Watoto wa kike usiku huu wanaenda msikitini kufanyaje kipindi hichi cha mfungo?

Watoto wa kike usiku huu wanaenda msikitini kufanyaje kipindi hichi cha mfungo?

Yoooh, saap Whackiest...🥰
How're you doing!
I missed you buddy, long time no see you.
What's happening there am not aware of 😉.
Comrade kipepe nawivu wake huku kashindwa kugandisha mambo freezer lake limefail
 
Watu wasiende Tarawei?.. sasa mfungo wafaa nini bila ibada?

Hao watakuwa wapagani wanawachafulia watoto zetu wasiende ibadani.
 
Watu wasiende Tarawei?.. sasa mfungo wafaa nini bila ibada?

Hao watakuwa wapagani wanawachafulia watoto zetu wasiende ibadani.
Ibada mchana haifai? Au Wararabu hawakufikiria usumbufu kama huo kutokea
 
Kila siku mida hii ya usiku ñaona mabinti wanapita wanasema wanaenda msikitini, kipindi hichi cha mfungo wanaenda kufanyaje? Mbona kama NI hatari Sana?

Leo nimekuta binti mmoja kavaa ushungi kabananishwa kwenye ukuta kuna kinjia kinatoka msikititi, walikua wanayajenga walivyoniona wakapiga kimya wakasubiri nipite!

Yule dogo nimemuonea wivu aisee🤣🤣 kibinti kama kile kizur vile na kinaleta ushirikiano huku kimevaa juba

Huu utaratbu mbaya sana usiruhusu mtoto wako na wenzake au mke aende msikitini usiku kipindi hichi
wewe si unatuonea wivu mashekhe haya daku njoo utupikie wewe...
 
Kila siku mida hii ya usiku ñaona mabinti wanapita wanasema wanaenda msikitini, kipindi hichi cha mfungo wanaenda kufanyaje? Mbona kama NI hatari Sana?

Leo nimekuta binti mmoja kavaa ushungi kabananishwa kwenye ukuta kuna kinjia kinatoka msikititi, walikua wanayajenga walivyoniona wakapiga kimya wakasubiri nipite!

Yule dogo nimemuonea wivu aisee🤣🤣 kibinti kama kile kizur vile na kinaleta ushirikiano huku kimevaa juba

Huu utaratbu mbaya sana usiruhusu mtoto wako na wenzake au mke aende msikitini usiku kipindi hichi
Umechoka kuimba kwaya. Na uharibifu mnaoendelea nao kwenye kwaya
 
Back
Top Bottom