Lax
JF-Expert Member
- Feb 10, 2022
- 4,740
- 7,179
Watanzania hapa tunapoga sana kelele, ila KFC, MC Donalds na vinginevyo hatukosekani.
Jambo kuu hapa ni kuondosha ccm kwenye power wameshindwa kusimamia vitu basics sana, nchi na ardhi yote ya kilimo hii huu ni ufala mkubwa sana, wametoka kujenga vyoo hivi sasa wanatupa mchele na maharage
Jambo kuu hapa ni kuondosha ccm kwenye power wameshindwa kusimamia vitu basics sana, nchi na ardhi yote ya kilimo hii huu ni ufala mkubwa sana, wametoka kujenga vyoo hivi sasa wanatupa mchele na maharage