Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
sina maoni ingine[emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sina maoni ingine[emoji1787]
Dawa yao kuwafanyia maombi au sio wasubirie miujiza ya wagalatia🤣Ndio mkuu. Ukiona mtumishi wa MUNGU anavizia kulipwa na Wanadamu huyo ni tapeli[emoji1787]
Tema nyongo mkuu[emoji3]sina maoni ingine
nimeshukuru sana kwa fursa hiyoTema nyongo mkuu[emoji3]
Wenyeviti wa mitaa vijiji na vitongoji pamoja na mabalozi hawa waendelee kujitolea serikali haina pesa.
Yesu hakuwa na huo uzembe wa kuvizia kulipwa na watu. Yeye ndiye aliyekuwa anawalisha wenye njaa. So Waige mfano wa Master[emoji1787]Dawa yao kuwafanyia maombi au sio wasubirie miujiza ya wagalatia[emoji1787]
Wivu wa kike. Sitegemei kama Watanzania wa kawaida wanaona vibaya Mrs Myerere kupewa posho ya kula. Mama Sitti alivyo mpole hii chuki mnaipata wapi? Kwa nini aside na msaidizi kwenda markiti?WATOTO WA VIONGOZI WAKUU WA NCHI WALIPWE ILI KUWATIA MOYO.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.
Nimefurahi muswada wa kuwalipa wenza wa viongozi wa nchi. Ni uzalendo wa hali ya juu sana. Hii itachochea maendeleo makubwa ya nchi.
Lakini ninaishauri pia serikali, isiishie tuu hapo iende mbali zaidi kuchochea maendeleo ya nchi yetu kwa kuwalipa na watoto wa viongozi wa taifa letu tukufu.
Watoto wa Marais Walipwe.
Watoto wa Makamu wa rais Walipwe.
Watoto wa Spika wa bunge walipwe
Watoto wa Waziri Mkuu walipwe!
Watoto wa Jaji Mkuu walipwe.
Watoto wa Ma-IGP walipwe.
Watoto wa Wakurugenzi wakuu wa TISS walipwe.
Wapewe Mishahara hata milioni moja au mbili au tatu hivi kwa mwezi. Hayo ndio maendeleo.
Wazazi wao wanatumikia nchi hilo nani atabisha? Wazazi wao wanatumia muda mwingi nje ya familia zao na kuhangaikia nchi, nani anabisha? Wazazi wao wanatukanwa na wananchi wakati mwingine bila kosa nani anabisha?
Walipwe! Walipwe! Tuwalipe! Kodi ni zetu na wao ni viongozi wetu. Tunafurahi wakilipwa. Sisi tutawatumikia kama wao wanavyotutumikia ili kuiendeleza nchi.
Watoto wa viongozi jiandaeni. Tutawalipa kila mwezi.
Ni bora tuwalipe tuu kuliko mjilipe wenyewe kwa kificho. Hata tusipowalipa tunajua mtajilipa kivyovyote tuu.
Muswada upelekwe bungeni, kisha upitishwe. Watoto nao walipwe.
Ambao hawataki wahame nchi.
Tusiishie kuwalipa Wenza wao(waume na wake zao) twendeni mbele zaidi. Tuwe na jicho la mbali kama tai.
Mimi nimemaliza, hayo ni mawazo yangu. Kama hutaki hayo ni mawazo yako na kwangu sio shida.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Dar es salaam
UmeuaYesu hakuwa na huo uzembe wa kuvizia kulipwa na watu. Yeye ndiye aliyekuwa anawalisha wenye njaa. So Waige mfano wa Master[emoji1787]
Mkuu Sisi ni watu wa Upendo tunataka tuishi maisha marefu hadi iwe OFFSIDE [emoji1787]nimeshukuru sana kwa fursa hiyo
Tag Mbunge Salma Kikwete apeleke tena hoja yake .....wwlipwe hadi kina amiraji salama Riz1 na wengine wote walipwe wana stress sana kuwa watoto wa wakubwaWATOTO WA VIONGOZI WAKUU WA NCHI WALIPWE ILI KUWATIA MOYO.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.
