Watoto wa siku hizi hawatoi ushirikiano wa kulala na wageni vyumbani mwao

Watoto wa siku hizi hawatoi ushirikiano wa kulala na wageni vyumbani mwao

View attachment 1781612

Enzi zetu chumbani mnalala na bibi, shangazi, dada wa kazi ukiwa na bahati unaweza kuwa na kitanda chako mwenyewe. Hawa wageni wanaweza kukaa miezi sita na maisha yaliendelea.

Hawa watoto wa siku hizi vyumba vyao ni kama private home. Hata mzazi huruhusiwi kuingia. Umwambie bibi amekuja utalala nae, hata kama kuna kitanda cha ziada kama picha hapo juu. Utaona sura itakavyombadilika.

Ninadhani social media zinachangia pia. Wengine hawalali wanakesha Instagram. Sasa bibi asubuhi atakwambia kuwa mwanao alikesha kwenye simu.

Yaani siku hizi inabidi ujenge chumba cha wageni. Ile budget ya vyumba vitatu vya kulala utamshuhudia mama yako analala sebuleni kwenye nyumba uliyojenga mwenyewe.
Asilimiza zaidi ya 60% ya watoto uharibiwa na ndugu wa karibu

Laleni sebukeni
 
Hata mimi watoto hawawezi kulala na mgeni hata siku moja,ni bora wao walale kwangu mimi nitandike mkeka sebuleni au nilale kwenye kochi...
Kabisa mkuu,hali si hali,..
Sawa mkuu lkn mtoa madaamesema umetembelewa na mama yako mazazi au mama mkwe.utafanya hivyo
Ndio,uzuri bibi yao (mamangu) hapendi pia kubanana kazoea nyumbani kwake kila chumba kinajitegemea,.hivyo tutampisha tuu ili awe huru,kama mazingira sio rafiki..
 
Ndio maana mm nimetega kamera vyumba vya watoto wangu wote wa kike na kiume.....
lazima niwacheki in a close range.....
sipendi surprise kabisa!
Wana umri gan? Kama ni above 15 years Umewakosea sana, hapo unawanyima uhuru wao wa faragha ebu jiulize siku wakijua watajisikiaje? Hapo wameisha zoea kujiachia wanapp kuwa vyumban kwao.
 
🥸🧐🧐 wana umri gan na unategemea kuzitoa wakifika umri gani

maana naliona tatizo mbele kama hizo camera zitadumu..

imagine teenager wa 15 to 18 unamuweke camera chumban kwake.. kama mzaz linafikirisha sana tafuta utaratibu mwingine unless wako under aged around below 10
Kwanza anawawekea camera sbb ni kawaida yake kufikia na wageni wa mbio ndefu au kutaka tuu kujua wanafanya nini!!!!? Linafikirisha
 
View attachment 1781612

Enzi zetu chumbani mnalala na bibi, shangazi, dada wa kazi ukiwa na bahati unaweza kuwa na kitanda chako mwenyewe. Hawa wageni wanaweza kukaa miezi sita na maisha yaliendelea.

Hawa watoto wa siku hizi vyumba vyao ni kama private home. Hata mzazi huruhusiwi kuingia. Umwambie bibi amekuja utalala nae, hata kama kuna kitanda cha ziada kama picha hapo juu. Utaona sura itakavyombadilika.

Ninadhani social media zinachangia pia. Wengine hawalali wanakesha Instagram. Sasa bibi asubuhi atakwambia kuwa mwanao alikesha kwenye simu.

Yaani siku hizi inabidi ujenge chumba cha wageni. Ile budget ya vyumba vitatu vya kulala utamshuhudia mama yako analala sebuleni kwenye nyumba uliyojenga mwenyewe.
Utandawazi
 
Na hivyo ndivyo inavyotakiwa
View attachment 1781612

Enzi zetu chumbani mnalala na bibi, shangazi, dada wa kazi ukiwa na bahati unaweza kuwa na kitanda chako mwenyewe. Hawa wageni wanaweza kukaa miezi sita na maisha yaliendelea.

Hawa watoto wa siku hizi vyumba vyao ni kama private home. Hata mzazi huruhusiwi kuingia. Umwambie bibi amekuja utalala nae, hata kama kuna kitanda cha ziada kama picha hapo juu. Utaona sura itakavyombadilika.

Ninadhani social media zinachangia pia. Wengine hawalali wanakesha Instagram. Sasa bibi asubuhi atakwambia kuwa mwanao alikesha kwenye simu.

Yaani siku hizi inabidi ujenge chumba cha wageni. Ile budget ya vyumba vitatu vya kulala utamshuhudia mama yako analala sebuleni kwenye nyumba uliyojenga mwenyewe.
 
Ila ndugu mnnnh, lawama sana.

Tena naona bora ndugu zako wenyewe unaweza waambia kama mambo home sio fresh na wakakuelewa wakasepa.

Uwiii kuna ndugu wa ukweni. Unaweza hama uwaachie nyumba ukiwa na moyo mwepesi na mumeo ni wa kuyumbishwa.
Ndugu wa ukweni hasa wa mume wana sheeeder mara nyingi wa mke huwa hawakai, wa mume akija anataka umchukulie km mumeo dah
 
Jenga chumba cha wageni


Hayo ya kulaza watoto na wageni ni big no
 
KWa dunia ilivyopinda simshauri mzazi akubalianenna hilo wa wageni kulala na watoto. Watu wamepinda siku hizi
View attachment 1781612

Enzi zetu chumbani mnalala na bibi, shangazi, dada wa kazi ukiwa na bahati unaweza kuwa na kitanda chako mwenyewe. Hawa wageni wanaweza kukaa miezi sita na maisha yaliendelea.

Hawa watoto wa siku hizi vyumba vyao ni kama private home. Hata mzazi huruhusiwi kuingia. Umwambie bibi amekuja utalala nae, hata kama kuna kitanda cha ziada kama picha hapo juu. Utaona sura itakavyombadilika.

Ninadhani social media zinachangia pia. Wengine hawalali wanakesha Instagram. Sasa bibi asubuhi atakwambia kuwa mwanao alikesha kwenye simu.

Yaani siku hizi inabidi ujenge chumba cha wageni. Ile budget ya vyumba vitatu vya kulala utamshuhudia mama yako analala sebuleni kwenye nyumba uliyojenga mwenyewe.
 
Back
Top Bottom