Metronidazole 400mg
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 941
- 2,062
Duuh nimeona hii taarifa nimeshtuka Sana na kusikitika.... Ama kweli duniani inaelekea ukingoni
Source:EFM (Joto la asubuhi )
Source:EFM (Joto la asubuhi )
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka video kwa faida ya members...
Hatari
Umeandika kishamba Sana mkuuDuuh nimeona hii taarifa nimeshtuka Sana na kusikitika.... Ama kweli duniani inaelekea ukingoni
Source:EFM (Joto la asubuhi )
Acha kutumia pampers na pads kujiingizia pombe kwenye upuru wako. Utapata kansa dogo. 😀😃😄😁Umeandika kishamba Sana mkuu
Nina uhakika Kuna watu watakuja kusema kuwa haujaeleweka kabisa na watataka uongezee nyama nyama kidogo ili waelewe 😲😲😲Duuh nimeona hii taarifa nimeshtuka Sana na kusikitika.... Ama kweli duniani inaelekea ukingoni
Source:EFM (Joto la asubuhi )
Haiingii akilini hiyo 'sayansi'.Yani bia inamwagwa kwenye pedi halafu inavaliwa hiyo pedi? Ndio maana vivulana vya hapo dar unakuta vimevaa makaotura mapanaa tumiguu twembambaaa kumbe ndani vimevaa pedi
Ili tupofuke?
Duuh nimeona hii taarifa nimeshtuka Sana na kusikitika.... Ama kweli duniani inaelekea ukingoni
Source:EFM (Joto la asubuhi )
Unaandika kama uko Bungeni Kenya unataka kuiba fimbo ya spikaDuuh nimeona hii taarifa nimeshtuka Sana na kusikitika.... Ama kweli duniani inaelekea ukingoni
Source:EFM (Joto la asubuhi )