Watoto 300+ Dodoma kulishwa wali wenye virutubisho kutoka USAID

Watoto 300+ Dodoma kulishwa wali wenye virutubisho kutoka USAID

Nina uvivu kidogo wa ku-google wizara zipi zinahusika kwenye hili sakata la mchele. Bashe Waziri wa Kilimo ameliongela lakini anasema ishu ni ya NGO (NGO ziko chini ya wizara gani vile?) zinazohusisha mashule (wizara ya Elimu). Swali langu ni jepesi tu: Watakaopewa huo mchele wenye rutuba ni Watoto wote mpaka Wazenji au ni kwa watoto wa Bara tu?
Zanzibar hii yenye Mchele wa mapembe, makuku/ masamaki ya peduu kutoka nje ambayo asilimia kubwa ya wananchi wa kipato Cha chini ndio watumiaji Wakubwa?
 
Nina mwanangu mwaka huu kachukua loan kaamua kuwekeza kwenye mpunga pande za usangu..... ss nyie na Michele yenu ya misaada si ndio mwanzo wa uduanzi huu

Ndio ile kilo ya mchele kuja kuuzwa 800 huo utakuwa ni uduanzi kinyama *****
 
Tanzania tuna aridhi inayolimika zaidi ya hekta 44,000,000 na hekta 29,000,000 zinazofaa kilimo cha uwagiliaji.

Pia tunapata mvua ya zaidi ya milimita 3,000 ambazo zikitumiwa vizuri tunaweza kulima kwa mwaka mzima.

Hapa chini ni chakula misaada ambacho tumepokea kutoka marekani.


Chini ya mpango wa 'Pamoja Tuwalishe', Wizara ya Kilimo ya Marekani, kwa ushirikiano na Jumuiya za Kimataifa, imetoa msaada wa kwanza wa mchele ulioongezwa virutubisho, maharage na mafuta ya alizeti kutoka kwa wakulima wa Marekani moja kwa moja hadi shuleni katika eneo la Dodoma nchini Tanzania.

Zaidi ya kutoa milo yenye lishe, wanafunzi katika shule zaidi ya 300 zinazoshiriki, pia wataanzisha bustani za shule, na kujifunza mbinu za kuvuna maji ya mvua.

Ikiwa ni mfano kamili unaoweza kuigwa, programu hii inaakisi ahadi na dhamira ya dhati ya Marekani ya kukuza afya, elimu, na fursa kwa watoto kote ulimwenguni.


My Point: Chakula hiki cha msaada kimewekewa virutubisho na wanaenda kula watoto wetu katika shule zaidi ya 300, nafadhaika sana.
Ukombozi wa Tanzania upo Mikononi mwa Watanzania wenyewe.
Ukombozi wa African upo Mikononi mwa waafrika Wenyewe.
"Ee Mungu tusaidie kufungua frikra zetu tuondokane na uvivu wa kufikiri na utupatie moyo wa kizalendo kwa kufanya kazi kwa bidii pasipo kunufaisha matumbo yetu iwe kwaajili ya ustawi wa vizazi vyetu vya baadae wapate kuishi Tanzania iliyo Salama" Amina.
 
Mnapojadili haya mambo kwa namna hii mnajidhihirisha jinsi mlivyo mbumbumbu kwenye ulimwengu wa sayansi na teknolojia. Bahati mbaya ni kwamba hata vijana wetu huko sekondari na vyuoni hawafanyi vizuri kwenye sayansi. Turudi kwenye mada, hivi ni nani asiyejua kwamba mbegu za mazao kama mahindi, maharage, mpunga nk kupitia programu za seeds improvement huwa zinaboreshwa ili kuongeza uzalishaji, ubora, virutubisho, kuhimili magonjwa nk? Nyie hamjasoma genetics vyuoni? Mbona pale SUA kuna Dr mmoja tena mwanamke aliboresha mbegu ya maharage ikawa bora zaidi? Je hamjaona mbegu za kisasa za mahindi, michungwa, maembe, korosho, minazi nk nk?? Jambo la pili je Tanzania hakuna mikoa inayoongoza kwa utapiamlo unaotokana na lishe duni na chache? Tatu je Tanzania hakuna shule za msingi ambazo watoto shuleni hata uji hawapati? Je wewe mleta mada umeshawahi walau kupeleka unga kilo 50, mafuta lita 5 na sukari kilo 5 kwenye shule iliyoko mtaani kwako ili wanafunzi wapate walau uji? Je hakuna wazazi ambao wakiambiwa walipe pesa za chakula ili watoto wao wapate chakula shuleni lakini wanagoma katakata? Mwisho niwaombe kwamba badala ya kukimbilia kupinga kila kitu, tutumie huu muda kuhamasisha na kuchangia watoto wetu wapate chakula shuleni. Kuna miaka ya nyuma nchi iliokolewa na unga wa Yanga (mahindi ya njano) ambao ulikuwa ni msaada kutoka Marekani, na watu walikuwa wanagombania.
Umenena vyema…
 
Bahati mbaya hatuna viongozi. Tuna wachumia tumbo. Ni aibu baada ya miaka sitini ya uhuru bado unalishwa
Ccm sasa ilipofika ni kubaya...... Mabilioni ya fedha bora wagawane viongozi na safari na misafara ila mahindi wakaombe Ulaya.

