Watibeli tunalaani matukio ya utekaji na watekaji wenyewe

Watibeli tunalaani matukio ya utekaji na watekaji wenyewe

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Mpo salama Wakuu!

Watibeli tuliuchukia ûtawala wa awamu ya Tano siô Kwa sababu Hakuna mazuri àmbayo hayakufanywa na ûtawala huo. Yapo. Lakini màtukio ya utekaji, Mateka kuuawa, miili kuokotwa mahalimahali NI Moja ya mambo yaliyotufanya Sisi kuuchukia ûtawala wa awamu ya Tano

Ñàona utekaji Kwa Sasa unachachamaa, Jambo ambalo NI baya na linaloinajisi nchi yetu.

Sifurahishwi na vitendo vya ukatili, unyonyaji na dhulma iliyopitiliza hasa ya Kuua Mtu, kumpa mateso na kudhulumu HAKI yake ya kuishi.

Tunalaani matendo yenyewe. Na tunalaani wôte wanaotenda matendo yenyewe hasa wakiwa wanawatendea wasio na hatia isitahiliyo kuuawa.

Tunajua Ikiwa wanyonge Hawana na weñye ûjinga na waliodhaifu watashindwa kujitetea Basi Mungu Muumbaji, Yule aliyeumba na kuwafanya kuwa wanyonge na kuwapa Ñguvu Wengine Ambazo walizitumia kidhalimu atajua namna ya kuyaweka mambo Sawasawa Kwa Wakati.

Kamwe Sisi Watibeli hatutaungana na Wauaji, wanaodhulumu Haki za Wengine.

Tunajua wàpo Watibeli waliopo kwèñye Vyombo vya usalama, wàpo viongozi Wakuu walioheshimishwa. Hatuwaambii nini chakufanya Kwa sababu tunajua wanajua Nafasi zao na wajibu waô.

Kîla mpenda HAKI lazima apaze sauti Ikiwa matendo maovu kama haya yatazidi kuongezeka.

Mungu atalipa Kwa hekima Zake, Kwa Ñguvu Zake, Kwa utukufu wake, Kwa Upendo wake, Kwa Haki yake, Kwa kweli yake na Kwa Wakati Wake.

Yeye ndiye anauchungu kuliko Sisi. Yeye ndiye anajua nini chakufanya.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
 
Police CCM wanasemaje ktk hili mkuu.au nao wapo Kwenye wsws wakutekwaa..
 
Ukweli ni kuwa watu wanapambana na Adui wasiemjua na kwakua hawamjui adui yao ni nani wanamtuhumu asie adui yao kuwa ndo adui yao hivyo adui wa kweli amepata camouflage ya kuendelea kutekeleza matukio kwa uhuru zaidi.
Ila hakuna mtu atakaekubali ukweli huu kwakua tayari wameshajengewa Imani
 
Mbona watibeli mnakubali mtu aliyetembea na mke wa mtu kuuliwa au kulawitiwa!

Watibeli hatuna shida kuona Mtu akiuawa Ikiwa anastahili kuuawa.

Mfano wa Makosa àmbayo ukiuawa Sisi Watibeli hatuna shida
1. Ukiua Kwa Makusudi Mtu àmbaye hastahili kuuliwa unapaswa nawe kuuawa.

2. Ukiwa Shoga.
3. Ukiwa mwanajeshi au Afisa wa usalama au Kiongozi uliyeapa Kulinda Siri za nchi lakini ukasaliti Kiapo ukawapa maadui.

4. Ukilala na Mke au Mume WA Mtu. Unatakiwa uuawe/niuwawe.

5. Ukilala na mama au Baba yako, au Mkewe, au Mtoto wako. Au ndugu yako wa damu yàani Baba au Mama yàani mliyechangia Wazazi

6. Ukilala na Mnyama Kwa hiyari na wala siô kwamba umelazimishwa

7. Ukiwa mchawi au matendo ya kichawi yaani ushirikina
 
Ukweli ni kuwa watu wanapambana na Adui wasiemjua na kwakua hawamjui adui yao ni nani wanamtuhumu asie adui yao kuwa ndo adui yao hivyo adui wa kweli amepata camouflage ya kuendelea kutekeleza matukio kwa uhuru zaidi.
Ila hakuna mtu atakaekubali ukweli huu kwakua tayari wameshajengewa Imani

Unàtaka kusemaje Mkûu?
Kwamba serikali yetu haina weledi?
 
Zamani ilikuwa Jpm Leo Kizimkazi Kesho nikiingia Mimi mtasema vivyohivyo.
Kûna zaidi ya jpm na Kizimkazi katika mambo haya
Hapana. Jiwe alitumia mfumo huu wa kijinga kuendesha nchi, ambapo alinda kundi la wasiojulikana. Alipoingia huyu bibi akaliondoa, pakatulia.

Lkn hivi Sasa huyu bibi anaona 2025 hatoboi, hivyo anaiga kila uovu wa jiwe ili atoboe 2025.
 
Back
Top Bottom