imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Hawakuelewa ujumbe wa Israel Airforce walipokuwa wakiruka juu ya Mji mkuu wa Lebanon Beirut ujumbe ule ni kuwa ni kwamba IDF ina Air superiority dhidi ya Hezbola Airforce na Lebanese Airforce na wanaweza kupiga sehemu yoyote ndani ya Nchi hiyo.
Idiots wakashupaza shingo.
Idiots wakashupaza shingo.