Kwani tuna Ukame au kuna vita au sisi ni wakimbizi?
 
Mmh, hiko chakula wabaki nacho, watupe tu pesa tutanunua mahindi yanayozalishwa nchini. Hivyo virutubisho vya kuwafanya watu wawe tasa hatuvihitahiji
Wanajua wakitoa pesa Cash zitaliwa, na mchele hautaonekana kabisa.
Msaada mzuri ni wa vitu kwetu watu wa dunia ya tatu.

Mambo ya phisibility study ni mengi sana.
Walete huo mchele
 
Watalawa watakwambia uchumi wa nchi unapaa kwa kasi.

Ila pamoja na yote haya kwa ninavyoijua Marekani yawezekana haya ni mavuno ya mkulima mmoja tu. Wale wana wakulima, siyo vijikulima
Hapa sidhani hata TBS anaweza kuja kuangalia ubora wa huo mchele [emoji500]. Ata ambiwa we kaa pembeni usije huu mchele hauna shida kabisa WA MAREKANI HAWA, basi watoto wanaenda kulishwa tuu mavitu ya ajabu sisi tunaona ni mchele tuu.

Ila hata TBS wakienda hapo hawataweza ona chochote maana hao wamarekani wana teknolojia za ajabu, hapa tz kuja kwa hizo teknolojia ni miaka mingine 60 ya uhuru mbele, so hata TBS hata apime vipi, hata kwa kutumia uchawi hataweza ona kitu.

Una shangaa watoto miaka 10 baadaye hawataki kuoa wala kuolewa,ina hasira za hovyo hovyo,inapenda mambo ya Upinde. Basi shida tupu.

Kweli sisi ni wakupewa misaada ya chakula, ?! Ardhi yote hii,mito na maziwa alafu bado tuna amani hatuna vita ?! Sasa na Wakongo wapewe nini kama sisi tunapewa misaada ya chakula na inchi ina kila aina ya baraka toka kwa ALLAH!!

NASEMA UMASIKINI WA AKILI NI MBAYA KUPITILIZA. [emoji817]
 
D4727675-FE97-4CFF-8AC4-D7CBF1A1DD4A.jpeg
 
Wanajua wakitoa pesa Cash zitaliwa, na mchele hautaonekana kabisa.
Msaada mzuri ni wa vitu kwetu watu wa dunia ya tatu.

Mambo ya phisibility study ni mengi sana.
Walete huo mchele
Waje wanunue wao huku Tz kisha wakabidhi mashuleni
 
Tanzania tuna aridhi inayolimika zaidi ya hekta 44,000,000 na hekta 29,000,000 zinazofaa kilimo cha uwagiliaji.

Pia tunapata mvua ya zaidi ya milimita 3,000 ambazo zikitumiwa vizuri tunaweza kulima kwa mwaka mzima.

Hapa chini ni chakula misaada ambacho tumepokea kutoka marekani.


Chini ya mpango wa 'Pamoja Tuwalishe', Wizara ya Kilimo ya Marekani, kwa ushirikiano na Jumuiya za Kimataifa, imetoa msaada wa kwanza wa mchele ulioongezwa virutubisho, maharage na mafuta ya alizeti kutoka kwa wakulima wa Marekani moja kwa moja hadi shuleni katika eneo la Dodoma nchini Tanzania.

Zaidi ya kutoa milo yenye lishe, wanafunzi katika shule zaidi ya 300 zinazoshiriki, pia wataanzisha bustani za shule, na kujifunza mbinu za kuvuna maji ya mvua.

Ikiwa ni mfano kamili unaoweza kuigwa, programu hii inaakisi ahadi na dhamira ya dhati ya Marekani ya kukuza afya, elimu, na fursa kwa watoto kote ulimwenguni.


