Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Jamaa mbona unalipuka Jazba?WAAFRIKA & AFRIKA INA LAANA YA MILELE
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa mbona unalipuka Jazba?WAAFRIKA & AFRIKA INA LAANA YA MILELE
Pelekeni zenji kwanza halafu awamu ya pili leteni dodomaimethibitika ni chakula salama na kisicho na athari wala madhara yoyote kiafya kwa watoto wetu 🐒
hakuna haja,Pelekeni zenji kwanza halafu awamu ya pili leteni dodoma
Amini Mungu pekee tafadhali 🐒Hawa jamaa hata siwaamini
Yaani wanaacha kusaidia Palestina na Syria wanaokufa kwa njaa wanakuja kutusaidia sisi?
Tatizo mnadhani huu mradi ni wa Jana au Juzi 🐒Kwa akili za kawaida tu
Kwanini wasitoe maarifa na ujuzi wa kuzalisha na kutengeneza chakula chenye lishe!
Tuna maeneo mengi watoe msaaada wa trekta, mbole, mifumo ya umwagiliaji ili tusiendele kupewa misaada
tajiri anaapa wap🐒Maskini hana kiapo
Si jambo jipya, miaka ya 60 shule zote Tanzania zililishwa ngano iliyorubishwa(buluga), maziwa ya unga na mafuta ya kula, kubwa na baya zaidi wananchi wote miaka ya 70 tulilishwa yanga(sembe ya njano chakula cha ng'ombe)! Na mchina alitulisha kitumbo mchele usiojua maji wa mafuta, vyote hauvikubali.Tanzania tuna aridhi inayolimika zaidi ya hekta 44,000,000 na hekta 29,000,000 zinazofaa kilimo cha uwagiliaji.
Pia tunapata mvua ya zaidi ya milimita 3,000 ambazo zikitumiwa vizuri tunaweza kulima kwa mwaka mzima.
Hapa chini ni chakula misaada ambacho tumepokea kutoka marekani.
View attachment 2935364
Chini ya mpango wa 'Pamoja Tuwalishe', Wizara ya Kilimo ya Marekani, kwa ushirikiano na Jumuiya za Kimataifa, imetoa msaada wa kwanza wa mchele ulioongezwa virutubisho, maharage na mafuta ya alizeti kutoka kwa wakulima wa Marekani moja kwa moja hadi shuleni katika eneo la Dodoma nchini Tanzania.
Zaidi ya kutoa milo yenye lishe, wanafunzi katika shule zaidi ya 300 zinazoshiriki, pia wataanzisha bustani za shule, na kujifunza mbinu za kuvuna maji ya mvua.
Ikiwa ni mfano kamili unaoweza kuigwa, programu hii inaakisi ahadi na dhamira ya dhati ya Marekani ya kukuza afya, elimu, na fursa kwa watoto kote ulimwenguni.
My Point: Chakula hiki cha msaada kimewekewa virutubisho na wanaenda kula watoto wetu katika shule zaidi ya 300, nafadhaika sana.
My Point: Chakula hiki cha msaada kimewekewa virutubisho na wanaenda kula watoto wetu katika shule zaidi ya 300, nafadhaika sana.
Fedha kamaliza Makonda..Ccm sasa ilipofika ni kubaya...... Mabilioni ya fedha bora wagawane viongozi na safari na misafara ila mahindi wakaombe Ulaya.
Kwani tuna Ukame au kuna vita au sisi ni wakimbizi?
Serikali ya kufanya hivyo itoke wapi ?Watanzania Kuna vitu vinatia aibu sana.Hivi kweli serikali imeshindwa kutoa chakula chenye virutubisho kwa watoto,mpaka wageni waje kutusaidia.
Bure kabisa taifa hili.
Wanaweza hata kupandikiza mambo ya ajabu humo kweli umasikini ni mbaya.