Watoto wa Mjini Dar

Watoto wa Mjini Dar

Ulichofanya hapa ni kuongea na sasa hii ni AIBU

Unajipa standard ya juu sana na hao wenzako ambao hamuongei na waliosoma kwa Ndosi na kisha unakesha hapa JF kuongea na waliosoma kwa Ndosi.

Kama hutaki kuongea na waliosoma kwa Ndosi (BTW mimi si mmoja wao) basi ungekuwa na blog yako ya "watu wa mjini" na "wasiongea na waliosoma kwa Ndosi" kama mwenzako alivyoanzisha ya kwake akiita taifaletu wakati akiishia kufanya plagiarism.

Majigambo ya bure...... unajiweka standard ya juu ukidharau wenzako na kusifia kuishi Dar kabla na muda mfupi baada ya uhuru as if that's the only qualification ya kuwa mtoto wa mjini.

Labda thread hii mngeiita ya wazee wa mjini Dar au ya watoto wa mjini Dar waliozaliwa kabla na muda mfupi baada ya uhuru wa Tanganyika.

yale yaleee
 
Bahara gai anazungumza ka Shakespare? ndio maana nikasema FREDY MACHA hajakaa bichi yule alikuwa ni mtoto wa kishua na wakampandisha kwenye meli za wa watalii...na narudia kwa sababu wachagga wajanja wajanja yule atakuwa alipelekwa direct wa FIRST OFFICER kuwa tutazamie mwanetu huyo

Lakini si mtu ambaye alikaa Capetown enzi za Pik Botha anasubiri pipa kama wengine

in short record ya Ubaharia ya Fredy Macha iko "QUESTIONABLE"

The Jury is out on this

He is more of "Baharia" in the sense of msafiri wa zamani zaidi ya sea man.

Speaking of mabaharia wa zamani, Jah Kimbute katika bio yake anadai alipata kupenda muziki wakati akiwa baharia mitaa ya udachi huko Marota, jamaa kweli au fix tu? Kuna mabaharia waliokaa bichi la Rotterdam wanamjua kwenye chama lile?
 
Chill out Mrembo,

Hayo maneno tu,GT unakuzuga muda mwingine tuna hitahi kitukingine zaidi ya seriousness ya politics.
Hapa kijiweni kama mtu anaku-annoy nyamaza
 
Hiyo ni Dar wakulu enzi hizo....sio sasa imejaa wabangubangu....mnanikumbusha sana......kulikuwa na ule ushindani wa upande gani wa jiji umetoa mabaharia wengi.....mitaa ya migomigo au Temeke??
By the way GT
Unaongelea ile ya mtaa wa Uhuru au? karibu na gas station isiyokauka mafuta ya taa au nyingine?

HNdio hiyo hiyo heoteli ya WATINDIKA ile kila ukipita pale wanajidai wao wa Zaire hawajui kiswahili tena iko nyuma ya hoteli ya RIKI HILL(by the way kati ya wachagga safi yule Riki safi sana )



Kusema ukweli kati ya Migo Migo na Temeke nadhani TEMEKE aka MKOA WA PWANI wale walitoa Mabaharia wengi zaidi lakini wengi wao hawakurudi walitokomea na wengi walikufa

Migo miko kulikuwa na mabaharia wengu lakini ukweli ni kuwa wengi wao walikuwa watu wa BWIMBWI tuuu...and please dont mention akina BAGHDELLA au BOB RICHARD

pamoja na tabia yetu ya kudharau watoto wa TEMEKE lakini kule mjomba kumetoa na Manunda wa kila namna. Ebwana ukishuka hapo Hillbrow, Jburg utakuwa watoto wa Temeke ndio waliojazana pale. Na zaidi utakuwa wengi wao ndio walishalowea na hata majina utakuwa wamebadili maana walipoona ulaya hakuingiliki na wale wanawake wa Kisaudi wenye miiili mikubwa tena bas, jamaa wakao na majina utasikia wanajiita akina DLAMINI

Watoto wa MIgo migo wengi walitoka kwenye femili ambazo waliweza kuchagiwa safari na wengi waliprudi mambo yalikuwa safi na ushahidi upo mpaka leo ukishuka kwenye maghetto ya pale new Delhi...maana le ndio ilikuwa line ya kwendea PASHAWAR na kule Pashawar ilikuwa waabe tuu ndio wanaokwenda.

