Watoto wa Mengi wamburuza mahakamani Jacqueline Mengi "Klynn"

Watoto wa Mengi wamburuza mahakamani Jacqueline Mengi "Klynn"

Bi dada angekubali tu wagawane sawa ili kuondoa mambo mengine nilee watoto wangu kwa Amani zote mana unaweza kupata mali ukapoteza Uhai ukaacha watoto wako wadogo mana vita ya mirathi asa kwa awa matajiri ni balaa
 
Jack anadanganywa sana na yule dadake, hata ningekuwa mimi nisingekubali, ningeenda hadi mwisho wa dunia ili mali zirudi


Jack anadanganywa na dada yake na pia anatumia nguvu nyingi sana kushindana na sisi watu wa mitandao, she wants to prove us Wrong including wakina Mange Kimambi kwamba wamemsema sana na mwisho wa siku amekua bossy lady hizo ndio Ndio Ndoto zake ( kushindana na tunaomsema) 😂😂😂😂😂

Kingine kinachomfanya atumie nguvu nyingi kutapeli mali za watu , ni kuendelea maintaining the same status ya kitajiri Aliyokua nayo akiwa na mzee na anataka marafiki zake lile kundi Lao waendelee , kumuabudu , anataka kufunga ndoa na Hussein waishi kitajiri ndio maana amepagawa anatafuta hela kwa nguvu nyingi mno bila kutumia akili ili abaki juu kileleni, Hisitoshe Elimu hana ni form four tu Yule

Anajidanganya nasubili atakavyoangukia pua na ujambazi wake wa kishamba
 
Jack anadanganywa na dada yake na pia anatumia nguvu nyingi sana kushindana na sisi watu wa mitandao, she wants to prove us Wrong including wakina Mange Kimambi kwamba wamemsema sana na mwisho wa siku amekua bossy lady hizo ndio Ndio Ndoto zake ( kushindana na tunaomsema) 😂😂😂😂😂

Kingine kinachomfanya atumie nguvu nyingi kutapeli mali za watu , ni kuendelea maintaining the same status ya kitajiri Aliyokua nayo akiwa na mzee na anataka marafiki zake lile kundi Lao waendelee , kumuabudu , anataka kufunga ndoa na Hussein waishi kitajiri ndio maana amepagawa anatafuta hela kwa nguvu nyingi mno bila kutumia akili ili abaki juu kileleni, Hisitoshe Elimu hana ni form four tu Yule

Anajidanganya nasubili atakavyoangukia pua na ujambazi wake wa kishamba
Kumbe yuko serious kutaka kuolewa na yule muarabu.........
 
Ndoa 2015 hadi 2019 kimasihara tu klyn arithi mabilioni, Huu utani huu, atapigwa vita sana,Mali ya mchaga hairithiki kirahisi hivi, Ndugu na watoto wakubwa wa mengi wanaandaa makombora mazito sana
Wale wakigoma unafikiri in wepesi wepesi.Kamuulize mdhihiri vs zito.Wachaga wachawi lakini Kigoma funga kazi,akishindwa anavuka Burundi pale habari inaisha.Wasitbubutu kuingia kwenye ushirikina hiyo vita hawataiweza Bora warudi mezani kiutu.
Hivi huyo anasema mengi aliandika akiwa amechanganyikiwa je yeye ni daktari? Je tumewahi sikia mengi kawa chizi.Hao watoto Kama waliungana na mama yao kumuhujumu mengi awarithishe tu mali.Kama baba yao hakuwa radhi nao hawatafika popote kama alikuwa amechanganyikuwa basi watashinda.
 
Ndoa 2015 hadi 2019 kimasihara tu klyn arithi mabilioni, Huu utani huu, atapigwa vita sana,Mali ya mchaga hairithiki kirahisi hivi, Ndugu na watoto wakubwa wa mengi wanaandaa makombora mazito sana
Kama alikuwa anamnyonya mdudu wakati first wife anaona kinyaa unatarajia nini? Honga kila kitu.Unahonga mpaka roho.
 
