Watoto 300+ Dodoma kulishwa wali wenye virutubisho kutoka USAID

Watoto 300+ Dodoma kulishwa wali wenye virutubisho kutoka USAID

Wala tusipanic, haya ndio matokeo ya kukosa focus kwenye issue za msingi.

Hivi ilikuaje miaka ile enzi za mwalimu Tz ikawa moja ya nchi za Africa zilizokua na akiba ya chakula cha kutosha?

Tunakosea wapi labda? Nini kifanyike ukizingatia technolojia, wasomi na taasisi za kuzalisha wataalimu tunazo?
 
Tanzania tuna aridhi inayolimika zaidi ya hekta 44,000,000 na hekta 29,000,000 zinazofaa kilimo cha uwagiliaji.

Pia tunapata mvua ya zaidi ya milimita 3,000 ambazo zikitumiwa vizuri tunaweza kulima kwa mwaka mzima.

Hapa chini ni chakula misaada ambacho tumepokea kutoka marekani.


View attachment 2935364

Chini ya mpango wa 'Pamoja Tuwalishe', Wizara ya Kilimo ya Marekani, kwa ushirikiano na Jumuiya za Kimataifa, imetoa msaada wa kwanza wa mchele ulioongezwa virutubisho, maharage na mafuta ya alizeti kutoka kwa wakulima wa Marekani moja kwa moja hadi shuleni katika eneo la Dodoma nchini Tanzania.

Zaidi ya kutoa milo yenye lishe, wanafunzi katika shule zaidi ya 300 zinazoshiriki, pia wataanzisha bustani za shule, na kujifunza mbinu za kuvuna maji ya mvua.

Ikiwa ni mfano kamili unaoweza kuigwa, programu hii inaakisi ahadi na dhamira ya dhati ya Marekani ya kukuza afya, elimu, na fursa kwa watoto kote ulimwenguni.


My Point: Chakula hiki cha msaada kimewekewa virutubisho na wanaenda kula watoto wetu katika shule zaidi ya 300, nafadhaika sana.
Kuna uwezekano mkubwa huo mchele na maharage siyo salama kwa hao watoto, ila watawala wanavyopenda misaada wanaona poa tu.

Weupe wana mbinu nyingi za kueneza mambo yao. Wakikwambia kwa maneno ukapotezea, wanakukamatia kwenye msosi
 
Kama kweli vina virutubisho bc vipelekwe Ikulu
Virutubisho vitoke wapi hapo, huo ni uchafu mtupu wa GMO na matakataka mengine yenye sumu na mind altering substances.

Samia ale uchafu huo!! Thubutuu 😹😹😹

Ni bora kula mchanga kuliko hayo matakataka kutoka Marekani 😹😹

Dokta njoo huku nimekumis DR Mambo Jambo 😹😹
 
Tanzania tuna aridhi inayolimika zaidi ya hekta 44,000,000 na hekta 29,000,000 zinazofaa kilimo cha uwagiliaji.

Pia tunapata mvua ya zaidi ya milimita 3,000 ambazo zikitumiwa vizuri tunaweza kulima kwa mwaka mzima.

Hapa chini ni chakula misaada ambacho tumepokea kutoka marekani.


View attachment 2935364

Chini ya mpango wa 'Pamoja Tuwalishe', Wizara ya Kilimo ya Marekani, kwa ushirikiano na Jumuiya za Kimataifa, imetoa msaada wa kwanza wa mchele ulioongezwa virutubisho, maharage na mafuta ya alizeti kutoka kwa wakulima wa Marekani moja kwa moja hadi shuleni katika eneo la Dodoma nchini Tanzania.

Zaidi ya kutoa milo yenye lishe, wanafunzi katika shule zaidi ya 300 zinazoshiriki, pia wataanzisha bustani za shule, na kujifunza mbinu za kuvuna maji ya mvua.

Ikiwa ni mfano kamili unaoweza kuigwa, programu hii inaakisi ahadi na dhamira ya dhati ya Marekani ya kukuza afya, elimu, na fursa kwa watoto kote ulimwenguni.


