Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 6,067
- 10,938
Lebanese are reaping what they sow.Mamlaka za Lebanon zimesasisha hivi punde kuwa idadi ya waliofariki kutokana na mashambulizi ya anga ya Israel leo imefikia watu takriban 274 sasa. 21 kati yao ni watoto, kulingana na wizara ya afya ya Lebanon.
Watu wengine 1,024 wamejeruhiwa katika mashambulio hayo, wizara hiyo inaongeza.
Kule kwa supapawa nako kunawaka moto alikuwa anafuga mashetani nasikia Jana Zelesky kayalipuaNi nyakati za mwisho hizi....vita ya 3 ya dunia yaja ndugu zangu
Wachache hivyo wanalinda hezbollah watakipata wenzao walichokitafutaMamlaka za Lebanon zimesasisha hivi punde kuwa idadi ya waliofariki kutokana na mashambulizi ya anga ya Israel leo imefikia watu takriban 274 sasa. 21 kati yao ni watoto, kulingana na wizara ya afya ya Lebanon.
Watu wengine 1,024 wamejeruhiwa katika mashambulio hayo, wizara hiyo inaongeza.
Soma Pia: Israel yajibu shambulio Lebanon
Yanaua ila ni watoto wa kuku, Bata na mifugo mwingine.Hivi makombora wanayorusha Hezbollah huwa hayauwi watoto? Kama yanaua pia je hakuna haja kukemea hizi pande zote zisitishe hii vita watafute njia nyingine ya kumaliza huu mgogoro kwa amani? Maana ni wazi wanaoathirika ni raia wasio na hatia na sidhani kama wanaunga mkono hii njia ya vita.
Ila tunaposati upande huu wakiua watoto halafu tunakemea upande huu wakifanya kitu hicho hicho hapatapatikana matokeo chanya.
Super power wao mtegemewa😄😄😄.Kule kwa supapawa nako kunawaka moto alikuwa anafuga mashetani nasikia Jana Zelesky kayalipua
Ukraine imelipua Ton 2000 za makombora ya Urusi 🤔Kule kwa supapawa nako kunawaka moto alikuwa anafuga mashetani nasikia Jana Zelesky kayalipua
😟Huyu Zelesky naye kajitahidi kukomaa,mie ningeshakata moto kwa pressureKule kwa supapawa nako kunawaka moto alikuwa anafuga mashetani nasikia Jana Zelesky kayalipua
Jamaa anastahili tunzo ya heshima aisee anaongoza nchi ktk wakat mgumu sana na ukiangalia vita ilipotokea na ilipo sasa ni wazi Ukraine Wana gain momentum japo Wana incur heavy losses.😟Huyu Zelesky naye kajitahidi kukomaa,mie ningeshakata moto kwa pressure
Hezbollah walirequest muda mrefu hii vita na netanyahuu kawapatiaMamlaka za Lebanon zimesasisha hivi punde kuwa idadi ya waliofariki kutokana na mashambulizi ya anga ya Israel leo imefikia watu takriban 274 sasa. 21 kati yao ni watoto, kulingana na wizara ya afya ya Lebanon.
Watu wengine 1,024 wamejeruhiwa katika mashambulio hayo, wizara hiyo inaongeza.
Soma Pia: Israel yajibu shambulio Lebanon
Israel ina makombora ambayo hayawezi kuzuilika na Lebanon, unajua unapoanzisha vita uwe na uhakika wa kulinda raia wako japo kwa asilimia kubwa kama sio zote, Israel kuchimba mahandaki itawasaidia sana tofauti na Hezbollah ambao shambulizi Moja la Israel linaondoka na Kijiji.Jamaa anastahili tunzo ya heshima aisee anaongoza nchi ktk wakat mgumu sana na ukiangalia vita ilipotokea na ilipo sasa ni wazi Ukraine Wana gain momentum japo Wana incur heavy losses.
Kama Iran ipo nyuma ya Hezbollah kwanini isipeleke mifumo ya ulinzi Lebanon kujilinda dhidi ya makombora ya Israel? Je inaogopa amaIla waliambiwa wahame
Hiyo mifuko si rahisi kufika LebanonKama Iran ipo nyuma ya Hezbollah kwanini isipeleke mifumo ya ulinzi Lebanon kujilinda dhidi ya makombora ya Israel? Je inaogopa ama
Kuna mdau humu huwa anakesha kusifia hiyo mifumo ya Iran kamavile ilishawahi kwenda vitaniHiyo mifuko si rahisi kufika Lebanon
Hezbollah walipokiws wanashambulia ndani ya Israel, ilichofsnya Israel ni kuondosha rais wake kutoka kwenye miji ile inauoshambuliwa na kuwapeleka kwenye makambi ya muda kama wakinbizi ndani ya nchi yao.Mamlaka za Lebanon zimesasisha hivi punde kuwa idadi ya waliofariki kutokana na mashambulizi ya anga ya Israel leo imefikia watu takriban 274 sasa. 21 kati yao ni watoto, kulingana na wizara ya afya ya Lebanon.
Watu wengine 1,024 wamejeruhiwa katika mashambulio hayo, wizara hiyo inaongeza.
Soma Pia: Israel yajibu shambulio Lebanon