Watoto wa siku hizi hawatoi ushirikiano wa kulala na wageni vyumbani mwao

Watoto wa siku hizi hawatoi ushirikiano wa kulala na wageni vyumbani mwao

Dah hatari sana
Wanakuaga na mambo ya Bushy Bushy sana ?!!
Leo kwa ndugu huyu Segerea Kesho kwa Yule Tegeta
Shift izingatiwe Tafadhali.
Ndugu wa Segerea anaishi kwenye chumba na sebule, ukoo mzima wewe mwenye vyumba vitatu self contained ndiyo don wao.
 
Ndio maana mm nimetega kamera vyumba vya watoto wangu wote wa kike na kiume.....
lazima niwacheki in a close range.....
sipendi surprise kabisa!

🥸🧐🧐 wana umri gan na unategemea kuzitoa wakifika umri gani

maana naliona tatizo mbele kama hizo camera zitadumu..

imagine teenager wa 15 to 18 unamuweke camera chumban kwake.. kama mzaz linafikirisha sana tafuta utaratibu mwingine unless wako under aged around below 10
 
Ndio maana mm nimetega kamera vyumba vya watoto wangu wote wa kike na kiume.....
lazima niwacheki in a close range.....
sipendi surprise kabisa!
Sawa,najitahidi kumwonya mkeo asipendelee sana kuwasema vibaya ndgzako wewe kwawatoto ,anawapa sugu mbaya kwani hadi waje wagundue mama yao aliwadanganya itakua too late...jitahdi wanachangia sana kutuharibia akija tu ndgu mitoto yote inachukia

Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
 
Sawa,najitahidi kumwonya mkeo asipendelee sana kuwasema vibaya ndgzako wewe kwawatoto ,anawapa sugu mbaya kwani hadi waje wagundue mama yao aliwadanganya itakua too late...jitahdi wanachangia sana kutuharibia akija tu ndgu mitoto yote inachukia

Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
hayo ni mawazo yako tu
kwa hivyo ndugu wa mama wanapofika na watoto wananuna wamepewa sumu na baba yao?
 
Acha Ujinga ww Camera za Nini kwenye Rooms
Hasa Watoto wa kike !!
Unataka uone Nini?
Sio watoto wakike tu, hata kwa wakiume kamera hazifai. Ongea na wanao, ila sio kuwa fatilia kwa mtindo huo.

Kila binadamu anakuwaga na akili za tofauti hasa anapokuwa alone in a closed door. Mfano mdogo, kwa mtoto wa kiume, puli ni kitu cha kawaida sana kipindi cha balehe, ila how it feels unapogundua mzee wako alikuwa anakwangalia wakati unajichua?
 
Watoto wa siku izi ajafika mgeni akae seblen ukute wale wa kijiji usafi sio sana ana arufu flani ivi ya nyumbani kwake ( iyo ni kawaida kila mtu ana marashi ya ndani kwake) utaskia eti mmmh "bibi nuka"
 
🥸🧐🧐 wana umri gan na unategemea kuzitoa wakifika umri gani

maana naliona tatizo mbele kama hizo camera zitadumu..

imagine teenager wa 15 to 18 unamuweke camera chumban kwake.. kama mzaz linafikirisha sana tafuta utaratibu mwingine unless wako under aged around below 10
Wadogo bado 9 mpaka 12.
 
Hahahaha hatari ila haipendezi kulala na watu wengine kitanda kimoja au chumba kimoja,kama una utaratibu wa wageni ni bora uwe na mjengo mwingine pembeni kwa ajili ya wageni tu au kama una ukwasi wa kutosha unapiga floor mbili kwa ajili ya wageni.
Ndugu hawahawa naowajua wajue umewatengea mahali mtu anahamia kabisa na familia eti anakuja kutafuta maisha mjini, kumfukuza inakuwa tabu, basi home panakuwa km kambi una mke kila siku ni ugomvi mkeo mchoyo, mara leo kanisemesha ivi, mara tumekula dagaa toka juzi, utajuta
 
Ila ndugu mnnnh, lawama sana.

Tena naona bora ndugu zako wenyewe unaweza waambia kama mambo home sio fresh na wakakuelewa wakasepa.

Uwiii kuna ndugu wa ukweni. Unaweza hama uwaachie nyumba ukiwa na moyo mwepesi na mumeo ni wa kuyumbishwa.
 
Usiruhusu mtoto kulala na mgeni
Hata nyumbani hatukuwahi kulazwa na wageri hata awe nani
Wazazi walikuwa wanatulaza ndugu pamoja na wageni au mgeni ataachiwa chumba

Mara nyingi ni mgeni na sio wageni na huyo hatakaa zaidi ya wiki sijui walikuwa wanaambiwa wasepe [emoji23][emoji23]
Naona walikuwa wamemaliza kuja kutembea
Sasa mtu akae miezi 6 huyo kahamia kabisa
 
Mashoga 90% wametokana na watu wa jinsia moja kulala chumba kimoja.
 
Back
Top Bottom