Watoto 300+ Dodoma kulishwa wali wenye virutubisho kutoka USAID

Watoto 300+ Dodoma kulishwa wali wenye virutubisho kutoka USAID

Kuna ulazima sana kwa watawala wa kiafrika hususani watawala weusi na watu weusi (black people) kufanya kila namna wapate nakala zote za hotuba za watawala wa nchi ya Afrika ya Kusini chini ya Uongozi wa Wazungu wachache (Makaburu),. Hotuba hizo pamoja na nyaraka zingine mbalimbali za kiofisi za utawala wa Makaburu zina TAARIFA NYETI SANA na muhimu kwa watu weusi kuzijua taarifa hizo, watu weusi ni lazima tupate documents hizo na tuzisome na kuzielewa vyema kama kweli tunajitakia mema sisi pamoja na vizazi vyetu vijavyo.
Documents hizo zimekuwa zinaeleza kwa uwazi kabisa kuhusu haya mambo yanayoendelea kutokea hapa duniani, hususani kuhusu maisha ya watu weusi.
Mkuu ikiwezekana naomba anzisha andiko fupi kuhusu hiyo issue hapa hapa JF ni tag then tujifunze na kupata uzoefu wa maisha yetu waafrika.

Nina video moja nimeisikiliza jamaa anaongea kuhusu wazungu walichopanga miaka ya nyuma kuhusu nchi za afrika kusini mwa jangwa la sahara, ni hatari.
 
Umaskini mbaya sana. Hivi mtu anaweza kuniletea unga nyumbani nikakubali? Wakati nina mikono miwili. Labda kama kuna janga la ukame
Kwa sababu ndiye anakupa misaada ya kila namna huwezi kukataa na ukikataa anakuharibia.
 
Watanzania ni wajinga sana.

Unga wa ngano wote umeongezewa virutubisho.
Mafuta ya kupikia yamewekea virutubisho

Uibisha kasome mfuko wa ngano na duku la mafuta ya kupiia
 
Kwani kwenye hizo shule wakuu wa shule wanafunzi walikuwa hawali? Shule zilikuwa hatarini kufungwa sababu ya kukosa chakula? Wanafunzi wana siku ngapi hawajala au wanakula kwa kugombania?

Kizazi hiki kisivyojua hata kuhoji, wazazi na wanafunzi hata hawataandama kutaka majibu ya maswali hayo
 
Wanaweza hata kupandikiza mambo ya ajabu humo kweli umasikini ni mbaya.
Umaskini mbaya zaidi ukiwa ni umaskini wa akili na kukosa kujitambua.

Tuna viongozi mzigo hawajitambui wakitoka uchaguzi mwaka huu wanawaza uchaguzi unaokuja hakuna kushughulisha akili zao hata kidogo kwamba wawaambie nini wananchi au wawashawishi vipi wananchi ili taifa lao lisogee mbele.
 
Kuna uwezebwa huo mchele na maharage siyo salama kwa hao watoto, ila watawala wanavyopenda misaada wanaona poa tu.

Weupe wana mbinu nyingi za kueneza mambo yao. Wakikwambia kwa maneno ukapotezea, wanakukamatia kwenye msosi
Mbona chanjo, ARV na madawa mengi tu tunapewa bure?
 
NI kweli uko sahihi kwa upande fulani lakini hawa wenzetu walio endelea ndio watunga sera za kuongoza Dunia.. wanaweza fanya chochote kile kutekeleza matakwa yao.
Sasa mpaka watufanyie hivyo ina maana kama nchi tumelala? Kumbuka tuna wasomi na vyombo mbalimbali kama TBS..
 
Uki zoom hapo utaona viroba vimeandikwa:-
"Not to be sold or exchanged"
Kwa hiyo ni lazima walengwa wale tu
Mkuu kama unatumia jicho LA tatu ...
Huo mchele utaingia madukani ...

Utamtuma MTU kanunue kilo mbili za mchele ...kikipikwa chakula mnashangaa mbona ladha nzuri sana Leo ....ongeza jamani ....
Kumbe unakula magenetic mutation ya kimaabara kutoka US ..

Baada ya muda zinaadhiri hormones.. Unakosa hisia labda na mke wako ..
Baadae unaanza kuona mwili unatamani mwanaume mwenzako ...

Balaa linaanza LA upinde ..... Mungu atupe hekima ...basi hivyo vyakula vipimwe kujua kama ni salama kwa matumizi ya binadamu ..
 
Back
Top Bottom