Watoto wa Mengi wamburuza mahakamani Jacqueline Mengi "Klynn"

Hii vita Klyin hawezi kushinda, akubali matakwa ya huo ukoo,chochote atakachoambulia hakitakuwa haba kwake,isitoshe hana cha kupoteza na yeye bado ni kijana, otherwise atapotezwa na mali zote zitarudi kwa hao jamaa hasa ukizingatia watoto wake bado ni wadogo hivyo uangalizi utarudi kwa wakubwa zao.
 
Mimi nahisi una mchepuko, mbona umekua senstive na hii topic??? WEWE PONDA RAHA NA MCHEPUKO WAKO ila jua ukifa mali zote ni za watoto wa bi mkubwa!😂😏
Hako kadem mi nakashangaa sana ujue alafu kalivyo na akili za kimasikini kanasema eti wakina Regina na Abdiel watafute vyao kuanzia chini 😡 sasa watu waliozaliwa familia za.kimasikini baba zao hawana kitu waanze kutafuta vyao kuanzia sufuria hadi mwiko na hawa baba zao wenye mabilioni ya dollars watafute chini hiyo ni akili?
.
Kamezaliwa kwenye famili zetu hizihizi za kwa mfuga mbwa kanasema kako Ulaya sijui ulaya Bulgaria huko kanatamba hapa.
Regina kaisimamisha EATV kalinda heshima ya kile kituo kwa miaka mingi misingi yake ni ileile eti atoke akatafute vyake utadhani ni watoto wadogo wale.
.
Mwisho kanachekesha kanasema kamewashuhudia wakiwa makinda hivi Rebecca Regina kama alishuhudia na huyo akiwa kinda unafikiri atakuwa na umri gani kama Regina tayari ni bibi huyu QWY atakuwaje alafu soma na comments zako uone alivyo na akili hewa
 
Ile sharia ya miradhi ya makonda haijarekebishwa bado kwa njia ya haraka? Mbona kesi inaanza kabla haijarekebishwa allah?
 
When the bitch ass fool go off rail, ku'panic kwenye vitu vya kijinga kama mijadala ya kwenye mitandao ya kijamii ni upumbavu uliokithiri.
You're body is functioning with zero brain
 
When the bitch ass fool go off rail, ku'panic kwenye vitu vya kijinga kama mijadala ya kwenye mitandao ya kijamii ni upumbavu uliokithiri.
Labda ana hisa IPP
 
Reactions: Qwy
Mali zangu ntagawa kabla sijafa atakepata kikombe sawa atakaepata kijiko sawa sitaki kusikia hizi habari
Kila ninapopata mali at the same time nagawa as I go along
 
Inashangaza sana kwamba watu ambao si watanzania wanaInflitrate katika mifumo yetu ya kisiasa,kiuchumi na kijamii kwa malengo marefu hatimaye wanafanikiwa kama huyu kurithi uchumi wa kutisha kama wa Ndugu Mengi alafu waachwe tu hivihivi Hopefuly Haki itatendeka tu.Kuna thread moja imejaribu kutoa hii tahadhari kuwa Our systems have Been compromised to the extent kwamba Wakimbizi sasa ni watanzania na wapo katika mifumo yetu na tumewapa dhamana kubwa sana kusimamia Taasisi zetu Labda kama tunakwenda kwa pace ile ya EAC Na COMESA kwa haraka lakini mpaka tufike huko tutakuwa tumeshakabidhi kila kitu wageni kisha wawe wenyeji kisha tuwe wageni katika taifa letu.Huu ni mfano tu ipo mingi ambayo tutashangaa tukipekua pekua na kutazama.
 
Ndoa 2015 hadi 2019 kimasihara tu klyn arithi mabilioni, Huu utani huu, atapigwa vita sana,Mali ya mchaga hairithiki kirahisi hivi, Ndugu na watoto wakubwa wa mengi wanaandaa makombora mazito sana
🚀🚀🚀makombora(missile)kutoka kishumundu mpaka dar😂😂😂
 
Yaani mpaka aibu, uswahili wa kipumbavu kabisa kugombania kitu ambacho mwenye nacho hakutaka kuwaachia.
Ndiyo tatizo la mitoto kuacha kutafuta vya kwao au kuanzisha shughuli zao ili zile za kuzikuta ziwe kama ziada, wanajiaibisha sana.
Waafrika tumejaa funza kichwani
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…