Watoto wa Mjini na Mishe za kushangaza Town. Jifunze kitu...

Ndo kitu gani hicho?
 
Kesha funga ndoa Katoliki huyo hawezi chomoa ....yani ale nyingine zoote za damu awasusie? Watamzingua vibaya sana
 
Leo ndio nimegundua I'm too decent for this City life [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Speaking of sexy toys nadhani hii biashara ni kweli huenda ikawa na pesa nzuri.
Maana nna sample aina mbili tuu nilizitangazaga kwenye ma group fulani fulani huko Facebook huo mwamko wake daah!...
Ila nadhani kiserikali sio biashara halali.
Mnazitoa wapi hizo sex toys?
 
mastory yanaendelea..na mchizi wangu cane yeye dreva wa wachina wale wa makamari..akiwa off ana wakenya wake wapo dar hapa anapiga nao misele wanayakung'utisha makorokoro hatari...anawalengesha zenye hela nyingi
 
Umenikunbusha mbali sana kipindi sijaanza hii biashara yangu ya majeneza🤔
Anyway maisha yana siri kubwa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…