Watibeli tunalaani matukio ya utekaji na watekaji wenyewe

Watibeli tunalaani matukio ya utekaji na watekaji wenyewe

Upo sahihi kwa kiwango cha Haki ya Aliyeua asiye na hatia kuuawa.
Hizo zingine nafikiri zinahitaji malezo ya kina.
Mkuu hakuna kitu kina justify kuua mtu
Mimi ni daktari personally nakutana na watu wengi
Ikiwemo mashoga ambao umewataja
Mambo ni mengi
Wengine ni wameumbwa hivyo ( prolly switching hormones) wengine ni hulka Mukundi yanapelekea hivyo
Ujinga tu wa vijana na tamaa

Kutembea na mke wa mtu ni mfano mwingine umeutaja nadhani kama sijakosea still haujustify nani afe

Either way imetokea kwako mwanamke katembea nje ni maana ake hakupendi kama anakupenda akili yake haipo sawa sawa na aende milembe

Inshort nothing verifies someone to be killed mtu katoa siri za nchi mkamateni mfungeni jela
Zipo jela za Jeshi
Zipo jela za usalama wa taifa
Peleka hio mtu huko
Don't kill him or her
Lakini kama ameuua kill instantly au ana malengo ya kuua kill instantly ondoa huo uchafu maana anaondoa dhana ya kutokuuana

Life is precious and sacred
 
Mkuu hakuna kitu kina justify kuua mtu
Mimi ni daktari personally nakutana na watu wengi
Ikiwemo mashoga ambao umewataja
Mambo ni mengi
Wengine ni wameumbwa hivyo ( prolly switching hormones) wengine ni hulka Mukundi yanapelekea hivyo
Ujinga tu wa vijana na tamaa

Kutembea na mke wa mtu ni mfano mwingine umeutaja nadhani kama sijakosea still haujustify nani afe

Either way imetokea kwako mwanamke katembea nje ni maana ake hakupendi kama anakupenda akili yake haipo sawa sawa na aende milembe

Inshort nothing verifies someone to be killed mtu katoa siri za nchi mkamateni mfungeni jela
Zipo jela za Jeshi
Zipo jela za usalama wa taifa
Peleka hio mtu huko
Don't kill him or her
Lakini kama ameuua kill instantly au ana malengo ya kuua kill instantly ondoa huo uchafu maana anaondoa dhana ya kutokuuana

Life is precious and sacred

Mambo makuu mawili yanayopelekea adhabu ya kifo ni
1. Madhara na aahari mbaya au Maumivu makali ya mhanga au wahanga.
2. Aibu au fedheha kubwa aliyoifanya mhusika.

Ndio maana sehemu zingine Rushwa ni kosa linalostahili kifo
 
Ukweli ni kuwa watu wanapambana na Adui wasiemjua na kwakua hawamjui adui yao ni nani wanamtuhumu asie adui yao kuwa ndo adui yao hivyo adui wa kweli amepata camouflage ya kuendelea kutekeleza matukio kwa uhuru zaidi.
Ila hakuna mtu atakaekubali ukweli huu kwakua tayari wameshajengewa Imani
Sasa wenye uwezo wa kumtambua Adui halisi mbona wamekaa kimya?
 
Ukweli ni kuwa watu wanapambana na Adui wasiemjua na kwakua hawamjui adui yao ni nani wanamtuhumu asie adui yao kuwa ndo adui yao hivyo adui wa kweli amepata camouflage ya kuendelea kutekeleza matukio kwa uhuru zaidi.
Ila hakuna mtu atakaekubali ukweli huu kwakua tayari wameshajengewa Imani
Naungana na wewe huenda adui hajuliiani.
 
Utekaji wenyewe wanafanya kishamba unprofessional kabisa
Ila mbegu wanayoipanda iko siku watakuja ivuna tu

Ova
 
Utekaji wenyewe wanafanya kishamba unprofessional kabisa
Ila mbegu wanayoipanda iko siku watakuja ivuna tu

Ova

Ninasikitika sana.
Viongozi wanaopenda HAKI hili wasilivumilie. Jambo linalozidi mipaka likiachwa liendelee huleta Uasi
 
Ninasikitika sana.
Viongozi wanaopenda HAKI hili wasilivumilie. Jambo linalozidi mipaka likiachwa liendelee huleta Uasi
Mpaka sahvi viongozi wa dini wengi wako kimya wachache sana ndiyo wanaongea
Ni kweli kuna hali fulani hao watekaji wanalitengeneza bila wao kujuwa,hicho kikundi tu kinaonekana ni cha watu wachache tu

Ova
 
Naomba nafasi huko utibelini Bobby

1. Ukijiona unapenda sana HAKI na unajitahidi kuitenda, kuisema, kuihubiri. Jua wewe ni Mtibeli.
Haki ni Yale yote ambayo hutaki kufanyiwa basi usiwafanyie wengine.
Haki ni kuvaa viatu vya mhusika.
Haki ni kumpa mtu kile anachostahili na kukubali kupewa kile unachostahili.