Nimefurahi muswada wa kuwalipa wenza wa viongozi wa nchi. Ni uzalendo wa hali ya juu sana. Hii itachochea maendeleo makubwa ya nchi.
Lakini ninaishauri pia serikali, isiishie tuu hapo iende mbali zaidi kuchochea maendeleo ya nchi yetu kwa kuwalipa na watoto wa viongozi wa taifa letu tukufu.
Watoto wa Marais Walipwe.
Watoto wa Makamu wa rais Walipwe.
Watoto wa Spika wa bunge walipwe
Watoto wa Waziri Mkuu walipwe!
Watoto wa Jaji Mkuu walipwe.
Watoto wa Ma-IGP walipwe.
Watoto wa Wakurugenzi wakuu wa TISS walipwe.
Wapewe Mishahara hata milioni moja au mbili au tatu hivi kwa mwezi. Hayo ndio maendeleo.
Wazazi wao wanatumikia nchi hilo nani atabisha? Wazazi wao wanatumia muda mwingi nje ya familia zao na kuhangaikia nchi, nani anabisha? Wazazi wao wanatukanwa na wananchi wakati mwingine bila kosa nani anabisha?
Walipwe! Walipwe! Tuwalipe! Kodi ni zetu na wao ni viongozi wetu. Tunafurahi wakilipwa. Sisi tutawatumikia kama wao wanavyotutumikia ili kuiendeleza nchi.
Watoto wa viongozi jiandaeni. Tutawalipa kila mwezi.
Ni bora tuwalipe tuu kuliko mjilipe wenyewe kwa kificho. Hata tusipowalipa tunajua mtajilipa kivyovyote tuu.
Muswada upelekwe bungeni, kisha upitishwe. Watoto nao walipwe.
Ambao hawataki wahame nchi.
Tusiishie kuwalipa Wenza wao(waume na wake zao) twendeni mbele zaidi. Tuwe na jicho la mbali kama tai.
Mimi nimemaliza, hayo ni mawazo yangu. Kama hutaki hayo ni mawazo yako na kwangu sio shida.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Dar es salaam
[emoji3]Umeua
Ndio tunasema hii list iongezwe kidogo hata kwa watoto ubaya uko wapi hapo? 😂Wivu wa kike. Sitegemei kama Watanzania wa kawaida wanaona vibaya Mrs Myerere kupewa posho ya kula. Mama Sitti alivyo mpole hii chuki mnaipata wapi? Kwa nini aside na msaidizi kwenda markiti?
Wivu wa kike. Sitegemei kama Watanzania wa kawaida wanaona vibaya Mrs Myerere kupewa posho ya kula. Mama Sitti alivyo mpole hii chuki mnaipata wapi? Kwa nini aside na msaidizi kwenda markiti?
Yaani akina Prince wa Inglandi wakasome[emoji1787]Tag Mbunge Salma Kikwete apeleke tena hoja yake .....wwlipwe hadi kina amiraji salama Riz1 na wengine wote walipwe wana stress sana kuwa watoto wa wakubwa
Msiisahau michepuko yao jamani. Muhimu sana
hamna baya hata kwa wabaya 😅Mkuu Sisi ni watu wa Upendo tunataka tuishi maisha marefu hadi iwe OFFSIDE [emoji1787]
Ha haaa kwamba mimi ni mchepuko wa kiongozi? Sijawahi kupata bahati hiyo😀Nakuona nakuona
Hao wasilipwe Kwa sababu wanatumia viungo vya miili yao vibaya. Haiwezekani viungo vya Uzazi wanavitumia Kibazazi. Nasemaje michepuko isilipweee[emoji3]Msiisahau michepuko yao jamani. Muhimu sana
Ha haaa kwamba mimi ni mchepuko wa kiongozi? Sijawahi kupata bahati hiyo😀