Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 6,067
- 10,938
Mamlaka za Lebanon zimesasisha hivi punde kuwa idadi ya waliofariki kutokana na mashambulizi ya anga ya Israel leo imefikia watu takriban 274 sasa. 21 kati yao ni watoto, kulingana na wizara ya afya ya Lebanon.
Watu wengine 1,024 wamejeruhiwa katika mashambulio hayo, wizara hiyo inaongeza.
Soma Pia: Israel yajibu shambulio Lebanon
Watu wengine 1,024 wamejeruhiwa katika mashambulio hayo, wizara hiyo inaongeza.
Soma Pia: Israel yajibu shambulio Lebanon