Ahh we acha tuuu
 
mhhhh nitawalipa vipi wakati box lenyewe ni la kimitikasi?

jamaa kila nikimpigia simu hapokei nampata mkewe noma tupu box limegoma lakini potelema mbali najua ARSENAL watapigwa bao tuuu sasa its not even worth kuutazama mpira wenyewe

sema tatizo nitakuwa siwezi kupata MAPILAU si unajua tena box lenyewe linakuja full mziki...mambo ya kaina Sara Jay,sijui Devoe sijui, Pinky sijui nani siui basi ahh we acha tuuu

ndio maana nimeona nitinge tuu humu kijiweni

Sawa kaka,

Halafu tunapata wapi moral authority ya kuongelea copyright violations?
 
MWAZANGE,mabaharia wa temeke walikuwa wanatembea na mguu mpaka ugiriki,kufika majaliwa,maana njiani unakutana na john garang.mabaharia wa migomigo walikuwa wanastow away,wengi wametupwa baharini.mabaharia wa upanga walikuwa wanapanda ndege kuzifuata meli hukohuko umangani

very true

hilo nawapa respect watoto wa TEMEKE yaani halina ubishi hata kidogo

nadhani hasira zaidi zilikuwa walikuwa wanaona MITEMBA inaingia na kutoka wakati watoto wakishua walikuwa wanatengenezewa ma dischaji buku kule tegeta

wee acha tuu
 
Ha ha ha,Hii ndio ilikua DASLAM,
Walioshindwa kupanda meli waliishia kuuza MAGENDO (sigara) na kucheza mpira yanga na simba.

si kweli

walioshindwa meli waliiishia kwenda SHAMBA DOGO

get your facts right

biashara za magendo zilikuwa za wachagga waliokuja mjini pale kufungua maduka

umeona mzaramo au mndengereko gani akawa na akili ya kukaa kutwa nzima anasubiri watu waje kununu kitu dukani?
 
game theory,unamwambia pundit,kwamba box lenyewe la mitikasi? pundit hakuelewi maana yeye anaonekana ni mtu straight,no shortcuts.

mwafrika wa kike naona kama umechanganya thread,naona hili baraza halikufai
 
HNdio hiyo hiyo heoteli ya WATINDIKA ile kila ukipita pale wanajidai wao wa Zaire hawajui kiswahili tena iko nyuma ya hoteli ya RIKI HILL

Sana tu wanajazana kwa fundi viatu/ shu shaina chini pale....
 
game theory,unamwambia pundit,kwamba box lenyewe la mitikasi? pundit hakuelewi maana yeye anaonekana ni mtu straight,no shortcuts.

mwafrika wa kike naona kama umechanganya thread,naona hili baraza halikufai

kwa standard ipi umetumia kuandika kuwa hili baraza halinifai?
 
si kweli

walioshindwa meli waliiishia kwenda SHAMBA DOGO

get your facts right

biashara za magendo zilikuwa za wachagga waliokuja mjini pale kufungua maduka

umeona mzaramo au mndengereko gani akawa na akili ya kukaa kutwa nzima anasubiri watu waje kununu kitu dukani?

