Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo la usaf kweli tuwape maua yao,soon nitaenda Tanga nikakutane tena na mtoto Zay,mtoto namchezea mpaka kinyeo lkn sijawahi kuhisi harufu nnyaaa[emoji2][emoji2]Mkuu nimewahi kuwa na mtoto wa kitanga, fatma. Mkuu ni msafi, ananukia, anayajua, mkarimu, sauti sasa, kanajua kudeka hatari. Daah mtoto fatma popote ulipo nakupa maua yako
Acha uongo, ukoo wenu akina mbise hatuna dada wa namna hiyo.Unabisha nini wakati nawafahamu physically.
Hao ni ukoo wa Mbise mkuu
Hapana mkuu mm nina wivu [emoji2][emoji2][emoji39][emoji39], nilushie namba zake mkuu, nikampe hata Hi5 tu
Mkuu unanitamanisha sana niende Tanga wallahiNa wana kauli yao "ni wewe tu kama upo tayari utanicheki"
Ni kweli mkuu nilipataga demu mmoja wa kitanga kupitia fesibuku sahivi yuko zake huko Gulf wanapenda sana nchi za kiarabu• 😀😀, Mkuu alafu nimeona kundi kubwa sana la warembo wa kitanga, wanazamia huko Dubai..
• Tanga ni uhakika , maji mara moja, final ni watoto wazuri sana..
Acha uongo, ukoo wenu akina mbise hatuna dada wa namna hiyo.
Ukilogwa na wale mademu, Huwezi ukaendelea mkuu, hela huwa hawabakizi, kama ni salary yeye anakuwa mtunza hela.Ni kweli mkuu nilipataga demu mmoja wa kitanga kupitia fesibuku sahivi yuko zake huko Gulf wanapenda sana nchi za kiarabu
Mi niko tayari nilogwe tu na mtoto wa kitanga
Naona umeiga Hadi ongea yao. Alafu unajiita mwanaume[emoji23][emoji23]Mwanamke bora asubiri nilete pesa tu kuliko kujifanya manka afuu show mbovu......tanga nakumbuka kuamka saa 4 na kuingia ndani mapema kabla halijazama, weekend tanga yaaanza alhamisi.....sikukuu ya idd ya tanga yaliwa week 2 [emoji28][emoji28][emoji28]
Ukijifanya unawai wai nguo zalowekwa maji unashindia taulo au msuli [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Hahahah, Mercy ni muajiriwa wa taasisi moja inaitwa BRAC,alikuja Tanga 2018 enzi hizo kamaliza chuo,alikua hana jina akaanza kudate na msela Mwalimu wa shule. Baadae akapata jina akaanza kula masafa.Walikua na mishe gan huko hao malaya mkuu
Muhimu kufanya utalii wa ndaniMkuu unanitamanisha sana niende Tanga wallahi
[emoji849][emoji16][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]Wasi wasi wako tu mkuu, but mimi nafuata sana maelekezo hivyo siwezi fanya lolote baya kwa namna utakavyo nielekeza [emoji39][emoji39]