Watoto hawaimbi nyimbo za Sunday school na Kaswida tena, mdau alalama akitoa maoni dira ya taifa 2050

Watoto hawaimbi nyimbo za Sunday school na Kaswida tena, mdau alalama akitoa maoni dira ya taifa 2050

Kuimba kaswida, Sunday music, diamond Kiba music, hakuathiri chochote katika maendeleo... Kazi ndio msingi wa maendeleo... Nyimbo ni burudani tu
Waacheni watoto wenu waendele tu kuimba nasikia nyg nyg
Siku wanakutana na maphedofile
Wanawatoa nyg kweli nyambf zaoo

Ova
 
Sasa watu wasilalamike kuhusu namna ya uvaaji (kusema vijana wanavaa nusu uchi) maana maadiki yetu ni kuficha mbili tu hususani kwa wadada na moja kwa masela
Kumbe bora angetetea nyimbo za unyago na jando kama maadili ya Mtanzania!
 
Sasa watu wasilalamike kuhusu namna ya uvaaji (kusema vijana wanavaa nusu uchi) maana maadiki yetu ni kuficha mbili tu hususani kwa wadada na moja kwa masela
Kumbe bora angetetea nyimbo za unyago na jando kama maadili ya Mtanzania!
 
Enzi za mwalimu ukipiga nyimbo za chakacha ktk sherehe nyumbani kwako polisi wanakuja kukukamata, sasa jamii inachojali ni pesa tu hawajali madhara kwa watoto. Labda uimbe nyimbo za kuwaudhi viongozi wa chama tawala ndiyo basata wataibuka na polisi juu
 
Sijaelewa kwa nini serikali inapoteza rasilimali fedha na muda kumuuliza kila mtu anataka nini kuelekea 2050. Ninachofahamu kazi kama hizi huwa wanachukuliwa wataalamu mbalimbali kutoka vyuo kadhaa na taasisi chache muhimu kisha wanamaliza kazi yote ndani hata ya mwezi mmoja tu na wanatoka na document moja ya mpango iliyonyooka.
M i naamini DIRA ilikwishaandaliwa na ipo katika 'document' kitaalamu. Isipokuwa serikali inapenda kupata mtazamo/maoni ya wananchi, kujiridhisha na pia kuturidhisha kuwa wananchi tulishirikishwa. Dira si makabrasha ya kujaza chumba malundo ya vitabu, bali Dira inaweza kuwa na maneno machache hata yasijae ukurasa mmoja. Hayo maoni ya wananchi ni mambo ya sera, sheria, kanuni, utaratibu, mwongozo, mila, desturi na hata mazoea.
 
Sijaelewa kwa nini serikali inapoteza rasilimali fedha na muda kumuuliza kila mtu anataka nini kuelekea 2050. Ninachofahamu kazi kama hizi huwa wanachukuliwa wataalamu mbalimbali kutoka vyuo kadhaa na taasisi chache muhimu kisha wanamaliza kazi yote ndani hata ya mwezi mmoja tu na wanatoka na document moja ya mpango iliyonyooka.
Kwa maelezo ya kitila, Rais anataka wananchi wote watoe maoni. Kwa yale ya Mbeya jana, ni bora akina Kitila na Asha Rose Migiro wajifungie tu kuliko huu upuuzi unaotolewa.
 
Vitoto vidogo vinaimba "unanitakaaa, eti unanipendaaa.... basi nitongozeeee!!
 
Serikali iko sahihi, wewe ndiye huielewi kabisa dhana ya ushirikishwaji. Hata uchukue maprofesa kutoka Havard University ni lazima wakusanye maoni ya wananchi ili baadae wayachambue na kutaweka kitaalamu. Kama serikali ingetaka kufanya kama usemavyo basi hata kusingekuwa na sababu ya kuwa na uwakilishi au kuchukua maoni kwenye miswaada na tume mbalimbali. Mawazo kama yako ndiyo hupelekea miswaada wakati mwingine kuwekewa muda mfupi sana wa kupokea maoni ya wananchi, kwa sababu inawezekana hata bungeni wameshawajua kwamba hamna time na mambo hayo, kiasi kwamba hata mngepewa Mwezi mzima hakuna mwenye time, watu wako bize na mipira, betting, Diamondi vs Kiba etc. Matokeo yake sheria ikipita na pengine kodi imepandishwa ndiyo watu wanashtuka na kulalamika. Tabia hii ya jamii kukwepa uwajibikaji kwenye masuala muhimu ya maendeleo ya nchi, na kuamini kwamba ni kazi ya serikali na wao haiwahusu ndiyo chanzo kikubwa cha kukosa maendeleo,hasa pale tunapokuwa na viongozi wasiokuwa wawajibikaji.
Uwajibikaji unaanzia kwa mwananchi na sio viongozi wa kisiasa tu,na kutolikhua jambo muhimu kama hili ni kosa la ukwepaji wa majukumu(kutowajibika)
 
Itawafaa hii kwa sababu mfumo wa aina za siasa hapa nchini una shabihiana kwa kiasi chake na mataifa yanayo tumia mfumo huu.

Technocracy is a form of government in which the decision-makers are selected based on their expertise in a given area of responsibility, particularly with regard to scientific or technical knowledge. Technocracy follows largely in the tradition of other meritocracy theories and assumes full state control over political and economic issues.

Technocrats are individuals with technical training and occupations who perceive many important societal problems as being solvable with the applied use of technology and related applications.
 
Leaders of the Chinese Communist Party used to be mostly professional engineers. According to surveys of municipal governments of cities with a population of 1 million or more in China, it has been found that over 80% of government personnel had a technical education.

Under the five-year plans of the People's Republic of China, projects such as the National Trunk Highway System, the China high-speed rail system, and the Three Gorges Dam have been completed. During China's 20th National Congress, a class of technocrats in finance and economics are replaced in favor of high-tech technocrats.
 
Sijaelewa kwa nini serikali inapoteza rasilimali fedha na muda kumuuliza kila mtu anataka nini kuelekea 2050. Ninachofahamu kazi kama hizi huwa wanachukuliwa wataalamu mbalimbali kutoka vyuo kadhaa na taasisi chache muhimu kisha wanamaliza kazi yote ndani hata ya mwezi mmoja tu na wanatoka na document moja ya mpango iliyonyooka.
Si nyie ndo hamuwaamini wasomi wenu wameamua kuwapa nyie mjifanyie maamuzi ili mharibu 😂😂
 
The article "Technocrats: Minds Like Machines" states that Singapore is perhaps the best advertisement for technocracy: the political and expert components of the governing system there seem to have merged completely. This was underlined in a 1993 article in "Wired" by Sandy Sandfort, where he describes the information technology system of the island even at that early date making it effectively intelligent.
 
Hilo ni jukumu la mzazi sio kazi ya serikali. Hawa wabongo ifike mahali wajue majukumu yao. Tunataka serikali ifanye majukumu yake ila sio kuingilia kila kitu.
Mzazi anamsikilisha mtoto nyimbo, yeye anashinda bar, anachepuka 😂, anatumia mkongo 😂, halafu anajifanya inamuuma mtoto wake kukosa maadili 😂😂
 
Back
Top Bottom