Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
- Thread starter
-
- #21
Bado kuna baadhi ya walimwengu ni mwema na wote wanaweza kushirikiana na wazazi katika kulinda watoto ambao ndio taifa la kesho.Hao watanzania wenye jukumu la kuwalinda watoto ndio wanaowafanyia ukatili, sio ndugu wala jirani anaeaminika kwa nyakati hizi, na hili sio tatizo la uswahilini tu, ni tatizo la kila sehemu mpaka vijijini
Mzazi ukishindea kumlinda mtoto wako usitegemee walimwengu wamlinde
Wapo wachache lakini bado jukumu kubwa analo mzaziBado kuna baadhi ya walimwengu ni mwema na wote wanaweza kushirikiana na wazazi katika kulinda watoto ambao ndio taifa la kesho.
Upo sahihi sana. Jukumu kubwa (92%) wanalo wazazi alafu (8%) kwa jamii anayoishi.Wapo wachache lakini bado jukumu kubwa analo mzazi
Yes kuzurura ni hatari sana sweethreat ila watoto wa Mbagala na Tandale wanasikia basi?Ni kweli, japo uzururaji wa namna hiyo kwa watoto ni hatari sana afya na akili zao haswa kulingana na maisha ya sasa.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]sentensi ya mwisho ina fursa eehUpo sahihi sana. Jukumu kubwa (92%) wanalo wazazi alafu (8%) kwa jamii anayoishi.
Kama hiyo avatar yako ni wewe kweli, basi nikipewe nikutunze kwa uaminifu naweza.
Avatar yake iko poa sana[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]sentensi ya mwisho ina fursa eeh
Kazi iendeleeNashauri TISS iajiri watoto tupu.
Mkuu wa Upelelezi asizidi miaka 15
Acha wajifunze socializationWatoto wengi wanakuwa na tabia mbaya kutokana na marafiki.Mtoto akitoka shuleni nakuja nyumbani na rafiki mfukuze huyo rafiki.Urafiki hauji kwenye umli mdogo.Unaweza ukashangaa mtoto anakuwa na tabia za hajabu tofauti malezi ya happy nyumbani
What do they socialize?.Bad behavior or what !!Acha wajifunze socialization
Sio kila mtoto ana tabia chafu, wengine wadogo ila wapo makini sanaWhat do they socialize?.Bad behavior or what !!
Theory yako sijaikubali kwasababu kimfano mimi tangu darasa la 3 naachiwa nyumba na ninaishi na rafki zangu na siku develop tabia mbovu mpka nikawa role model wa watoto mtaan lakin et kusema ufukuze marafiki zake wakija kwako si kitu poa itamchengea hofuWhat do they socialize?.Bad behavior or what !!
Uzuri wao anachokijua atakueleza jinsi anavyokijua. Hamna kupindisha maneno wala kufikiria maslahi.Nashauri TISS iajiri watoto tupu.
Mkuu wa Upelelezi asizidi miaka 15
Mimi mtaa ninapoishi watoto wengi wanaishia form two na hii intokana na makundi ya vijana wanaowazunguka.Wavulana ni kuishia kuvuta bangi na kazi za bodaboda.Wasichana ni kudanga kwenda mbele na mimba zisizotegemewa. Kuendekeza urafiki kwa watoto ni kuongeza mateja na chanzo Cha mmomonyoko wa maadili. Wewe you are the one among ten na hongera sana.Watoto wangu niliwahamisha kutoka kayumba kuja shule hizi za english medium sasa sku moja niko mivumoni nashangaa wanajua mitaa yote wakati shule ipo goba ndio kuniambia baba kule kayumba tulikua tunatoroka mno..sasa hii ndo ilikua mitaa yetu ya kuzurura aisee niligopa sana...ila hizi shule za english medium zinasaidia kubana sana watoro...na watoto
Socialization ni jambo jema sana kwa mtoto lakini awe monitor kistaarabu. Kukaa peke yako muda wote kunaleta sana stressAcha wajifunze socialization