Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walio wengi hawaendi bar mkuu, Ukitaka ufaidi zaidi... Tafuta mwenyeji akupe location zao... Ndo utafaidi..Tanga wilaya gani mnayoongelea kwenye hao watoto? Tukiendaga Bar za uko tunakuta mademu wa bara tu. Tupeni connection za hao watoto mnawaokota wp.
• Yani kama una mke, iwe isiwe lazima utamuacha tu.mkuu uko kuroga inakuwaje?
kwa mfano mtu kakuroga kinatokea nn? unakuwa unampa sana ela yey au unampenda yeye sana au?
Acha uchiziNaona umeiga Hadi ongea yao. Alafu unajiita mwanaume[emoji23][emoji23]
Moshi wapo wengi wagosi waja leo waondoka leo tanga raha.kama hizi sifa ni kweli ajitokeze mtoto wa kitanga mmoja nipo moshi hapa
Shida mnapata nyie msio left group, si mshukuru hayo maua wamewaachia myafaidi vizuri.Wanaoleft grup sijui wanakwama wapi. Hii dunia ina maua mazuri kama yamemwagwa vile
Kuleft waleft wengine, tabu upate wee inahusuuu??Kila Nikifikiria huwa sipati jibu kabisa... Au ndo ulimbukeni wenyewe
Wanatuachia mzigo mkubwa hata tukigawana 10@ bado mnabaki wengi, usiwatetee kwenye koment yangu tafadhaliShida mnapata nyie msio left group, si mshukuru hayo maua wamewaachia myafaidi vizuri.
Hata hamueleweki mnataka nn, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huo muda wa kuwaza mwanaume anayetumia matungunya ya mwanaume mwenzie, na usiwaze hao wadada wazuri unaosema,Nikiangalia kulivo na wadada wazuri nawazaga hv anaewaza matinginya ya mwanaume mwenzake sijui akili ipo wapi?
Hawatuwazi? Wanaji+omba wenyewe?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huo muda wa kuwaza mwanaume anayetumia matungunya ya mwanaume mwenzie, na usiwaze hao wadada wazuri unaosema,
Tatizo hamridhiki na hali zenu, mbona hao homosex hawawazi kuhusu nyie heterosex?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hamridhiki na mlipo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa ndo mgawane hadi idadi itoshee.Wanatuachia mzigo mkubwa hata tukigawana 10@ bado mnabaki wengi, usiwatetee kwenye koment yangu tafadhali
Sawa msema ukweli umeeleweka na ukweli wako.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa ndo mgawane hadi idadi itoshee.
Yaan mfaidii na mfaidi tena, muwaache wao wafanye wanayo penda huko waliko leftia.
Siwatetei, nasema ukweli.
Sasa km mnajua hao wanao left group, mnawatumia nyie wenyewe, mnalalama nn? Ukiona mtu analeft group ujue huko anakoenda yuko anaemfataa.Hawatuwazi? Wanaji+omba wenyewe?
Swadaktaaaaaa.Sawa msema ukweli umeeleweka na ukweli wako.
Uwezi zuia mtu asiongee/asitoe maoni yake, we kama unaona ni unafki sawa.Sasa km mnajua hao wanao left group, mnawatumia nyie wenyewe, mnalalama nn? Ukiona mtu analeft group ujue huko anakoenda yuko anaemfataa.
Tatizo lenu mnasumbuliwa na UNAFIKI.
wabongo bhana lol, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Heeee tena ?
Kama uliyofika hiyo hatua mkuu, ni ushahidi tosha kabisa.. Kuwa tanga ni pazuri 😋😋.Mimi bado haujanishawishi kabisa, watanga wazuri kweli especially wadigo na wasambaa Ila bado Mimi kuna upande nauelewa sana ndugu zangu wasambaa ilibakia kidogo nilete Posa
🤒🤒, Heshima inashuka mkuu, walio pasuliwa jicho hao wameharibu hali ya hewa kabisa, Sasa hivi hata kushikana mikono na mwanaume mwenzio ni tatizo, kutembeleana getho mwanaume kwa mwanaume imekuwa tatizo.... Je huoni mabwabwa yanachafua hali ya hewa.Kuleft waleft wengine, tabu upate wee inahusuuu??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huridhiki na hali yako??