Watoto wa viongozi wakuu wa nchi walipwe ili kuwatia moyo

Watoto wa viongozi wakuu wa nchi walipwe ili kuwatia moyo

Nasemaje ata ikiwezekana ukoo mzima wa familia zao zilipwe, maana hakuna namna 😭😭
 
kuna elimu ya utani,unafiki na uzandiki ilikua inatolewa CUBA nafikiri wewe hukubatika kuchaguliwa kusomea hii kozi?
😂😂Kama ametumia hiyo elimu sawa, ila kama anataka hawa watoto walipwe inabidi apewe BAN kabisa
 
Ni kweli kabisa naunga mkono hoja! Walipwe kabisa maana wanakosa upendo wa wazzazi muda mwingi maana upendo huo tunafaidi watanzania wote badala ya watoto wahusika…!

Napendekeza kabisa ikiwezekana muswada husika uende bungeni kipindi hiki au kikao kijacho ili kwa budget ijayo watoto waanze kulipwa mishahara na viinua migongo na ikiwezekana na mishahara yao ianzie million mbili kwa mwezi bila kukatwa kodi kabisa!
 
Tusiishie hapo tu hata wakwe zao yaani ukioa au kuolewa kwenye familia ya kiongozi pia ulipwe, ndugu wajomba mashangazi mabinamu na wajukuu wote walipwe.

Mpaka wafanyakazi wa ndani na wafungua mageti na madereva pia walipwe na serikali tena.

Maoni yangu naomba yaheshimiwe.[emoji115][emoji3577]
Chain itakuwa ndefu sana mkuu,unaweza kushangaa zali linanikuta hata mimi mlalahoi milimani huku tena kimasihara kabisa. The rest,tupige kazi ili ipatikane posho ya wakubwa. Roho mbaya haijengi[emoji3]
 
Halafu pia napendekeza Ili kutokomeza umasikini mijini masikini wote watokomezwe
 
WATOTO WA VIONGOZI WAKUU WA NCHI WALIPWE ILI KUWATIA MOYO.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.

Nimefurahi muswada wa kuwalipa wenza wa viongozi wa nchi. Ni uzalendo wa hali ya juu sana. Hii itachochea maendeleo makubwa ya nchi.

Lakini ninaishauri pia serikali, isiishie tuu hapo iende mbali zaidi kuchochea maendeleo ya nchi yetu kwa kuwalipa na watoto wa viongozi wa taifa letu tukufu.

Watoto wa Marais Walipwe.
Watoto wa Makamu wa rais Walipwe.
Watoto wa Spika wa bunge walipwe
Watoto wa Waziri Mkuu walipwe!
Watoto wa Jaji Mkuu walipwe.
Watoto wa Ma-IGP walipwe.
Watoto wa Wakurugenzi wakuu wa TISS walipwe.

Wapewe Mishahara hata milioni moja au mbili au tatu hivi kwa mwezi. Hayo ndio maendeleo.
Wazazi wao wanatumikia nchi hilo nani atabisha? Wazazi wao wanatumia muda mwingi nje ya familia zao na kuhangaikia nchi, nani anabisha? Wazazi wao wanatukanwa na wananchi wakati mwingine bila kosa nani anabisha?

Walipwe! Walipwe! Tuwalipe! Kodi ni zetu na wao ni viongozi wetu. Tunafurahi wakilipwa. Sisi tutawatumikia kama wao wanavyotutumikia ili kuiendeleza nchi.

Watoto wa viongozi jiandaeni. Tutawalipa kila mwezi.
Ni bora tuwalipe tuu kuliko mjilipe wenyewe kwa kificho. Hata tusipowalipa tunajua mtajilipa kivyovyote tuu.

Muswada upelekwe bungeni, kisha upitishwe. Watoto nao walipwe.
Ambao hawataki wahame nchi.

Tusiishie kuwalipa Wenza wao(waume na wake zao) twendeni mbele zaidi. Tuwe na jicho la mbali kama tai.