My Point: Chakula hiki cha msaada kimewekewa virutubisho na wanaenda kula watoto wetu katika shule zaidi ya 300, nafadhaika sana.
Hivi zile dawa za meno za msaada wanasema zimewekewa virutubisho gani eti?
 
Kuna uwezekano mkubwa huo mchele na maharage siyo salama kwa hao watoto, ila watawala wanavyopenda misaada wanaona poa tu.

Weupe wana mbinu nyingi za kueneza mambo yao. Wakikwambia kwa maneno ukapotezea, wanakukamatia kwenye msosi
Nami wasiwasi wangu uko hapa.
Ebu km viongozi walivyokuwa msitari kwenye kuchanja mbele ya wana habari,ebu walete watoto wao nao wale huo msosi mbele ya vyombo vya habari.

Ukitaka kula nawe kubali kuliwa.
 
hili ni jambo la kawaida kabisa ukishindwa kujitegemea lazima uwe mtumwa na uombe misaada ya aibu, ndio maana ukimsikiliza putini anasema ziko nchi za ulaya nyingi ni watumwa lakini hutaona hio mijadala cnn, jambo kubwa hapa ni kwamba wanaotutawala hawana mpango hata mmoja wakutufanya tujitegemee.
 
Tanzania tuna aridhi inayolimika zaidi ya hekta 44,000,000 na hekta 29,000,000 zinazofaa kilimo cha uwagiliaji.

Pia tunapata mvua ya zaidi ya milimita 3,000 ambazo zikitumiwa vizuri tunaweza kulima kwa mwaka mzima.

Hapa chini ni chakula misaada ambacho tumepokea kutoka marekani.


View attachment 2935364

Chini ya mpango wa 'Pamoja Tuwalishe', Wizara ya Kilimo ya Marekani, kwa ushirikiano na Jumuiya za Kimataifa, imetoa msaada wa kwanza wa mchele ulioongezwa virutubisho, maharage na mafuta ya alizeti kutoka kwa wakulima wa Marekani moja kwa moja hadi shuleni katika eneo la Dodoma nchini Tanzania.

Zaidi ya kutoa milo yenye lishe, wanafunzi katika shule zaidi ya 300 zinazoshiriki, pia wataanzisha bustani za shule, na kujifunza mbinu za kuvuna maji ya mvua.

Ikiwa ni mfano kamili unaoweza kuigwa, programu hii inaakisi ahadi na dhamira ya dhati ya Marekani ya kukuza afya, elimu, na fursa kwa watoto kote ulimwenguni.


My Point: Chakula hiki cha msaada kimewekewa virutubisho na wanaenda kula watoto wetu katika shule zaidi ya 300, nafadhaika sana.
Hapa sidhani hata TBS anaweza kuja kuangalia ubora wa huo mchele 🍚. Ata ambiwa we kaa pembeni usije huu mchele hauna shida kabisa WA MAREKANI HAWA, basi watoto wanaenda kulishwa tuu mavitu ya ajabu sisi tunaona ni mchele tuu.

Ila hata TBS wakienda hapo hawataweza ona chochote maana hao wamarekani wana teknolojia za ajabu, hapa tz kuja kwa hizo teknolojia ni miaka mingine 60 ya uhuru mbele, so hata TBS hata apime vipi, hata kwa kutumia uchawi hataweza ona kitu.

Una shangaa watoto miaka 10 baadaye hawataki kuoa wala kuolewa,ina hasira za hovyo hovyo,inapenda mambo ya Upinde. Basi shida tupu.

Kweli sisi ni wakupewa misaada ya chakula, ?! Ardhi yote hii,mito na maziwa alafu bado tuna amani hatuna vita ?! Sasa na Wakongo wapewe nini kama sisi tunapewa misaada ya chakula na inchi ina kila aina ya baraka toka kwa ALLAH!!

NASEMA UMASIKINI WA AKILI NI MBAYA KUPITILIZA. 💯
 
Back
Top Bottom