Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa itakuwaje ikiwa mtoto huyo huyo katambuliwa na baba wawili, yaani baba mlezi na baba mzazi, inamaana atarithi kote kote!?Mahakama ya rufaa mwezi huu imesema ruksa kurithi mtoto wa nnje ya ndoa ,ijapo tu alitambulishwa na baba au alimtambua kama mtoto wake na kumtambulisha kwa ndugu kadhaa anaowaamini au kwenye familia yake
Hapo atapata advantageSasa itakuwaje ikiwa mtoto huyo huyo katambuliwa na baba wawili, yaani baba mlezi na baba mzazi, inamaana atarithi kote kote!?
Ukristo wa wapi huo unaouongelea mkuu?Ni moja ya changamoto za ndoa za kikristo,
Mwizi anaweza kutokea siku ya msiba akambambikizia marehemu mtoto ili apate mali kirahisi.
Mtoto wa nje kupata urithi yafaa awe ametambulishwa na marehemu au apewe mali na baba yake akiwa hai, nje ya hapo ni upigaji.
Je wenzake watakubali!? Si vita kubwa ya kugombea mirathi itazalishwa hapo!?Hapo atapata advantage
Mahakama ndio muamuzi wa mwisho. lakini kwa kuangalia baba alimtambulisha mtotoJe wenzake watakubali!? Si vita kubwa ya kugombea mirathi itazalishwa hapo!?
Mgogoro wa Mirathi unapofikishwa Mahakamani, basi Mgogoro huo utatatuliwa kwa mujibu wa Sheria za nchi husika siyo kwa mujibu wa Maandiko yaliyopo kwenye Quran au Biblia.Uislam upo wazi kwenye hilo, mtotpo wa nje ya ndoa ni mtotpo wa mama, anaweza kumrithi mamake, lakini hana baba wa kumrithi.
Isipokuwa, baba akiwa hai na anaamini nimwanae tunamshauri kibinadam, siyo kisharia, ampe mali kama zawadi, siyo kurithi. Kumpa akiwa hai, kwani akifa hata kama kampa hapewi zaidi yua moja kwa tatu ya alichopewa kwenye wosia, tena wosia asiandike kuwa mwanae, amzawadie tu kama mtu yeyote yule.
Hakuna hiyo kwa Waislam. Sharia inatumika mahakamani.Mgogoro wa Mirathi unapofikishwa Mahakamani, basi Mgogoro huo utatatuliwa kwa mujibu wa Sheria za nchi husika siyo kwa mujibu wa Maandiko yaliyopo kwenye Quran au Biblia.
Unaropoka. Yaani mtu anaweza tu ibuka na mtoto hatambuliki kokote na hana uthibitisho akakubaliwa? Basi kwa Mengi Reginald wangeenda wengi sana. Mtoto wa nje ya ndoa anakubalika vipi jiulize. Wangekuwa wanajaa sana kwa matajiri wakitaka urithi. Usiwe unakurupuka dogo.Ni moja ya changamoto za ndoa za kikristo,
Mwizi anaweza kutokea siku ya msiba akambambikizia marehemu mtoto ili apate mali kirahisi.
Mtoto wa nje kupata urithi yafaa awe ametambulishwa na marehemu au apewe mali na baba yake akiwa hai, nje ya hapo ni upigaji.
Je, ni Mahakama gani iliyopo hapa Tanzania ambayo inatumia Sharia ya Kiislamu ili kutatua migogoro ya mirathi?? Unaweza kuzitaja pamoja na mifano hai ya Kesi za mirathi ambazo tayari zimeamuliwa na Mahakama hizo??Hakuna hiyo kwa Waislam. Sharia inatumika mahakamani.
Zote.Je, ni Mahakama gani iliyopo hapa Tanzania ambayo inatumia Sharia ya Kiislamu ili kutatua migogoro ya mirathi?? Unaweza kuzitaja pamoja na mifano hai ya Kesi za mirathi ambazo tayari zimeamuliwa na Mahakama hizo??
Hata kama mke hajapewa utambulisho mtoto wa nje ya ndoa ana hakiya kurithi mali mimi nimeshuhudia kwa macho yangu mwenyewe tunadanganyana sana.Hapa umewadanganya watu,
Sheria inampa haki mtoto yyte wa marehemu, ammbaye alimpa utambulisho kwa mke wake wa ndoa, inawatambua woote, haina mtoto wa nje wala wandani.
To add sheria za kimila zinataka mtoto yyte wa kiume kwenye uzao uwe wa ndoa au hawara ilimradi wa kiume, anakua mrithi wa kwanza kabla ya wale wa kike.
Sheria za kiislamu pekee ndio haazitambui mtoto wa nje, kama haukuachwa wosia.
Ila sheria zote zilizobaki haswa hizi za kiserikali ambazo wengi wetu tunafata.
😂 😂 😂 😂 😂Hakuna hiyo kwa Waislam. Sharia inatumika mahakamani.
Kwani kina mama hawezi kutambulisha watoto wao kwa baba zaidi ya mmoja,na kila upande ukaamini huyu ni wakwetu,lakini siri anayo Mama na mtoto wake!!Mahakama ndio muamuzi wa mwisho. lakini kwa kuangalia baba alimtambulisha mtoto
Uwisilamu wako unakufundisha kuitenga damu yako kisa dini!!??Uislam upo wazi kwenye hilo, mtoto wa nje ya ndoa ni mtoto wa mama, anaweza kumrithi mamake, lakini hana baba wa kumrithi, wala mama hana pesa za matumizi ya huyo mtotoi kwa huyo anayesema babake. Wala mama huyo hana urithi wowote.
Isipokuwa, baba akiwa hai na anaamini nimwanae tunamshauri kibinadam, siyo kisharia, ampe mali kama zawadi, siyo kurithi. Kumpa akiwa hai, kwani akifa hata kama kampa hapewi zaidi yua moja kwa tatu ya alichopewa kwenye wosia, tena wosia asiandike kuwa mwanae, amzawadie tu kama mtu yeyote yule.