Watoto 300+ Dodoma kulishwa wali wenye virutubisho kutoka USAID

Watoto 300+ Dodoma kulishwa wali wenye virutubisho kutoka USAID

Kwa akili za kawaida tu

Kwanini wasitoe maarifa na ujuzi wa kuzalisha na kutengeneza chakula chenye lishe!

Tuna maeneo mengi watoe msaaada wa trekta, mbole, mifumo ya umwagiliaji ili tusiendele kupewa misaada
Tatizo mnadhani huu mradi ni wa Jana au Juzi 🐒
Ni wa kitambo kidogo na unafanya kazi vizuri sana 🐒
 
Tanzania tuna aridhi inayolimika zaidi ya hekta 44,000,000 na hekta 29,000,000 zinazofaa kilimo cha uwagiliaji.

Pia tunapata mvua ya zaidi ya milimita 3,000 ambazo zikitumiwa vizuri tunaweza kulima kwa mwaka mzima.

Hapa chini ni chakula misaada ambacho tumepokea kutoka marekani.


View attachment 2935364

Chini ya mpango wa 'Pamoja Tuwalishe', Wizara ya Kilimo ya Marekani, kwa ushirikiano na Jumuiya za Kimataifa, imetoa msaada wa kwanza wa mchele ulioongezwa virutubisho, maharage na mafuta ya alizeti kutoka kwa wakulima wa Marekani moja kwa moja hadi shuleni katika eneo la Dodoma nchini Tanzania.

Zaidi ya kutoa milo yenye lishe, wanafunzi katika shule zaidi ya 300 zinazoshiriki, pia wataanzisha bustani za shule, na kujifunza mbinu za kuvuna maji ya mvua.

Ikiwa ni mfano kamili unaoweza kuigwa, programu hii inaakisi ahadi na dhamira ya dhati ya Marekani ya kukuza afya, elimu, na fursa kwa watoto kote ulimwenguni.


My Point: Chakula hiki cha msaada kimewekewa virutubisho na wanaenda kula watoto wetu katika shule zaidi ya 300, nafadhaika sana.
Si jambo jipya, miaka ya 60 shule zote Tanzania zililishwa ngano iliyorubishwa(buluga), maziwa ya unga na mafuta ya kula, kubwa na baya zaidi wananchi wote miaka ya 70 tulilishwa yanga(sembe ya njano chakula cha ng'ombe)! Na mchina alitulisha kitumbo mchele usiojua maji wa mafuta, vyote hauvikubali.
Hata hivyo usishangae ukiukuta sokoni Mwananyamala, hizo ndiyo zetu.
 
.mimi sioni shida yoyote na sijui mtoa thread unataka nini zaidi.
Au ulitka maarekani waje kulima kwenye hekari zetu na waongeze lishe zao. Yaani chakula chetu lishe yao? Au ulitakaje. Na je! Umefatilia mchakato kwann wametoa kwenye wakulima wa marekani?
 
Back
Top Bottom