu ,yaani nj Kama mbwa wanaosubiri makubwa kwa hali na mali
Vyote ulivyoorodhesha vilishamiri enzi za Magufuli na alivilinda kwa nguvu zote ilimradi kuna chake amekinusa!Magufuli alishawaambia mapema ni madudu gan yaliyokua yakiendelea ndan ya serikali... huu ni mwanzo tu ..makubwa yaja na alisema ipo siku mtanikumbuka, ni muda mchache sana umepita tangu afariki, tunashuhudia ujambazi kurudi kwa kasi, madawa ya kulevya, watu wanapiga dili sasa kwa kwenda mbele hakika Nchii tunakoelekea me sijui... anyway Time will tell.................................
Sio kweli naona unaongea kishabikiUrejee kutoka wapi? Kama ulikuwa hujui hayo masalia yake ni kwamba yanaendeleza tu wizi uliokuwepo!
Wakati wa yule shetani nani angethubutu kuhoji? Si afadhali ya sasa kwani hata Majaliwa ana ujasiri wa kuhoji!
Kwa ufahamisho zilikuwa zikichotwa labda zaidi ya hizo kwa amri/kauli yake!