2. Ukijiona unapenda sana UPENDO, na huna unayemchukia, wala hukerwi na mafanikio ya watu wengine. Na unataka watu wote wafanikiwe. Waishi maisha mazuri kwa nafasi zao na jinsi wanavyostahili.
Ukiona hata wale wasiostahili, wanaokuudhi na kufanya Makosa ambayo sio makubwa, unawapa second chance "NEEMA" au "MSAMAHA"
Basi ujue wewe ni Mtibeli.
UPENDO ni zaidi ya HAKI kwa sababu Haki unampa mtu kile anachostahili lakini UPENDO unampa neema mtu Asiyestahili nafasi ya Pili.

3. Ukiona unapenda uaminifu, unyoofu na huo ndio UKWELI. mambo ya mantiki, kutafuta Ukweli,kuutunza na kuutumia kwa lengo la kuleta furaha na amani katika jamii, kwa lengo la kuokoa au kuangamiza uovu na dhulma.
Basi jua wewe ni Mtibeli.
Ukweli na Haki vinaenda pamoja. Vinahitaji uwe JASIRI na moyo Mkuu kwa Sababu Ukweli unaweza kukuumiza hata wewe wakati mwingine.
Ukweli ni pamoja na kujikubali jinsi vile ulivyo na kukubali uhalisia wa Maisha.

4. Ukiona wewe ni mtu wa udadisi, kutaka kujifunza, kufanya tafiti na unatabia ya ubishi na unataka maelezo yaliyonyooka yenye mantiki. Basi wewe unapenda Ufahamu, maarifa, elimu, ujuzi. Kwa kifupi una AKILI.
Wewe ni Mtibeli.

Matokeo yake siku zote utakuwa mtu Huru kwelikweli
 
1. Ukijiona unapenda sana HAKI na unajitahidi kuitenda, kuisema, kuihubiri. Jua wewe ni Mtibeli.
Haki ni Yale yote ambayo hutaki kufanyiwa basi usiwafanyie wengine.
Haki ni kuvaa viatu vya mhusika.
Haki ni kumpa mtu kile anachostahili na kukubali kupewa kile unachostahili.

2. Ukijiona unapenda sana UPENDO, na huna unayemchukia, wala hukerwi na mafanikio ya watu wengine. Na unataka watu wote wafanikiwe. Waishi maisha mazuri kwa nafasi zao na jinsi wanavyostahili.
Ukiona hata wale wasiostahili, wanaokuudhi na kufanya Makosa ambayo sio makubwa, unawapa second chance "NEEMA" au "MSAMAHA"
Basi ujue wewe ni Mtibeli.
UPENDO ni zaidi ya HAKI kwa sababu Haki unampa mtu kile anachostahili lakini UPENDO unampa neema mtu Asiyestahili nafasi ya Pili.

3. Ukiona unapenda uaminifu, unyoofu na huo ndio UKWELI. mambo ya mantiki, kutafuta Ukweli,kuutunza na kuutumia kwa lengo la kuleta furaha na amani katika jamii, kwa lengo la kuokoa au kuangamiza uovu na dhulma.
Basi jua wewe ni Mtibeli.
Ukweli na Haki vinaenda pamoja. Vinahitaji uwe JASIRI na moyo Mkuu kwa Sababu Ukweli unaweza kukuumiza hata wewe wakati mwingine.
Ukweli ni pamoja na kujikubali jinsi vile ulivyo na kukubali uhalisia wa Maisha.

4. Ukiona wewe ni mtu wa udadisi, kutaka kujifunza, kufanya tafiti na unatabia ya ubishi na unataka maelezo yaliyonyooka yenye mantiki. Basi wewe unapenda Ufahamu, maarifa, elimu, ujuzi. Kwa kifupi una AKILI.
Wewe ni Mtibeli.

Matokeo yake siku zote utakuwa mtu Huru kwelikweli
Nimepita tena kwa kishindo, asante mwenyekiti
 
Back
Top Bottom