Orosso
JF-Expert Member
- Aug 3, 2022
- 949
- 2,284
Poor you!!!Wewe toka hapo kwa dada yako labda akili zitakurudi.
Unadhani Mimi ni maskini mwenzako?
Nimewasemea Watanzania, binafsi kila siku home inatumika zaidi ya elfu 40.
Matumizi ya nyumbani tu si chini ya milioni kwa mwezi.
Pimbi wewe
Sasa kwa matumizi hayo ndo umekua msemaji wa hao watoto kushindwa kuriport shule kwa hoja kama hizo ulizozielezea?
Unafikiri ukitaja kiasi cha pesa unachotumia kwa siku kwa familia yako ndio hoja zako zitapokelewa na kuaminika zaidi?