Watoto wa 95 na 96 hawana watoto ila watoto wa 2000 wengi wana watoto kuna tatizo mahali utafiti unahitajika.

Watoto wa 95 na 96 hawana watoto ila watoto wa 2000 wengi wana watoto kuna tatizo mahali utafiti unahitajika.

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Sijui kama hilo na nyie Mmeliona watoto waliozaliwa 95,96,97, wanapitia maisha magumu ya kujitegemea kwa sasa huku wakiface pressure kubwa nyumbani ya kuoa au kuolewa hali ya kuwa wana maisha magumu sijui ilikuwaje hapo katikati wamecheza lakini hawakubahatika kupata angalau mtoto ila sio wote.

Cha ajabu wako watoto wengi wa 99,2000,2001,2002 ukikutana nao wana watoto binafsi me nimeligindua hilo.

Cha ajabu
 

Attachments

  • E797AD4A-FA0C-4D0B-B787-51A5B7CF1346.jpeg
    E797AD4A-FA0C-4D0B-B787-51A5B7CF1346.jpeg
    1 MB · Views: 4
Sijui kama hilo na nyie Mmeliona watoto waliozaliwa 95,96,97, wanapitia maisha magumu ya kujitegemea kwa sasa huku wakiface pressure kubwa nyumbani ya kuoa au kuolewa hali ya kuwa wana maisha magumu sijui ilikuwaje hapo katikati wamecheza lakini hawakubahatika kupata angalau mtoto ila sio wote.

Cha ajabu wako watoto wengi wa 99,2000,2001,2002 ukikutana nao wana watoto binafsi me nimeligindua hilo.

Cha ajabu
Huu si utafiti tayari au?
 
Uko sahihi kabisa

Nachoona watoto wa 93,94,95 wengi wao wana hofu ya ukimwi sababu wameziona dalili za mwanzo za ukimwi kama kukong'oroka, nywele kunyonyoka, kuharisha na kukonda hivyo mara nyingi wanaingia kwenye sex wakiwa na hofu hiyo hivyo wengi wao wanatumia kondom.

Ila vitoto vya 2000s haviogopi ukimwi hata kidogo na mimi ni shuhuda kuna kitoto kimoja nimeingia nacho faragha , ile naanza kuchomoa ndomu kikanipokonya na kuirusha huko [emoji2]
 
Ndio matokeo ya chanjo nyingi kwajili ya watoto, kuanzia miaka ya 2000,
Ili uamini hilo angalia na ukuwaji wao. Unakutana na mtoto wa 99→2002 wama miili mikubwa na wakiume ni warefu utadhani ni mtu mzima kumbe broiler!!

Wachunguze matendo yao sasa😅 kwenye kukabiliana na changamoto yoyote ya kimaisha kwao ni mtihani mkubwa, na wengi wao ndio hujichukulia sheria mikononi hata kujidhuru tu wenyewe.
Almost wote kwa asilmia kubwa hawako smart upstairs. Kwenye kutatuwa au kupambanua mambo.
 
Uko sahihi kabisa

Nachoona watoto wa 93,94,95 wengi wao wana hofu ya ukimwi sababu wameziona dalili za mwanzo za ukimwi kama kukong'oroka, nywele kunyonyoka, kuharisha na kukonda hivyo mara nyingi wanaingia kwenye sex wakiwa na hofu hiyo hivyo wengi wao wanatumia kondom.

Ila vitoto vya 2000s haviogopi ukimwi hata kidogo na mimi ni shuhuda kuna kitoto kimoja nimeingia nacho faragha , ile naanza kuchomoa ndomu kikanipokonya na kuirusha huko [emoji2]
Pole, jiandae
 
Uko sahihi kabisa

Nachoona watoto wa 93,94,95 wengi wao wana hofu ya ukimwi sababu wameziona dalili za mwanzo za ukimwi kama kukong'oroka, nywele kunyonyoka, kuharisha na kukonda hivyo mara nyingi wanaingia kwenye sex wakiwa na hofu hiyo hivyo wengi wao wanatumia kondom.

Ila vitoto vya 2000s haviogopi ukimwi hata kidogo na mimi ni shuhuda kuna kitoto kimoja nimeingia nacho faragha , ile naanza kuchomoa ndomu kikanipokonya na kuirusha huko [emoji2]
Umeongea kweli tupu

Binafsi nimeshuhudia jinji ukimwi ule ambao unanyonyoa nywele, utando mweupe mdomoni makovu mwili mzima, kikonda na kupaki kilo chini ya 20 hakika wagonjwa wa ukimwi walitisha sana.

Ilikua akilala kitandani unaona fuvu la kichwa tu. Nakumbuka mwalimu wangu wa hisabati nilimshuudia akiangushea na upepo hapo alikua amefika ile stage hawezi kuvaa viatu wala suruali anajifunga kanga tu kama mwanamke miezi miwili baada ya kuangushwa na upepo alifariki dunia.

Kwa matukio hayo ukiiona mbunye halafu ukakumbuka taswira ya mgonjwa wa ukimwi stimu zinakata kabisa
 
Sijui kama hilo na nyie Mmeliona watoto waliozaliwa 95,96,97, wanapitia maisha magumu ya kujitegemea kwa sasa huku wakiface pressure kubwa nyumbani ya kuoa au kuolewa hali ya kuwa wana maisha magumu sijui ilikuwaje hapo katikati wamecheza lakini hawakubahatika kupata angalau mtoto ila sio wote.

Cha ajabu wako watoto wengi wa 99,2000,2001,2002 ukikutana nao wana watoto binafsi me nimeligindua hilo.

Cha ajabu
hiyo picha ya vileo inahusiana na mada mkuu
 
Back
Top Bottom