Wakuperuzi
JF-Expert Member
- Mar 31, 2023
- 2,348
- 5,841
oya weee 😂Nulichogundua wadada wa humu sio wachoyo ila wanaogapa thread za mrejesho
Oya mkuu usifikiri ni wachoyo kiasi hichooya weee 😂
wanaogopa mrejesho.... 😂Oya mkuu usifikiri ni wachoyo kiasi hicho
Hahah htar maana wanakuwa hawana uhakika unakujajewanaogopa mrejesho.... 😂
🤣🤣🤣🤣 how do I know?Ni ID ya mwanamke,
Why should I fake🤦
For what,
For whom,
Eti Gilly😎 why🤗
Huyu ni mtoto wa kichaga, ngoja aseme neno nchi tutajua. Maana manka husemaga nji😬😬🤣nani kasema 😌
Leejay49 sema tu kama we ni mchaga 😂 tutoke wote....😂Huyu ni mtoto wa kichaga, ngoja aseme neno nchi tutajua. Maana manka husemaga nji😬😬🤣
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]JF inazidi ku-become worst
So kwa thread hizi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wakishua wengi hawajui mchezo. Vitu vingi wanakuja kujifunzia wakiwa free hasa vyuoni. Kuna mmoja tulikutana chuo alikua anaelewa sana lifestyle yangu ya geto ila akaanza kunikera hajui kuosha vyombo wala kupika ila alichonishangaza anajua kunyonga weed
Hahahah unayumba man
Sina nakaa kwa dada 🙄Hahahah unayumba man
yale mapenzi uliyonipa mara ya mwisho sijayasahau😀yani kama kupe, alivyoniacha na walaka wote ule na kesi juu nimlipe hela sikutegemea kama angenifata tena😄😄