Watoto wa kiume wanatumia taulo za kike kupitisha vilevi kwa njia ya haja kubwa

Acha kutumia pampers na pads kujiingizia pombe kwenye upuru wako. Utapata kansa dogo. πŸ˜€πŸ˜ƒπŸ˜„πŸ˜
Kivipi?? Nilimwambia muandika uzi ameandika kishamba Sana, hajafafanua ni vilevi gani, kivipi wanafanya kutumia pampasi?? Kwa ufupi ameandika Kama anakimbizwa.

Sasa nawe umekuja unajibu vumbi, shida ni Nini?? Au mi ndo sikuelewa alichoandika mleta uzi??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…