Muulize kama unamjua Athumani China (kiungo wa yanga zamani,yupo huko juu) alikua na mshikaji wake wanasaka pesa ya kupaa seaman book wakaona bora wauze sigara za magendo (wakati huo deal) 1984-5 mwenzie akaitoa yeye akaishia kucheza mpira yanga.
Labda nyinyi watoto wa KKOO mlikua njia nyingine ya kupata pesa
 
game theory,unamwambia pundit,kwamba box lenyewe la mitikasi? pundit hakuelewi maana yeye anaonekana ni mtu straight,no shortcuts.

mwafrika wa kike naona kama umechanganya thread,naona hili baraza halikufai

Sana tu sio lazima kila thread awe anazungumziwa Yona na Mkapa.....Hapa ni kama ulishawahi kuzuga mitaa ya kati, kufanya dili za hapa na pale ofisi mkononi, na kuwa mtu wa maskani ndo unakaribishwa....
Kama wewe ulikuja Dar kumsalimia mjomba wa TRA ukawa geti kali ili usifundishwe uhuni....wewe pitiliza tu....sio penyewe hapa.
 
nasikia piraeus,ugiriki kulikuwa na agent wa meli mgirki anaitwa lambros mpaka kiswahili anaongea
 
Sana tu sio lazima kila thread awe anazungumziwa Yona na Mkapa.....Hapa ni kama ulishawahi kuzuga mitaa ya kati, kufanya dili za hapa na pale ofisi mkononi, na kuwa mtu wa maskani ndo unakaribishwa....
Kama wewe ulikuja Dar kumsalimia mjomba wa TRA ukawa geti kali ili usifundishwe uhuni....wewe pitiliza tu....sio penyewe hapa.

Mkuu nadhani umesahau kuweka maneno kuwa.... kama ulikuwa Dar muda mfupi baada ya uhuru wa Tanganyika. Au maneno kuwa ... kama wewe una umri zaidi ya miaka 50 basi changia hii thread.

Kwa misingi hiyo... hii thread inahitaji title mpya
 
Mkuu nadhani umesahau kuweka maneno kuwa.... kama ulikuwa Dar muda mfupi baada ya uhuru wa Tanganyika. Au maneno kuwa ... kama wewe una umri zaidi ya miaka 50 basi changia hii thread.

Kwa misingi hiyo... hii thread inahitaji title mpya

Dadaaa hili wala halihitaji age range.....kama utakuwa umeifuatilia, watu wameulizana watu, vitu na sehemu za aina mbalimbali na generations tofauti...kama kiulizwacho hakikutokea kwenye hood lako unakaa kimya unaipisha point ipite wewe unadakia ambayo inakuhusu...watu wanamove on...Just out of curiosity...unakuwa offended nini pindi watu wakiizungumzia Dar bila hata ya kufika Kibaha Picha ya ndege?
Kama ni hivyo sorry....
 
mama punguza munkhar,pumzika tu hii flow humu ndani,is beyond thee comprehension. many thanks
 
Dadaaa hili wala halihitaji age range.....kama utakuwa umeifuatilia, watu wameulizana watu, vitu na sehemu za aina mbalimbali na generations tofauti...kama kiulizwacho hakikutokea kwenye hood lako unakaa kimya unaipisha point ipite wewe unadakia ambayo inakuhusu...watu wanamove on...Just out of curiosity...unakuwa offended nini pindi watu wakiizungumzia Dar bila hata ya kufika Kibaha Picha ya ndege?
Kama ni hivyo sorry....

Ni wapi nimeandika kuwa niko offended? ... Hii ni thread kama zingine zozote hapa JF na nina kila haki ya kuchangia kile ninachoona kinafaa. Au sio?
 
mama punguza munkhar,pumzika tu hii flow humu ndani,is beyond thee comprehension. many thanks



Kipimo kipi hicho kimepima comprehension ya hii thread na ikaonekana kuwa iko beyond any point? Wewe changia tu thread kama ulivyokuwa unafanya mkuu, ukiona ninayoandika ni pumba.... una kila sababu ya kutosoma kila ninachoandika.

Mimi ninachangia context ya kile kilichoandikwa hapa kuanzia mwanzo wa hii thread hadi sasa hivi.

Many thanks
 
Back
Top Bottom