Watoto wa viongozi wakuu wa nchi walipwe ili kuwatia moyo

Watoto wa viongozi wakuu wa nchi walipwe ili kuwatia moyo

Sasa milioni 3 inamtoshaje mtu jamani!!!
Labda kama watawapa 100k kila siku kwa ajiri ya mafuta na pombe.

Watoto wa viongozi sio watu wa kukaa hivi hivi,mtu kama abdul sio jambo la busara kumpigia simu mama yake anaomba ela ya kununua boxer.
IMG_0913_Original.jpg
 
jamaa anachezea hiyo timu tena yupo first eleven 😀 😀 😀 😀
Yaani amefeli vibaya sana. Mimi na shule zangu za matopeni nimeng'amua fasta tu. Anakwama wapi mtanzania mwenzetu huyu?. Mbona Watanzania tunasifika Sana Kwa akili kuchaji kama tumekula ubwabwa wa Hashimu Rungwe?[emoji1787]
 
Yaani amefeli vibaya sana. Mimi na shule zangu za matopeni nimeng'amua fasta tu. Anakwama wapi mtanzania mwenzetu huyu?. Mbona Watanzania tunasifika Sana Kwa akili kuchaji kama tumekula ubwabwa wa Hashimu Rungwe?[emoji1787]
hahahaha ndio wale ambao shuleni walikua hawasomi maelekezo..wanaanza tu kujibu maswali
 
Sasa milioni 3 inamtoshaje mtu jamani!!!
Labda kama watawapa 100k kila siku kwa ajiri ya mafuta na pombe.

Watoto wa viongozi sio watu wa kukaa hivi hivi,mtu kama abdul sio jambo la busara kumpigia simu mama yake anaomba ela ya kununua boxer.View attachment 2819698
daaah kubabeq huu unafiki ni mkubwa sana chief 😀 😀 😀 😀
 
Na ukoo wao wakupe sema marafiki na michepuko yao
 
inachochea sana maana familia zao zitaishi maisha ya kifahari na ya kutokua na stress hivyo kupelekea utendaji wa wazazi wao uwe maradufu na wa kutukuka
Saaana. Watakuwa wanalala na mafaili[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
  • Kicheko
Reactions: EEX
Back
Top Bottom