Watoto wa kiume wanatumia taulo za kike kupitisha vilevi kwa njia ya haja kubwa

Watoto wa kiume wanatumia taulo za kike kupitisha vilevi kwa njia ya haja kubwa

Duuh nimeona hii taarifa nimeshtuka Sana na kusikitika.... Ama kweli duniani inaelekea ukingoni

Source:EFM (Joto la asubuhi )
Nina uhakika Kuna watu watakuja kusema kuwa haujaeleweka kabisa na watataka uongezee nyama nyama kidogo ili waelewe 😲😲😲

Ahsante.
 
Yani bia inamwagwa kwenye pedi halafu inavaliwa hiyo pedi? Ndio maana vivulana vya hapo dar unakuta vimevaa makaotura mapanaa tumiguu twembambaaa kumbe ndani vimevaa pedi
Haiingii akilini hiyo 'sayansi'.

Enhee, inaingiaje kwenye 'koloni' na kupenya penya hadi kwenye digestive system kupitia ped?

Emb mkalijadili hili kwa ukamilifu mazee!
 
Duuh nimeona hii taarifa nimeshtuka Sana na kusikitika.... Ama kweli duniani inaelekea ukingoni

Source:EFM (Joto la asubuhi )
Screenshot_20240622-153449.jpg
 
Back
Top Bottom