Watoto wa Mzee Malecela hawana bahati na Siasa kama ilivyo kwa Wana wengine wa viongozi wa CCM

Watoto wa Mzee Malecela hawana bahati na Siasa kama ilivyo kwa Wana wengine wa viongozi wa CCM

Siasa ndio nini sasa, Kwao siasa hayakuwa mafanikio, hiyo hatua aliyokuwa amefikia Dr Mwele ni Mwanasisa gani atanusa hapo.
 
Ni mzee Malecela pekee katika wale wakongwe wa CCM ambaye hana mtoto mbunge.

Le mutuz aligombea ubunge wa Afrika Mashariki akafeli.

Ipyana RIP naye hakufika mbali.

Mwele tena mshumaa umezimika

Yule Anna Kilango alikuwa mwanasiasa kabla ya kuolewa na mzee Malecela, nakumbuka mwaka 2000 alimgaragaza mzee Keenja rip kwenye kura za maoni pale Ubungo sema tu Mkapa akaingilia kati Keenja akatimba bungeni

Ukifika bungeni utawakuta akina Jr kibao, kwa mfano Kawawa Jr, Nnauye Jr, Kikwete Jr, Mwinyi Jr, Makamba Jr, Lowassa Jr, Ditopile Jr nk...nk. amekosekana Le mutuz na Kinje tu.

Mungu wa mbinguni awabariki sana!

Jumaa kareem.
Hata kama ungekuwa mpiga kura wewe ungempigia Lemutuz awe mbunge wako ???

By the way mzee Malecela mwenyewe alikuwa na kipi cha ziada kwenye siasa zaidi ya kuwa chawa tu ???

Anyway nani yuko tayari kuongozwa na Mgogo tu ???[emoji2]
 
Wazee hawa walioishi kwenye nadharia za ujamaa kindakindaki , hawakuwekeza zaidi kwenye elimu na urithi wa watoto wao. Mifano ni mingi hata Mwl hakuwekeza huko zaidi ya ikulu kuwabeba.

Rip. Mwele, nakumbuka kisa chake na marehemu Maghufuli
Hata mzee Ngombale Mwiru vijana wake hawapo kwenye siasa za ccm.
 
Ni mzee Malecela pekee katika wale wakongwe wa CCM ambaye hana mtoto mbunge.

Le mutuz aligombea ubunge wa Afrika Mashariki akafeli.

Ipyana RIP naye hakufika mbali.

Mwele tena mshumaa umezimika

Yule Anna Kilango alikuwa mwanasiasa kabla ya kuolewa na mzee Malecela, nakumbuka mwaka 2000 alimgaragaza mzee Keenja rip kwenye kura za maoni pale Ubungo sema tu Mkapa akaingilia kati Keenja akatimba bungeni

Ukifika bungeni utawakuta akina Jr kibao, kwa mfano Kawawa Jr, Nnauye Jr, Kikwete Jr, Mwinyi Jr, Makamba Jr, Lowassa Jr, Ditopile Jr nk...nk. amekosekana Le mutuz na Kinje tu.

Mungu wa mbinguni awabariki sana!

Jumaa kareem.
Warioba? Msuya? Salim? Mkapa? vipi hao
 
Back
Top Bottom