Watoto wa viongozi wakuu wa nchi walipwe ili kuwatia moyo

Naunga mkono hoja, ila malipo hayo sio kwa ajili ya kuwatia moyo bali ni compensation of loss of parental love and parental quality time with their children and kupunguza mateso ya ridicule kwa wazazi wao, wao ndio waathirika.

P
Du kweli mpaka wale wanaochelewa kuzaliwa wahesabiwa, wakija walipwe huko mbeleni, waheshimiwa wakistaafu, kufidia haki ya kuchelewa kuja duniani.
 
This is death.
Jana usiku yule jamaa wa Illuminati alikuwa ananiambia niape kumwabudu Lucifer ili niwe tajiri.
Usiku kucha nilikuwa naapa kumwabidu Lucifer.
Njaa inampeleka mtu pabaya sana.
Akaniuliza pia kuhusu kitambulisho changu cha NIDA.
Nimeambiwa niape,kufuata sheria za Master,master,maana yake ni yeye,ama sivyo kifo kinanisuburi.
Hawa Illuminati they have always been controversial people.
 
Chawa na zwazwa sina mfano.
 
Mimi napendekeza vimada wao wasisahaulike kwani hawa wamekuwa msaada mkubwa sana kwa Watanzania kwa kuwatuliza hawa watukufu viongozi wetu pale wanapokuwa na msongo baada kubanwa na maswali kutoka kwa baadhi ya wananchi wenye nia mbaya kwa kuhojihoji kila wakati eti wakitaka huduma bora ilihali wakijua nchi yetu ni changa na bado masikini sana.
 
Mwambie shangazi yako awalipe, Mungu atamtengea viti vya mbele huko kwenye makazi yake.
 
Naunga mkono hoja, ila malipo hayo sio kwa ajili ya kuwatia moyo bali ni compensation of loss of parental love and parental quality time with their children and kupunguza mateso ya ridicule kwa wazazi wao, wao ndio waathirika.

P
Kwahiyo Viongozi wakiwa na Watoto 10 Wote walipwe... Aiseee Hili litakuwa Wazo zuri Saana Viongozi wanapitia Magumu Saana Ktk kuendesha Majukumu yao
 
Kwahiyo Viongozi wakiwa na Watoto 10 Wote walipwe... Aiseee Hili litakuwa Wazo zuri Saana Viongozi wanapitia Magumu Saana Ktk kuendesha Majukumu yao
Wanaopitia magumu sio viongozi,bali ni watoto wao!, wao viongozi wanawakibika kutimiza majukumu yao ya kiuongozi,katika hilo,watoto wanaathirika kukosa mapenzi ya baba, hivyo malipo hayo ni compensations。
P
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😒🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…