Shida hapa sio marekani , adui yako sio marekani, narudia tena adui hapa sio marekani adui mkubwa ni serikali ya Tanzania, mtoa msaada unamlaumu vipi ndugu watanzania , sisi waomba misaada ndo tulitakiwa kwenda kuomba ujuzi wa matrekta, mbolea, na mbinu za kilimo tuje kufanyia kazi maji yapo, ardhi ipo, shida ni viongozi wetu (CCM is a disgrace)Kwa akili za kawaida tu
Kwanini wasitoe maarifa na ujuzi wa kuzalisha na kutengeneza chakula chenye lishe!
Tuna maeneo mengi watoe msaaada wa trekta, mbole, mifumo ya umwagiliaji ili tusiendele kupewa misaada
Kidumu chama cha mapinduziCha kutazmwa na kuzingatiwa, watoto zao hu Marekani wanapewa chakula hicho?
Anayepokea msaada mbona halaumiwi? Au tuna upofu?Mpaka lengo lao litimie
Hata kikiwa kijaba.Kidumu chama cha mapinduzi
*****Tanzania tuna aridhi inayolimika zaidi ya hekta 44,000,000 na hekta 29,000,000 zinazofaa kilimo cha uwagiliaji.
Pia tunapata mvua ya zaidi ya milimita 3,000 ambazo zikitumiwa vizuri tunaweza kulima kwa mwaka mzima.
Hapa chini ni chakula misaada ambacho tumepokea kutoka marekani.
Chini ya mpango wa 'Pamoja Tuwalishe', Wizara ya Kilimo ya Marekani, kwa ushirikiano na Jumuiya za Kimataifa, imetoa msaada wa kwanza wa mchele ulioongezwa virutubisho, maharage na mafuta ya alizeti kutoka kwa wakulima wa Marekani moja kwa moja hadi shuleni katika eneo la Dodoma nchini Tanzania.
Zaidi ya kutoa milo yenye lishe, wanafunzi katika shule zaidi ya 300 zinazoshiriki, pia wataanzisha bustani za shule, na kujifunza mbinu za kuvuna maji ya mvua.
Ikiwa ni mfano kamili unaoweza kuigwa, programu hii inaakisi ahadi na dhamira ya dhati ya Marekani ya kukuza afya, elimu, na fursa kwa watoto kote ulimwenguni.
My Point: Chakula hiki cha msaada kimewekewa virutubisho na wanaenda kula watoto wetu katika shule zaidi ya 300, nafadhaika sana.
Hiyo misaada haina nia njema.Hatuna janga kubwa lolote karibu miaka kadhaa , bado tunapewa misaada .
Kwani ccm wao wanasemaje kuhusu hili?Hiyo misaada haina nia njema.
Huku viongozi wakishindana kununua VX V8 za Mil 600Chini ya mpango wa 'Pamoja Tuwalishe', Wizara ya Kilimo ya Marekani, kwa ushirikiano na Jumuiya za Kimataifa, imetoa msaada wa kwanza wa mchele ulioongezwa virutubisho, maharage na mafuta ya alizeti kutoka kwa wakulima wa Marekani moja kwa moja hadi shuleni katika eneo la Dodoma nchini Tanzania.
Zaidi ya kutoa milo yenye lishe, wanafunzi katika shule zaidi ya 300 zinazoshiriki, pia wataanzisha bustani za shule, na kujifunza mbinu za kuvuna maji ya mvua.
NA MM NAGONGELEA MSUMARI HAPOHapa sidhani hata TBS anaweza kuja kuangalia ubora wa huo mchele 🍚. Ata ambiwa we kaa pembeni usije huu mchele hauna shida kabisa WA MAREKANI HAWA, basi watoto wanaenda kulishwa tuu mavitu ya ajabu sisi tunaona ni mchele tuu.
Ila hata TBS wakienda hapo hawataweza ona chochote maana hao wamarekani wana teknolojia za ajabu, hapa tz kuja kwa hizo teknolojia ni miaka mingine 60 ya uhuru mbele, so hata TBS hata apime vipi, hata kwa kutumia uchawi hataweza ona kitu.
Una shangaa watoto miaka 10 baadaye hawataki kuoa wala kuolewa,ina hasira za hovyo hovyo,inapenda mambo ya Upinde. Basi shida tupu.
Kweli sisi ni wakupewa misaada ya chakula, ?! Ardhi yote hii,mito na maziwa alafu bado tuna amani hatuna vita ?! Sasa na Wakongo wapewe nini kama sisi tunapewa misaada ya chakula na inchi ina kila aina ya baraka toka kwa ALLAH!!
NASEMA UMASIKINI WA AKILI NI MBAYA KUPITILIZA. 💯
Welcome to 1980's Tanzania..ooops sorry 2024 Tanzania.Tanzania tuna aridhi inayolimika zaidi ya hekta 44,000,000 na hekta 29,000,000 zinazofaa kilimo cha uwagiliaji.
Pia tunapata mvua ya zaidi ya milimita 3,000 ambazo zikitumiwa vizuri tunaweza kulima kwa mwaka mzima.
Hapa chini ni chakula misaada ambacho tumepokea kutoka marekani.
Chini ya mpango wa 'Pamoja Tuwalishe', Wizara ya Kilimo ya Marekani, kwa ushirikiano na Jumuiya za Kimataifa, imetoa msaada wa kwanza wa mchele ulioongezwa virutubisho, maharage na mafuta ya alizeti kutoka kwa wakulima wa Marekani moja kwa moja hadi shuleni katika eneo la Dodoma nchini Tanzania.
Zaidi ya kutoa milo yenye lishe, wanafunzi katika shule zaidi ya 300 zinazoshiriki, pia wataanzisha bustani za shule, na kujifunza mbinu za kuvuna maji ya mvua.
Ikiwa ni mfano kamili unaoweza kuigwa, programu hii inaakisi ahadi na dhamira ya dhati ya Marekani ya kukuza afya, elimu, na fursa kwa watoto kote ulimwenguni.
My Point: Chakula hiki cha msaada kimewekewa virutubisho na wanaenda kula watoto wetu katika shule zaidi ya 300, nafadhaika sana.
Lazima wanaume wawe wanawake na wanawake wawe wanaumeWatapandikiza virutubisho vyenye kuchochea upinde
Waulize waliokipokea hasa Mama yetu anaweza akakujibu hata km itakuwa kakujibu tu.Cha kutazamwa na kuzingatiwa, watoto zao huko Marekani wanapewa chakula hicho?