Wanawake wa kichaga kupora Mali za makabila mengine sawa ila makabila mengine kupora Mali za wachaga sio sawa.Angekuwa mwanamke Huyo n mchaga na mwanaume in makabila mgemsifu sana.Sasa imefika zamu yenu muone machungu wanayopataga ndugu wa makabila mengine.
Kuna ndugu yetu wa ujiji kaoa mchaga nakwambia hakuna anaetia mguu nyumbani kwake,katekwa nyara,tunasubiri tu kumzika.
 
Sitaki kuamini kama mtu aliyechanganyikiwa anaweza kuandika wosia wa namna ile (yaani ukisoma wosia wote, neno kwa neno utagundua kwa 100% wosia ule uliandikwa na mtu mwenye akili timamu, msomi haswaa huku akiongozwa na jopo la wanasheria na washauri wa mambo ya kifedha).

Ni hoja dhaifu sana kusema Mengi aliandika wosia ule akiwa amechanganyikiwa, kwa sababu
-Nani anaweza kuthibitisha hilo?

-Wakati wote huo Mengi alikuwa akishirishi hadharani matokeo muhimu ya kijamii huku akionekana akiwa timamu. Huko kuchanganyikiwa kunakujaje?

-Ni miaka 2 imepita toka wosia uandikwe na Mengi na hakuna kitu alibadilisha kwenye wosia wake, sasa miaka yote miwili alikuwa amechanganyikiwa?
 
Wale wakigoma unafikiri in wepesi wepesi.Kamuulize mdhihiri vs zito.Wachaga wachawi lakini Kigoma funga kazi,akishindwa anavuka Burundi pale habari inaisha.Wasitbubutu kuingia kwenye ushirikina hiyo vita hawataiweza Bora warudi mezani kiutu.
Hivi huyo anasema mengi aliandika akiwa amechanganyikiwa je yeye ni daktari? Je tumewahi sikia mengi kawa chizi.Hao watoto Kama waliungana na mama yao kumuhujumu mengi awarithishe tu mali.Kama baba yao hakuwa radhi nao hawatafika popote kama alikuwa amechanganyikuwa basi watashinda.


Wakati Mengi amechanganyikiwa ulitaka usikie wewe kama Nani kwa mfano tuanzie hapo dr wa Familia? 😀😀😀

Baba Yao hakua na Radhi nao baada tu kylin kuingia kuvuruga familia ya watu ya kisomi? Una cheza wewe

Mmeroga na mkamvuluga Mzee mengi akili yake mkaona mumpoteZe kabisa duniani, baada ya zoezi lenu la kumsainisha will fake mliotengeneza kufanikiwa mkaona hana faida tena kwa kua will imekamilika, mkaisi akifa mtachukua vyote utajiri utakua nje nje , hakuna kitu kama hicho , Damu yake mlioimwaga mtailipia

Subilini tu kunyolewa na mahakama, kylin na genge lako hamuwezi mkatuloga Watanzania wote ,ili mfanikiwe ujambazi wenu, some of us are watching you very closely na uchawi wako
 
Sitaki kuamini kama mtu aliyechanganyikiwa anaweza kuandika wosia wa namna ile (yaani ukisoma wosia wote, neno kwa neno utagundua kwa 100% wosia ule uliandikwa na mtu mwenye akili timamu, msomi haswaa huku akiongozwa na jopo la wanasheria na washauri wa mambo ya kifedha).
Ni hoja dhaifu sana kusema Mengi aliandika wosia ule akiwa amechanganyikiwa, kwa sababu
-Nani anaweza kuthibitisha hilo?
-Wakati wote huo Mengi alikuwa akishirishi hadharani matokeo muhimu ya kijamii huku akionekana akiwa timamu. Huko kuchanganyikiwa kunakujaje?
-Ni miaka 2 imepita toka wosia uandikwe na Mengi na hakuna kitu alibadilisha kwenye wosia wake, sasa miaka yote miwili alikuwa amechanganyikiwa?
Sawa wakili wa Kylnn
 
Back
Top Bottom