Watoto wa nje ya ndoa hawana haki ya kurithi mali zilizopatikana ndàni ya ndoa

Watoto wa nje ya ndoa hawana haki ya kurithi mali zilizopatikana ndàni ya ndoa

Sisi watoto wa nje ya Ndoa tunasemangwa sana .....ila hatukuchagua kuwa watoto wa nje ya Ndoa tumezaliwa tumejikuta humo

Acheni kutusemangaaaa
Alafu unakuta hao wanao kusema wenyewe wamechomekwa kimazabe kwenye family na wana ndoa wasio waaminifu kwa wenza wao,hasa wakikuangalia wwe na mshua mnavyo randana,wanaishia kusema wwe wa nje!!!!
 
Back
Top Bottom