Watoto wa viongozi wakuu wa nchi walipwe ili kuwatia moyo

Mtibeli kwanini unatukana? Hahah nimecheka hilo jibu.

Anyways asante kwa kuwatetea watoto wangu mwaka 2045 nao watalipwa! 😅

Sijatukana Mkuu. Kama alimaanisha tusi atajua mwenyewe. Mtu analeta stress zake hapa anafikiri kama yeye hana busara mimi nitazitolea wapi, hata kama ninazo siwezi kutumia busara zangu za thamani,😊 kwa mtu mpuuzi.

Hiyo 45 Mungu aniweke tule matunda ya watoto wetu😀
 
Na wajukuu na vizazi vyao walipwe tu mjinga wee mtoa mada. Kwa kuwalipa unasema ni maendeleo maendeleo kivipi kama sio unyonyaji tu wa umma.
 
Na wajukuu na vizazi vyao walipwe tu mjinga wee mtoa mada. Kwa kuwalipa unasema ni maendeleo maendeleo kivipi kama sio unyonyaji tu wa umma.

Nilishasema hayo ni maoni yangu.
Kama unataka tutukanane sema.
Wewe toa maoni yako lakini ukileta matusi hata mimi ninayo yangu.
 
Umesahau TPDF na wajukuu wao!
 
Walipwe watoto wote wa viongoz kwanzia ngazi ya chini kabisa...mtoto wa baloz nae alipwe😂😂
 
Kama tutafikia huku ni wazi nchi itapitia mpasuko na migawanyiko mikubwa ambayo itasababisha jinai kitendeka
 
Naingia mkono hoja, kwa kuongeza, na michepuko yao iingizwe kwenye payroll.ilipwe kwa kazi nzuri ya kuwaliwaza wakuu wetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…