My Point: Chakula hiki cha msaada kimewekewa virutubisho na wanaenda kula watoto wetu katika shule zaidi ya 300, nafadhaika sana.
Achana na hayo huku Ulaya kuna matangazo kuwa Afrika kuna njaa na shida ya maji na wanaomba utoe hata 1 cent. NInajiuliza hwaa viongozi wetu hawaoni aibu. Yaani ma landcruiser yamejazana nchi nzima, hizo hela badala ya kupeleka sehemu sahihi mnawanunulia magari viongozi wasio na vigezo. Nimeshaapa sitolipa kodi kihalali kamwe hauwezi kulipa kodi kihalali kwa hali hii.
 
Achana na hayo huku Ulaya kuna matangazo kuwa Afrika kuna njaa na shida ya maji na wanaomba utoe hata 1 cent. NInajiuliza hwaa viongozi wetu hawaoni aibu. Yaani ma landcruiser yamejazana nchi nzima, hizo hela badala ya kupeleka sehemu sahihi mnawanunulia magari viongozi wasio na vigezo. Nimeshaapa sitolipa kodi kihalali kamwe hauwezi kulipa kodi kihalali kwa hali hii.
Unasema hapo ulipo kuna matangazo ya uhaba wa njaa huku afrika?.
 
Tanzania tuna aridhi inayolimika zaidi ya hekta 44,000,000 na hekta 29,000,000 zinazofaa kilimo cha uwagiliaji.

Pia tunapata mvua ya zaidi ya milimita 3,000 ambazo zikitumiwa vizuri tunaweza kulima kwa mwaka mzima.

Hapa chini ni chakula misaada ambacho tumepokea kutoka marekani.


Chini ya mpango wa 'Pamoja Tuwalishe', Wizara ya Kilimo ya Marekani, kwa ushirikiano na Jumuiya za Kimataifa, imetoa msaada wa kwanza wa mchele ulioongezwa virutubisho, maharage na mafuta ya alizeti kutoka kwa wakulima wa Marekani moja kwa moja hadi shuleni katika eneo la Dodoma nchini Tanzania.

Zaidi ya kutoa milo yenye lishe, wanafunzi katika shule zaidi ya 300 zinazoshiriki, pia wataanzisha bustani za shule, na kujifunza mbinu za kuvuna maji ya mvua.

Ikiwa ni mfano kamili unaoweza kuigwa, programu hii inaakisi ahadi na dhamira ya dhati ya Marekani ya kukuza afya, elimu, na fursa kwa watoto kote ulimwenguni.


My Point: Chakula hiki cha msaada kimewekewa virutubisho na wanaenda kula watoto wetu katika shule zaidi ya 300, nafadhaika sana.
Mungu wabariki wazungu
 
Soma statement yangu vizuri. Ulichoandika ndio nimesema kuwa ndio wakati wa kupokea msaada.
Wewe kwa umri wako mtu anakupa msaada wa nini! Mimi mtu kunipa msaada ni kushusha utu wangu labda kama kuna ukame au janga lingine. Zawadi naweza kupokea lakini na mimi nirudishe zawadi.
Nimekumbuka when growing up kuna jirani walikuwa wanaleta zawadi na kikapu baada ya kupokea tulikuwa hairuhusiwi kurudisha kikapu kikiwa tupu. Unafikiri ni kwa sababu gani? Likewise kwetu tulikuwa tukipeleka kitu kwa mtu lazima akirudishe na kitu.
Labda kama ni sadaka tumepeleka kwa Mzee asiyejiweza, lakini hata yeye alikuwa anatafuta chochote cha kukupa.
Sasa hiki kizazi cha leo mnapenda tu kupokea, ni tatizo. Ndio maana hatubarikiwi. Wewe unafikiri kwa nini Amerika anakupa msaada? Jiulize kabla hujapokea. Kuna baraka zinapatikana kwa kutoa na yule anayepokea anapoteza. Sorry I didn't mean to be religious
Sijakataa baadhi ya hoja zako, uko sahihi. Sasa tukijitafakari kwa kina unaweza kuwashangaa hata viongozi wetu na hata baadhi yetu. Ukifuatilia hili jambo kwa mfano siyo la leo na wala hao Wamarekani hawajakurupuka kuleta hiyo misaada. Wameshaleta zaidi ya tani 3800 huko nyuma eti leo ndio watu wanaruka Kimanga, hebu soma chimbuko la huo mradi wa chakula mashuleni (PAMOJA TUWALISHE) hapo chini..
IMG-20240317-WA0588.jpg
 
Tunakuwa maskini kwa sababu tunapokea tu bila kutoa. Hakuna baraka inayopatikana kwa kupokea tu bila kutoa. Kidini tunasema ni heri kutoa bila kupokea. Soma maelezo yangu niliyokujibu hapo juu. Jizuie kupokea bila kutoa kwenye maisha yako
Soma hii makala...
IMG-20240317-WA0588.jpg
 
Back
Top Bottom