Mimi nimemaliza, hayo ni mawazo yangu. Kama hutaki hayo ni mawazo yako na kwangu sio shida.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Dar es salaam
Napendekeza hata nyumba ndogo za viongozi wakuu walipwe maana ndio wanaowapa faraja ya akili na mwili
 
  • Kicheko
Reactions: Cyb
Kuna watu Wana mawazo ya kipumbavu kweli hawakupaswa kufika hata mwaka 2000 wakiwa hai 😡😡
 
Wasiishie hapo, hata sie wajomba wa watoto wa viongozi tusisahaulike jamani, angalau ka VX kamoja kila baada ya miaka 7 kahusike 🤣 bila kusahau kamjengo ka uchumi wa kati.

Tunaadhirika sana kipindi cha kuozesha mabinti wetu tukiwa choka mbaya 😀
 
Naunga mkono hoja, ila malipo hayo sio kwa ajili ya kuwatia moyo bali ni compensation of loss of parental love and parental quality time with their children and kupunguza mateso ya ridicule kwa wazazi wao, wao ndio waathirika.

P
Umejaribu kuibadilisha nyeusi iwe nyeupe, kwangu haina maana yoyote

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
WATOTO WA VIONGOZI WAKUU WA NCHI WALIPWE ILI KUWATIA MOYO.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.

Nimefurahi muswada wa kuwalipa wenza wa viongozi wa nchi. Ni uzalendo wa hali ya juu sana. Hii itachochea maendeleo makubwa ya nchi.

Lakini ninaishauri pia serikali, isiishie tuu hapo iende mbali zaidi kuchochea maendeleo ya nchi yetu kwa kuwalipa na watoto wa viongozi wa taifa letu tukufu.

Watoto wa Marais Walipwe.
Watoto wa Makamu wa rais Walipwe.
Watoto wa Spika wa bunge walipwe
Watoto wa Waziri Mkuu walipwe!
Watoto wa Jaji Mkuu walipwe.
Watoto wa Ma-IGP walipwe.
Watoto wa Wakurugenzi wakuu wa TISS walipwe.

Wapewe Mishahara hata milioni moja au mbili au tatu hivi kwa mwezi. Hayo ndio maendeleo.
Wazazi wao wanatumikia nchi hilo nani atabisha? Wazazi wao wanatumia muda mwingi nje ya familia zao na kuhangaikia nchi, nani anabisha? Wazazi wao wanatukanwa na wananchi wakati mwingine bila kosa nani anabisha?

Walipwe! Walipwe! Tuwalipe! Kodi ni zetu na wao ni viongozi wetu. Tunafurahi wakilipwa. Sisi tutawatumikia kama wao wanavyotutumikia ili kuiendeleza nchi.

Watoto wa viongozi jiandaeni. Tutawalipa kila mwezi.
Ni bora tuwalipe tuu kuliko mjilipe wenyewe kwa kificho. Hata tusipowalipa tunajua mtajilipa kivyovyote tuu.

Muswada upelekwe bungeni, kisha upitishwe. Watoto nao walipwe.
Ambao hawataki wahame nchi.

Tusiishie kuwalipa Wenza wao(waume na wake zao) twendeni mbele zaidi. Tuwe na jicho la mbali kama tai.

Mimi nimemaliza, hayo ni mawazo yangu. Kama hutaki hayo ni mawazo yako na kwangu sio shida.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Dar es salaam
si hivyo tyuuuu.......

twendeni mbali zaidi ya hapo, tuwaangalie viongozi wetu kinzani wa milele, wasiopenda kung'atuka. Wanaipenda nchi yao sana.

Watumishi wa Mungu, viongozi wa jadi, mila na desturi. Hawa mi naona yafaa waingizwe kwenye mfumo wa kupata chochote kitu wa kiunua mgongongo.
Itasaidia saaanaaaa ...

Tunaweza na
Inawezekana.....
Asante ..
 
Ewaaaa. We ni Genius mkuu. Kama vipi na wewe ulipwe Kwa kubalance comment yako.[emoji3]!
Asante kwa mapendekezo ila vigezo sina Mimi ni maskini kwahiyo natakiwa nishinde na jua shambani ili ipatikane ya kuwalipa hao maviongozi na ndugu zao mkuu
 
Back
Top Bottom